Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Hongera Mama Abdul kwa kuzingatia 4R zako!
 
Aendelee kula Mihogo vizuri huko Chadema.

Kituo kinachofuata ni kumvua uwakili Mwambukusi
 
Ni Kama Ndugai tu[emoji38][emoji38][emoji38]
I hope wwnye akili wamenielewa

Ni the same applied to Nape alitumika kuleta kura nyingi mezani system ikatumia ushawishi wake ika win lengo jamaa akavimba kichwa kwa kujiona mwamba.

System baada ya kuona ishamaliza kazi yake ikamtemelea mbali alivyoona mambo syo akaomba kila kona akarudishwa kwa msamaha
 
Ukiwa na hadhi ya ubalozi Nini manufaa yake maslai yapi unapata
 
Wewe mzee hebu jitafakari kama akili yako ipo sawa. Ulianza kuvuliwa upadri , Ukaingia kwenye siasa Chadema wakakuvua uanachama baada ya kusaliti chama chako na kuingia CCM. Leo hii tena umevuliwa Ubalozi cheo ulichopewa na CCM baada ya kuhama kutoka Chadema...
RC walimfuta u padre
Chadema wakamtimua Kwa usaliti
Serikali imemvua Ubalozi

Huyo ni nyoka hakubaliki popote
 
Back
Top Bottom