Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
Si mitandao imewadamshi,Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025
Ila pia nimeona mama sio mvumilivu. Alishamjibu ndugai siku ile, angeachana nae tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mitandao imewadamshi,Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025
Ila pia nimeona mama sio mvumilivu. Alishamjibu ndugai siku ile, angeachana nae tu
Covid-19 mateka waliotelekezwa na amiri jeshi wa kujitegemea ndugaiCovid-19 hawana backup
Tena msamaha huo kawakosea Wakatoliki kwa kutumia sala yao ya kitubio:"Nimekosa Mimi, Nimekosa sana". Wakatoliki nao wamtafute wamkalishe chini, vibano viendelee.Ndugai tunakuomba uje na backup ya nguvu maana msamaha haujasaidia [emoji23][emoji23]
Apigwe tu, yeye kapiga wangapi!MaCCM bhana!Mtu ameomba msamaha ila bado anapigwa mawe![emoji16][emoji16][emoji16]
Heshima gani anaweza ilinda huyu mzee?Ni wakati wake wa kujiuzulu ili kulinda heshima yake na Raisi
Ndio maana yake sasa hivi kama mbwai na iwe mbwai,Ndugai na kundi lake limedhamiria kumyumbisha mama
Wanawake wa pwani, tunachamba hadi mtu anapata degedege...mwana kulifind, mwanakuliget.Hayo ndio matokeo ya kugombana na wanawake ndugai atakoma atachambwa hadi achubuke
Ndugai huyuhuyu ninayemfahamu! MbilikimoNdugai afanye kweli huyu mama akapumzike sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji45][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugai tunakuomba uje na backup ya nguvu maana msamaha haujasaidia [emoji23][emoji23]
Aacha uzembe atumie nguvu zake, kasemwa sanaNdugai huyuhuyu ninayemfahamu! Mbilikimo
Huyu mama anapaswa kuelewa nafasi aliyonayo ni nyeti namba moja kitaifa.
Unapoendeleza malumbano ya kike kwa mtu ambaye tayari amejishusha na kuomba msamaha.
Rais wa nchi unapaswa kuonyesha ukomavu wa kisiasa ikiwemo pia kuwavumilia na kuwasamehe wale msioendana kimtizamo.
Mimi binafsi namuona mama kama vile ndie kaingia mtego wa Ndugai.
Vinginevyo siasa ndani ya CCM zitamsumsumbua zaidi, kwani atabaki na kundi la wanafiki kama huyo Mwigulu & wanafiki classics
Kitendo cha ndugai kuomba msamaha hadharani ilitosha kuonesha hakuko sawa,Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025
Ila pia nimeona mama sio mvumilivu. Alishamjibu ndugai siku ile, angeachana nae tu
Kuna uwezekano mkubwa nusu ya Wabunge wa sirudi bungeni 2025
Kabla jogoo hajawika nitakuwa nimetema mzigo😀😀msamaha haujasaidia agwe nyenye!!nafwaaaa!Toa ushauri wako kwa Mzee wetu Jobb Ndugai,,
Ni baba na Mzee wa familia.Hakuna alie kamilika ususan ukiw ahai.
Neno la busara kwa Mzee wetu..