Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Kumpiga teke chura, unamuongezea hatua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa likisha kukataa wewe hufai duniani mpaka mbinguni. Sisi wakatoliki tunajua hivyo.Kukataliwa na Mpumbavu, sio dhambi.
Kukataliwa na CDM, ilikua ni Haki ya Dr Silaa, kuandaliwa kugombea URAIS Kwa miaka mitano, na dakika za mwisho unapotezewa na kupewa mamuluki, kama mwanaume unayejielewa, lazima uchukue HATUA.
Kukataliwa Upadre, silizungumzii kwakua Sijui taratibu zao.
Bibi yako kazidi kuwaonyesha Watanzania kua Ana Kichwa Cha kuvukia Barabara na kusifia vifua vya wanaume, kuoa Wanawake wawili na maujinga ujinga kama hayo.
Kwa ufupi, URAIS umekua mkubwaaaaa, kapwaya pwaa pwaaa pwaaa
Msiomuelewe ni wewe na Mazuzu wenzio. Slaa alishasema chukueni chochote mnachoona ni Mali yenu. Kwani alizaliwa akiwa Balozi?
Watamchuna ngoziUpadri kavuliwa.
Ubalozi kavuliwa
Imebaki nini???
Wewe jiulize kila anapoenda wanamfukuza huyu atakua binadamu wa aina gani?Hajapungukiwa chochote acha kuanzisha nyuzi za kichochezi hapa
unapoamua kutumia wale ze comedy wa habari wasio na elimu wala upeo wowote eti kutetea DP World, inaonyesha namna CCM ilivyo chini..Anajihangaisha na mazezeta wa nchi hii?
bado haijui Tanganyika vzr, hapo ndipo anakwenda kuishaa!!Mama Abdul kuna kitu anakitafuta atakipata!
Ilikuaje akafukuzwa chadema? Ilikuaje akafukuzwa upadri? Ukijiuliza hata maswali unamuona tu hayuko sawa huyo mzee.Msiomuelewe ni wewe na Mazuzu wenzio. Slaa alishasema chukueni chochote mnachoona ni Mali yenu. Kwani alizaliwa akiwa Balozi?
Alikuwa Balozi nchi gani?DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter...
Nyumbu mamakoMama anaupiga mwingi ana uvumilivu wa kukosolewa - alisikika Zito Kabwe na na nyumbu wa chadema
Haiondoi ukweli kuwa ni msomi na hayo ya kuisaliti ni ya kwako wewe na huwezi kufananisha Udaktari wake na ule wa kupewa.PhD ya Theology aliisaliti kwa kuparamia Wanawake na Ubalozi pia kaunajisi kwa kujaribu kukalia ncha ya Mkuki
Sasa kutolewa ubalozi kwa issue ya limkataba libovu la Bandari ndio kitu cha kunifanya nihoji?nitakuwa sina AKILI kama weweWewe jiulize kila anapoenda wanamfukuza huyu atakua binadamu wa aina gani?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Acha upotoshaji wa kijinga, Slaa hakuvuliwa upadre bali aliamua kuachana na upadre. CDM hakufukuzwa bali aliondoka baada ya CCM kumpokea fisadi Lowassa. Ubalozi wa Tanzania nao ni kitu cha kujivunia, ungekuwa ubalozi wa US hapo wangalau.