Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Usaliti ni kitu kibaya sana. 🤣🤣🤣🤣🪑Nashangaa kwanini Chadema wanashangilia Dr silaa kuvuliwa ubalozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usaliti ni kitu kibaya sana. 🤣🤣🤣🤣🪑Nashangaa kwanini Chadema wanashangilia Dr silaa kuvuliwa ubalozi
Akina Pendaeli tuliwambia jamami Katiba Hii utaipenda tu kama madarakani lakini wakishika wengine ndio utaona uchungu wako. Haya sasa.Ingawa ni baadhi yao ila kwa kiasi inazidi kudhihirisha mwanamke kuwa na madaraka ya juu ni tatizo katika jamii haswa kwa katiba kama yetu, sio mbali sana ya ndugai tulivyo shuhudia!
Hadi mimi mtanzania nisiyekuwa nafuatilia hili suala,nitaanza sasa kufuatiliaZaidi na Zaidi wamefanya Watanzania waanze kuelewa kwamba kuwa swala la bandari ni jambo nyeti sana na ni wazi serikali kuna inacho tetea na kulazimisha!
Huyu jamaa watanzania hatumuelewikimavi kimemuingoa
Hiyo ndio misimamo ya kiume na sio kuwa unasifia hata masuala ya hovyo hovyo.Mwabukusi aliwambia hakuzaliwa na Uwakili na kuna watu wengi sio mawakili na wala.hawajasoma ila wanaishi na yeye ataishi kama wengine atalima
Huwezi jua kuvuliwa hadhi ya ubalozi imemaanisha nini ?Hii imeknyesha serikali ya Dr Samia ni ya hivyo..wangemuachia ubalozi wake ingekuwa na manufaa Kwa upande wako kuliko walivyomuvua
Mama Abdul aache drama zake,ajue mtu mzima hatishiwi nyauDKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter...
Anatetea Taifa ....sio vyeo kibinadamu.....wanaojua historia nchi hii huyo ndio mpinzani no 1 1995 mbunge Karatu wa CDM.....aliwasumbuaaa.....uliza ujueWewe mzee hebu jitafakari kama akili yako ipo sawa. Ulianza kuvuliwa upadri , Ukaingia kwenye siasa Chadema wakakuvua uanachama baada ya kusaliti chama chako na kuingia CCM. Leo hii tena umevuliwa Ubalozi cheo ulichopewa na CCM baada ya kuhama kutoka Chadema.
Kama mtu mzima lazima ujiulize wewe una matatizo gani? Kwanini kila ulipo jamii inakukataa.?
Nakushauri achana na mambo yote kaungame kanisani kwako ubaki muumini wa kawaida na utubu kwa Mungu akusamehe makosa yako.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
CCM wameonyesha kufeli, kila mtanzania kachukulia hili kama chuki binafsi.Msomi wa darasani Dr. Wilbroad Slaa (PhD) ina hadhi kuliko hata ule ubalozi wa kwenda kuzurura kwenye nchi za watu.
Siwez kukulaumu kwa kuniita mimi nashinda kubet sababu we are anonymous hapa jf.We Slaaa kwa Umuri wake haihitaji hizo mbbwe, nyie ndio wale mnashinda kubeti badala ya kupigania nchi, endelea kubet na kuwaza kwamba sasa Slaa atakoma.
Kwani wakati hajawa Balozi si alikuwa ana safiri? Kuna alicho kuwa anapungukiwa akisafiri?
PhD ya Theology aliisaliti kwa kuparamia Wanawake na Ubalozi pia kaunajisi kwa kujaribu kukalia ncha ya MkukiMsomi wa darasani Dr. Wilbroad Slaa (PhD) ina hadhi kuliko hata ule ubalozi wa kwenda kuzurura kwenye nchi za watu.
He was very bold in his statement kama LissuHiyo ndio misimamo ya kiume na sio kuwa unasifia hata masuala ya hovyo hovyo.
Hili limama hili[emoji57][emoji57][emoji57]DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
Julai 22, Dkt. Slaa aliizungumza na Wananchi kupitia vyombo vya habari akisema ni kwa ajili ya kuelimisha wananchi kuhusu kasoro zilizopo kwenye mkataba wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam.
Aliweka wazi kuwa hapingi uwekezaji katika bandari hiyo ya Dar es Salaam bali anapinga mkataba wa uwekezaji kwa kueleza kuwa hauna maslahi kwa Taifa.
Aidha, siku alisema kuwa “Najua maneno hayo ni makali… nimepokea vitisho na mimi pia sio tu Mawakili, wengine wakasema ubalozi wako tutachukua, nawaambia chukueni sasa hivi, siishi kwa ajili ya ubalozi. Nimesema sina chama najiamini najau ninachosimamia“
Dk Slaa alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1948 wilayani Karatu. Alipata elimu ya msingi katika shule za Karatu na Kwermusi (Mbulu) kati ya mwaka 1958 na 1965.
Alisoma elimu ya sekondari katika Shule za Dung’unyi Seminari na Itega Seminari kati ya mwaka 1966 na 1971.
Ni kiongozi mwenye stashahada tatu pamoja na shahada ya Uzamivu (PhD). Anayo Shahada ya Uzamivu (PhD ) katika Sheria ya kanisa kutoka Chuo Kikuu cha St. Urban, Rome. Pia anastashahada ya Theolojia kutoka Kipalapala Seminari, Stashahada ya falsafa kutoka Kibosho Seminari, Stashahada ya Afya ya Macho kutoka Kituo cha Kimataifa cha Macho.
Amewahi kuwa padri wa Kanisa Katoliki kuanzia mwaka 1977 hadi 1991, akishika nafasi za kiutawala katika kanisa pia. Amepata kuandika vitabu vitatu ambavyo ni Utimilifu wa Msichana (1977), Utimilifu wa Mvulana (1977) na Expediency and exigency Liturgical Legislation (1981).
Ni mzungumzaji wa Lugha nane kwa ufasaha; ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kilatini, Kiitaliano, Kijerumani, Kihispania, Kireno na Kifaransa.
Siku ya Alhamisi, Novemba 23, 2017 Aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alimteua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuwa balozi. Alikuwa Balozi wa Sweden, pia ailiidhinishwa kwa Nchi za Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia, Ukraine na Lithuania.
Kipindi Dk Slaa anateuliwa kuwa Balozi, alikuwa anaishi Canada, alitangaza kuachana na siasa kutokana na kutofautiana na chama chake katika kumpokea Edward Lowassa aliyehama kutoka CCM na baadaye kumpitisha kuwa mgombea urais kupitia muungano wa vyama vya siasa wa Ukawa.
Pia, soma: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!
Ni Kama Ndugai tu😆😆😆Siwez kukulaumu kwa kuniita mimi nashinda kubet sababu we are anonymous hapa jf.
Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa system ilimtumia dr slaa na baada ya kumalizana nae yeye mwenyewe akafanya mistake ikapata chance ikamdump