Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025
Ila pia nimeona mama sio mvumilivu. Alishamjibu Ndugai siku ile, angeachana nae tu
Kilichofanyika leo kwa ujumla wake kilipangwa kwa ajili ya kumjibu Ngudai officially. Zile risala zote za awali zilishapangwa ilipofika zamu yake Rais akasiliba kabisaaa.
 
Wote wale wale wanatamaa na 2025,ila eti yeye ndo anajiona wa muhimu hyo 2025.

Kwann watu huwa n wabinafsi hv
 
Sasa labda na hio return on investment its about time to rethink our strategy...., Huyu Mama Kuendelea kushikia Bango hii issue inamfanya kuonekana petty..... Ingawa sio mbaya kujibu hoja (ila hoja hujibiwa kwa hoja na sio vioja)
Kinachoendela sio kujibu hoja halafu ukawa ndio mwisho wa kila kitu. Wapo wanasiasa wenye nia za urais hawa ndio maadui zake kwa sasa.
 
Uwiiiiiiiiiiiiiii!

Sukuma gang chaliiiiiii

Chato legacy chini!!!!!?!

Nyanengh'we!!
Nimependa kwenye Nyanengh'we, Yaani ni Kisukuma fasaha cha ukweli kabisa!
Na mimi naongezea, Shindo jing'we bhana mveng'we..
 
Usimwamin mwanasiasa
Wanasiasa wote ni mbwa.

Hv hatuwez kuwapoteza tusiwashangilie na kujitokeza kuwasikiliza wakat wa kampeni ili wajue hatutak ujinga
 
Back
Top Bottom