Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Huu mchezo wa viongoziwa serkali kutishia kuulizwa, unaenda kulifanya bunge kuwa mfu. Toeni bunge linakula hela zetu tu, maana ni bunge la Ndioooooo
 
Serikali yake ituambie pesa za makusanyo ya tozo zinakwenda wapi mbona siku hizi hakuna update zozote?

Kwenye hii issue yake na Ndugai kwangu Ndugai ndie mshindi, yeye anafurahia ushindi anaodhani ameupata kwasababu tu kuna kundi kubwa la wanafiki nyuma yake wanaojali matumbo yao wako upande wake kwasababu ya mamlaka aliyonayo kama mkuu wa nchi, lakini hajashinda kwa nguvu ya hoja.
Kwel kabisa
 
Kwa kuwa mama kakorofishwa Ndugai aachie ngazi, angekuwa mwanaume labda angeendelea kukaza kuongoza Bunge, ila si kwa vijembe hivyo, na sasa wataendelea hadi mwenyewe ajichukie!
Mwanamke wa pwani sio wa kuanzisha ugomvi nae😅
 
Kwani kukopa ni dhambi kikubwa Hi yo mikopo itumike vizuri sio unakopa trion 1.3 unakula trion 1 then 0.3 ndo inatumika kwenye Miradi ya maendeleo rubbish..then job hakukosea kuhoji kwasabbu yeye ni muhimili kamili na ndo kazi ya huo muhimili labda kwa sababu ya utamaduni mbovu tulionao Rais Ana influence kupatikana kwa spika ndo maana tumezoea kuona spika anamsupport rais but haitakiwi iwe ivo ndo maana katiba mpya inatakiwa ili rais asione ameonewa kuhojiwa na spika kuhusu mambo mbalimbali
 
Mwanzoni kabisa niliwasikia watu wakisema bunge ni dhaifu.


Spika kaongea kidogo tu watu wamemvaa tena.


Kwahiyo mnataka nini??


Halafu suala la Rais wa nchi kuendelea na hili suala la mikopo ni ufinyu wa akili.

Mtu ameshaomba radhi.

Yeye bado kashikilia bango.

Poor thinking capacity.
Kwakweli baada ya kuomba msamaha sikutegemea mtu mwingine aje na hii hii agenda...Huu si uungwana...Kama mtu kakosea na ameliona kosa lake ni busara kumwelewa na kusonga mbele
 
Kwakweli baada ya kuomba msamaha sikutegemea mtu mwingine aje na hii hii agenda...Huu si uungwana...Kama mtu kakosea na ameliona kosa lake ni busara kumwelewa na kusonga mbele

Kwani alifanya Kosa gani hadi akaenda kuomba MSAMAHA ?

Kusema kwamba mikopo haina tija ni hoja ya Msingi , tumekopa na tozo juu , means Mama ni failure na amekosa njia Mbadala ya kuongeza pato , hiyo ndiyo hoja ya bwana mdogo ndugai na ni hoja yenye mantiki.

Kitendo cha kuomba radhi ni utii wa kukosa uanaume

The boy is soft na ameprove he is cowardly
 
Naungana na wewe ; kafanya kosa kubwa snaa kuomba msamaha. Alitakiwa akae kimya asi comment chochote .

Angeonekana mwanaume zaidi . Kuomba msamaha means he is dumb na Hana stand, damn it.

Mwanaume kujiamini na ametoa mawazo yake huru ambayo yalikuwa ni mazuri Tu; hii Mikopo ni ya kipuuzi maana asilimia kubwa ya hii mikopo huliwa kifisadi na Hiyo ni report ya SHIRIKA LA FEDHA LA DUNIA.

Sasa yeye angebaki hapo hapo ; kuwa kama tumekopa , tozo ishushwe zaidi .

Samia Mwenyewe na kundi lake ni fisadi tu na ni Upenyo wa rushwa, unamuomba Samahani ya Nini , kwani yeye nani , atatoka kwenye kiti kama walivyotoka wengine , I can’t pleading for my thoughts and stand , ni upumbavu

Kuweka tozo ni failure ya mama , mbona tuliishi na Ngosha bila tozo

Job sio mwanaume yule , coward , mwanaume misimamo kwa unachoamini , na mwanaume hueshimika kwa misimamo yake. Ndio maana JPM ni rais bora wa maisha.

TISS wamemshauri kuomba msamaha na yeye kaomba kweli , leo mama kamtia kidole cha nyuma na msamaha wake. Haya ndio madhara ya kukosa stand. Mwanaume kujiamini hata ukibaki alone kwenye mawazo yako, poa tu ; ipo siku some people will understand you !

Maana mm najiuliza kaomba msamaha kwa kosa gani? Africa bwana

Yaani ukitoa mawazo yako kinzani, ni kosa Dah

Pole ndungai, kumbe we lofa tu
Nimekudharau sana

Leo nadhani ata kahawa hapo nyumbani kwake haipiti. Hiki kitamtafuna siku zote ameonekana ni dhaifu zaidi
 
Kwani kukopa ni dhambi kikubwa Hi yo mikopo itumike vizuri sio unakopa trion 1.3 unakula trion 1 then 0.3 ndo inatumika kwenye Miradi ya maendeleo rubbish..then job hakukosea kuhoji kwasabbu yeye ni muhimili kamili na ndo kazi ya huo muhimili labda kwa sababu ya utamaduni mbovu tulionao Rais Ana influence kupatikana kwa spika ndo maana tumezoea kuona spika anamsupport rais but haitakiwi iwe ivo ndo maana katiba mpya inatakiwa ili rais asione ameonewa kuhojiwa na spika kuhusu mambo mbalimbali
Kuhoji si tatizo lakini si kwenye majukwaa ya siasa, wangefanya hayo bungeni what could have been a problem? Waziri wa fedha angebanwa na hata kama kulikuwa na shida angetakiwa yeye kuwajibika. Sasa kinachoendelea Mungu mwenyewe atusaidie, haijulikani who is who!
 
Rais ni mwenyekiti wa chama atawatuma wabunge wapige kura ya kutokuwa na imani nae,,,spika ni mtu mdogo sana kwa nchi yetu

Na bunge linaweza kupiga kura kutokua na imani na serikali unyama unyamani
 
Kwa kuwa mama kakorofishwa Ndugai aachie ngazi, angekuwa mwanaume labda angeendelea kukaza kuongoza Bunge, ila si kwa vijembe hivyo, na sasa wataendelea hadi mwenyewe ajichukie!
Wale wajumbe walisimama na kumwimbia mama siju huko pia ni kumzomea spika na je, wabunge wasimama wapi
 
Kosa kubwa alilofanya mgogo ni kuomba msamaha, maneno ukishayatamka hayawezi kurudi mdomani
 
Back
Top Bottom