Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusichochee fujo na hasira...Hili swala limeisha tusonge mbele
Tunywe mtori nyama tutazikuta chini!
Kale katimu kanazidi kudidimizwa kaburini kwa mwendazake
MAGOGONI MODERN TAARABRais Samia Suluhu Hassan amesema ni Uhuru wa Mtu kusema chochote, lakini inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 kwasababu taarifa zote za Uchumi zinapita kwake akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Ameongeza, "Huwezi kuamini mtu mzima na unaenda kuargue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3 kama kwamba ndio kwamba inatokea Tanzania wakati toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
Ndugai alitakiwa kubaki na msimamo wake, kama kuvurugana wavurugane kila mmoja aoneshe makali kwa nafasi yake aliyopi
Afra ndio nini mkuu?Hii sio mara ya kwanza mhimili, wa Bunge kuto uzulia Afra A Ikulu walio karbu wamedai muhimili huo siku hizi hawapewi mialiko.
Ila Jana wakati Mzee Job akiomba Radhi kwa Rais alisema watamwalika Mh Rais awe mgeni Rasimi Sasa kwa madongo ya leo Mh ataarikwa na kukubali?
Hata hivyo Mimi siungi hoja maombi hayo kuombewa Taifa letu na wanasiasa hao.
Serikali yake ituambie pesa za makusanyo ya tozo zinakwenda wapi mbona siku hizi hakuna update zozote?
Kwenye hii issue yake na Ndugai kwangu Ndugai ndie mshindi, yeye anafurahia ushindi anaodhani ameupata kwasababu tu kuna kundi kubwa la wanafiki nyuma yake wanaojali matumbo yao wako upande wake kwasababu ya mamlaka aliyonayo kama mkuu wa nchi, lakini hajashinda kwa nguvu ya hoja.
Yaan kama anapigaga k vant..bas leo chupa emty zitaokotwa sana kongwaHii sio mara ya kwanza mhimili, wa Bunge kuto uzulia Afra A Ikulu walio karbu wamedai muhimili huo siku hizi hawapewi mialiko.
Ila Jana wakati Mzee Job akiomba Radhi kwa Rais alisema watamwalika Mh Rais awe mgeni Rasimi Sasa kwa madongo ya leo Mh ataarikwa na kukubali?
Hata hivyo Mimi siungi hoja maombi hayo kuombewa Taifa letu na wanasiasa hao.
Atatetewa na Mzee Mdee
Majibu yote yame tolewa leo. tafuta tafuta hutuba ya leo yutube mkuuSerikali yake ituambie pesa za makusanyo ya tozo zinakwenda wapi mbona siku hizi hakuna update zozote?
Kwenye hii issue yake na Ndugai kwangu Ndugai ndie mshindi, yeye anafurahia ushindi anaodhani ameupata kwasababu tu kuna kundi kubwa la wanafiki nyuma yake wanaojali matumbo yao wako upande wake kwasababu ya mamlaka aliyonayo kama mkuu wa nchi, lakini hajashinda kwa nguvu ya hoja.