Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi leo Ndugaye hata kwenye hiki kikao hakupewa mualiko?[emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wengi lkn wameshika makali
Lazima atalipa madhira yote aliyo mfanyia mh Lissu na mh MboweNa bado mpaka Ndugai aite maji mma!
Kilichofanyika leo kwa ujumla wake kilipangwa kwa ajili ya kumjibu Ngudai officially. Zile risala zote za awali zilishapangwa ilipofika zamu yake Rais akasiliba kabisaaa.Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025
Ila pia nimeona mama sio mvumilivu. Alishamjibu Ndugai siku ile, angeachana nae tu
Ni hatari lakini salama!Mimi na cheka shetan n vibaraka wake wanavyovurugana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Bhanyana gete abhenabha. Nalibhadukila gete gete.Mayu nene! 😀😀Ulibadukila gete?
Hakuna tena wa kuinua kichwaHow chaliiii [emoji3]
Mkuu hata Magufuli alikuwa anatoa mipasho kila apatapo muda.Huyu mama ni mswahili na hizo ndio zao
Mipasho kwa aliyekuomba msamaha?Mkuu hata Magufuli alikuwa anatoa mipasho kila apatapo muda.
Kinachoendela sio kujibu hoja halafu ukawa ndio mwisho wa kila kitu. Wapo wanasiasa wenye nia za urais hawa ndio maadui zake kwa sasa.Sasa labda na hio return on investment its about time to rethink our strategy...., Huyu Mama Kuendelea kushikia Bango hii issue inamfanya kuonekana petty..... Ingawa sio mbaya kujibu hoja (ila hoja hujibiwa kwa hoja na sio vioja)
Hata kama alipewa wazee wa mabaka walijua nn mama atasema hivyo wakamtonya asiendeHivi leo Ndugaye hata kwenye hiki kikao hakupewa mualiko?[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan JOB amwekee mtego SAMIA?? heheheheh JOB atachakazwa vibaya.Job anajua anachofanya amemuwekea mama mtego wa panya
Zugu kunu shiiiiii!!!!Nhumujage
Nimependa kwenye Nyanengh'we, Yaani ni Kisukuma fasaha cha ukweli kabisa!Uwiiiiiiiiiiiiiii!
Sukuma gang chaliiiiiii
Chato legacy chini!!!!!?!
Nyanengh'we!!