Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Kukataliwa na Mpumbavu, sio dhambi.



Kukataliwa na CDM, ilikua ni Haki ya Dr Silaa, kuandaliwa kugombea URAIS Kwa miaka mitano, na dakika za mwisho unapotezewa na kupewa mamuluki, kama mwanaume unayejielewa, lazima uchukue HATUA.



Kukataliwa Upadre, silizungumzii kwakua Sijui taratibu zao.



Bibi yako kazidi kuwaonyesha Watanzania kua Ana Kichwa Cha kuvukia Barabara na kusifia vifua vya wanaume, kuoa Wanawake wawili na maujinga ujinga kama hayo.

Kwa ufupi, URAIS umekua mkubwaaaaa, kapwaya pwaa pwaaa pwaaa
Kanisa likisha kukataa wewe hufai duniani mpaka mbinguni. Sisi wakatoliki tunajua hivyo.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Anajihangaisha na mazezeta wa nchi hii?
unapoamua kutumia wale ze comedy wa habari wasio na elimu wala upeo wowote eti kutetea DP World, inaonyesha namna CCM ilivyo chini..
 
Hii huwa inaitwa Kiranga komo.

namhurumia sana slaa kucheza na Rostam Aziz.

Hivi miaka yote ya kwenye siasa hajamjuwa tu ni nani yule?

Namshauri amuulize pengo.
 
Ma ccm majinga sana hata mtoto mdogo asingefanya hivi yaani uelewa wao ni sifuri na sijui wanawezaje kuongoza nchi mpaka hii leo ila mwisho wao unakaribia
 
Nampongeza Mama Samia kwa haya maamuzi magumu. Haiwezekani kulea ujinga unaoathiri watanzania milioni 60. Dr Slaa amestahili hiyo adhabu.
 
PhD ya Theology aliisaliti kwa kuparamia Wanawake na Ubalozi pia kaunajisi kwa kujaribu kukalia ncha ya Mkuki
Haiondoi ukweli kuwa ni msomi na hayo ya kuisaliti ni ya kwako wewe na huwezi kufananisha Udaktari wake na ule wa kupewa.
 
Huyu jamaa watanzania hatumuelewi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Acha upotoshaji wa kijinga, Slaa hakuvuliwa upadre bali aliamua kuachana na upadre. CDM hakufukuzwa bali aliondoka baada ya CCM kumpokea fisadi Lowassa. Ubalozi wa Tanzania nao ni kitu cha kujivunia, ungekuwa ubalozi wa US hapo wangalau.

Hapa ndio imedhihirika hivi vyeo ni kwa ajili ya kuwafunga watu midomo. Kumvua Slaa ubalozi baada ya kupigania raslimali za nchi ni sifa wala sio aibu. Labda kwenu chawa ndio mnaona ni pigo.
 
Back
Top Bottom