Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kuanzia lini?Job mtetezi wa wanyonge,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia lini?Job mtetezi wa wanyonge,
Ningekuwa mmiliki wa gazeti kesho lingetoka hivi. "NDUNGAI MTU MZIMA HOVYO" by...Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni Uhuru wa Mtu kusema chochote, lakini inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 kwasababu taarifa zote za Uchumi zinapita kwake akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Ameongeza, "Huwezi kuamini mtu mzima na unaenda kuargue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3 kama kwamba ndio kwamba inatokea Tanzania wakati toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Bunge lipi unazungumzia? Tanzania kuna vikao vya CCM hakuna bunge nchi hii. Madhara ya kuuminya upinzani ndio haya sasa nyama zinatokea mbavuni.Sio lazima spika wa bunge awe kibaraka wa rais.
Nchi inaweza kusonga mbele vizuri kama bunge likiacha urafiki na serikali.
Watafanya kazi gani wakijiuzulu?Tujenge utamaduni wa kujiuzuru...itatusaidia
Yaani nchi imeingia kwenye mipasho, umama mtupu, ni aibu kwa wanaume wote wa taifa hili kwa linalotokea leo,Hayo ndio matokeo ya kugombana na wanawake ndugai atakoma atachambwa hadi achubuke
Ulifikiria kuwa kwa kuomba tu msamaha ule lingeweza kuisha?kwanza anasema kuwa hiyo clip ilitengenezwa!!tayari heshima yake ndio imeisha potea, na kuanzia hapa wale waliokuwa wameanza kumpogeza kwa kuomba msamaha, kwa msimamo huu wa leo wa mama, hutawasikia tena!!na sasa ameahakuwa mzee wa GUNDU!!mungu anatisha sana yaani ni huyu Ndugai ambaye miaka 6, nyuma alikuwa anajifanya ni mungu mtu??Mwanzoni kabisa niliwasikia watu wakisema bunge ni dhaifu.
Spika kaongea kidogo tu watu wamemvaa tena.
Kwahiyo mnataka nini??
Halafu suala la Rais wa nchi kuendelea na hili suala la mikopo ni ufinyu wa akili.
Mtu ameshaomba radhi.
Yeye bado kashikilia bango.
Poor thinking capacity.
Mama anapaswa kuwa na kifua na sio mtu mmoja anamkimbiza hiviNdugai sio serikali kaka
Hii nafikiri hufanywa kuwatisha wengine wasijaribu kufanya NdugaiSijaona sababu ya maneno yote haya yaliyomtoka mama, mtu ameomba msamaha tena hadharani lkn bado amemkalia kooni tu, mie sio mfuasi wa Ndugai lkn kikawaida mtu akiomba msamaha asamehewe, Samia alipaswa kutangaza msamaha ila kama kuna mengine waliapswa wayamalize ndani huko kwenye vikao vyao......
Masikini unaepukaje aibu?
Kipi bora…kukosa kabisa madarasa na tundu la choo au kuwa nayo kwa pesa za kukopa?
Tatizo ni kwamba mama mwenyewe hii inshu imekuwa ya kushtukizwa na yeyeSijaona sababu ya maneno yote haya yaliyomtoka mama, mtu ameomba msamaha tena hadharani lkn bado amemkalia kooni tu, mie sio mfuasi wa Ndugai lkn kikawaida mtu akiomba msamaha asamehewe, Samia alipaswa kutangaza msamaha ila kama kuna mengine waliapswa wayamalize ndani huko kwenye vikao vyao......
Kabisa. Kutubu amechemka sana,nguruwe huyuNdugai alitakiwa kubaki na msimamo wake, kama kuvurugana wavurugane kila mmoja aoneshe makali kwa nafasi yake aliyopi
sina mahaba na ndugai wala ccm.Naungana na wewe ; kafanya kosa kubwa snaa kuomba msamaha. Alitakiwa akae kimya asi comment chochote .
Angeonekana mwanaume zaidi . Kuomba msamaha means he is dumb na Hana stand, damn it.
Mwanaume kujiamini na ametoa mawazo yake huru ambayo yalikuwa ni mazuri Tu; hii Mikopo ni ya kipuuzi maana asilimia kubwa ya hii mikopo huliwa kifisadi na Hiyo ni report ya SHIRIKA LA FEDHA LA DUNIA.
Sasa yeye angebaki hapo hapo ; kuwa kama tumekopa , tozo ishushwe zaidi .
Samia Mwenyewe na kundi lake ni fisadi tu na ni Upenyo wa rushwa, unamuomba Samahani ya Nini , kwani yeye nani , atatoka kwenye kiti kama walivyotoka wengine , I can’t pleading for my thoughts and stand , ni upumbavu
Kuweka tozo ni failure ya mama , mbona tuliishi na Ngosha bila tozo
Job sio mwanaume yule , coward , mwanaume misimamo kwa unachoamini , na mwanaume hueshimika kwa misimamo yake. Ndio maana JPM ni rais bora wa maisha.
TISS wamemshauri kuomba msamaha na yeye kaomba kweli , leo mama kamtia kidole cha nyuma na msamaha wake. Haya ndio madhara ya kukosa stand. Mwanaume kujiamini hata ukibaki alone kwenye mawazo yako, poa tu ; ipo siku some people will understand you !
Maana mm najiuliza kaomba msamaha kwa kosa gani? Africa bwana
Yaani ukitoa mawazo yako kinzani, ni kosa Dah
Pole ndungai, kumbe we lofa tu
Nimekudharau sana
Bora kujenga sisi wenyewe. Sio gharama kubwa kivile. Tukiamua, tunaweza Itasaidia kulipa Mshahara wako na wapambe wenzako gharama tutakazoziokoa.
Hamna nyoka unatakiwa kumponda kichwani ukipiga kiunoni ukajidanganya kafa akikuvizia anakumaliza, hapa wanajaribu kumwekea mama mazingira magumu 2025 sasa kashtuliwa mapema acha awamalize tuu kila mbuzi ale urefu wa kamba yake.Huyu mama anapaswa kuelewa nafasi aliyonayo ni nyeti namba moja kitaifa.
Unapoendeleza malumbano ya kike kwa mtu ambaye tayari amejishusha na kuomba msamaha.
Rais wa nchi unapaswa kuonyesha ukomavu wa kisiasa ikiwemo pia kuwavumilia na kuwasamehe wale msioendana kimtizamo.
Mimi binafsi namuona mama kama vile ndie kaingia mtego wa Ndugai.
Vinginevyo siasa ndani ya CCM zitamsumsumbua zaidi, kwani atabaki na kundi la wanafiki kama huyo Mwigulu & wanafiki classics
Ukumbuke vita ya siasa za kugeukana ni kama vita ya magenge ya uhalifu? Wani misitike minzi dethiHii nafikiri hufanywa kuwatisha wengine wasijaribu kufanya Ndugai