Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndungai Hana ubavu huo alibebwa na magufuri kwa ubabe wake Hana ubavu wakutwangana na team Sami ikiongozwa na JK wamuulize LOWASANdugai afanye kweli huyu mama akapumzike sasa.
Sukumagang ni maji marefu.Uwiiiiiiiiiiiiiii!
Sukuma gang chaliiiiiii
Chato legacy chini!!!!!?!
Nyanengh'we!!
Jana alilazimishwa.Mama leo amepiga kwenye mshono.
Ndugai leo 'kavuliwa nguo' na jana alijisahau 'akavua nguo yake ya ndani', sasa leo hana nguo kabisa!!!
Asante sana Mama kwa kuweka upepo sawa. Sasa na maelezo ya matumizi ya mkopo huo ni muhimu zaidi pia. Ufafanuzi wa matumizi yake watume wasaidizi wako watufafanulie.
Ndugai point is valid. Usitutishe madeni muhimu tuyajue, madeni yote , hii mikopo inafanya kazi gani?
Mnisamehe Sana WatanzaniaJob mtetezi wa wanyonge,
mipasho mingiKutokana na kuwaza zaidi kuhusu 2025 na matarajio yake kupotea Ndugai amejiweka pabaya huenda hata bunge likamwondoa maana amekuwa wazi kabisaa kuonesha dharau kubwa Sana kwa Mh Rais niliwahi kuleta post hapa huyu ndugai anakilichojificha mbeleni hakuamini iKama ile IWE ISIWE NA KUPORA PESA ZA MATIBABU YA LISSU KUNA SIKU MUNGU ASIYELALA ATARUDISHA TUU NA HUU NDIO WAKATI WA NDUGAI KUWAMBWA MSALABANI yeye alitibiwa kwa zaidi Billion 2 hakuona mwenzake kuwa anahitaji matatibabu hayo halafu na mwendazake akashangilia wote hawa Mungu amewaandalia fungu mahali pao hakuna rangi hawataona wakati wa Mungu ukifika
Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali yake ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Exactly! Nadhani Watz tuna uelewa finyu kuhusu maana ya check and balance.Sio lazima spika wa bunge awe kibaraka wa rais.
Nchi inaweza kusonga mbele vizuri kama bunge likiacha urafiki na serikali.