Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Swala la bandari ni nyeti sana hadi mtu anavuliwa ubalozi? Kweli ubalozi una uma sana kuliko bandari?Slaa ashikilie zaidi hapohapo
Tuendelee kuona mtanange
Ukiwa kiongozi lazima uwe mvumilivu.
Kama hutaki kukosolewa basi wewe hufai kuwa kiongozi.
Kwamba hiyo itampunguzia kitu gani?DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter...
Pambana Mtoto Wa Kiume Hakuna Nchi Serekali Inagawa pesa, Kwani hao wenye pesa mtaan kwako wanafanya kazi wizara gani? Usitumie Uvivu Wako Kuwa Ndiyo Sababu Ya Kulaumu Serikali Mzee.Vipi Maisha ya Wazazi sasa yatabadilika
Swala hapa hoja za bandari zikijibiwa basi wala huo ubalozi hautowauma!Mbona slaa anavuliwa kila kitu?
1. Walimvua upadri
2. Wakamvua ukatibu mkuu chadema
3. Wakamvua ubunge
4. Wakamvua Josephine kule Canada
5.Leo wamemvua ubalozi
6. Kitu gani kimebaki tumvue?
Maisha yako ww yalibadilika alipokuwa balozi? Tuanzie hapoSasa hebu elezea maisha yako na ukoo wenu yatabadilika vipi kwa yeye kuvuliwa Ubalozi, yaani
Zaidi na Zaidi wamefanya Watanzania waanze kuelewa kwamba kuwa swala la bandari ni jambo nyeti sana na ni wazi serikali kuna inacho tetea na kulazimisha!Kwamba hiyo itampunguzia kitu gani ?
Mzee ashikilie hapohapoHakika Swala la bandari ni nyeti sana hadi mtu anavuliwa ubalozi? Kweli ubalozi una uma sana kuliko bandari?
Ndio majibu ya bandari haya….Halafu italeta tija gani kwa nchi baada ya kumvua hiyo hadhi ya ubalozi? Mambo mengine naona kama ni useless.
Hakuna sehemu niliyosema kuwa mabalozi pekee ndo wana diplomat passport.Unajua Passport za Kidiplomasia wanapewa watu gani? Nazani kwa akili zako fupi unazania wanapewa Mabalozi pekee, rudi kasome,
Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa | Page 12 - JamiiForums Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. SlaaMbona slaa anavuliwa kila kitu?
1. Walimvua upadri
2. Wakamvua ukatibu mkuu chadema
3. Wakamvua ubunge
4. Wakamvua Josephine kule Canada
5.Leo wamemvua ubalozi
6. Kitu gani kimebaki tumvue?
Designation aways remains even after leaving the station.Kwani alikua bado ni Balozi??
Anamudu kuongea lugha 8 za kimataifa?! Basi huyo ni nguli wa lugha. Ukiongeza ki-mbulu/kibarbaig, atakuwa anaongea lugha 9!DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
Dk Slaa alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1948 wilayani Karatu. Alipata elimu ya msingi katika shule za Karatu na Kwermusi (Mbulu) kati ya mwaka 1958 na 1965.
Alisoma elimu ya sekondari katika Shule za Dung’unyi Seminari na Itega Seminari kati ya mwaka 1966 na 1971.
Ni kiongozi mwenye stashahada tatu pamoja na shahada ya Uzamivu (PhD). Anayo Shahada ya Uzamivu (PhD ) katika Sheria ya kanisa kutoka Chuo Kikuu cha St. Urban, Rome. Pia anastashahada ya Theolojia kutoka Kipalapala Seminari, Stashahada ya falsafa kutoka Kibosho Seminari, Stashahada ya Afya ya Macho kutoka Kituo cha Kimataifa cha Macho.
Amewahi kuwa padri wa Kanisa Katoliki kuanzia mwaka 1977 hadi 1991, akishika nafasi za kiutawala katika kanisa pia. Amepata kuandika vitabu vitatu ambavyo ni Utimilifu wa Msichana (1977), Utimilifu wa Mvulana (1977) na Expediency and exigency Liturgical Legislation (1981).
Ni mzungumzaji wa Lugha nane kwa ufasaha; ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kilatini, Kiitaliano, Kijerumani, Kihispania, Kireno na Kifaransa.
Siku ya Alhamisi, Novemba 23, 2017 Aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alimteua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuwa balozi. Alikuwa Balozi wa Sweden, pia ailiidhinishwa kwa Nchi za Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia, Ukraine na Lithuania.
Kipindi Dk Slaa anateuliwa kuwa Balozi, alikuwa anaishi Canada, alitangaza kuachana na siasa kutokana na kutofautiana na chama chake katika kumpokea Edward Lowassa aliyehama kutoka CCM na baadaye kumpitisha kuwa mgombea urais kupitia muungano wa vyama vya siasa wa Ukawa.
Pia, soma: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!
unamaanisha hata hizi tumbua na panguapangua inawezekana ni inachangiwa na gubu?Wanawake kwa gubu hatujambo
Iaondoka na wengi nababo🤣🤣🤣🪑Bandari
Huu ndio uongo siutakagi huu. Kuendelea kujifariji nchi ni yetu sote,huku wanaoitafuna kwa raha ni wachache. Sema wewe ni mlinzi wao tu. Ksbb sisi ndio tunaofanya waendelee kutambaHili nalo litapita!
Nchi ni yetu sote!
Lilikua suala la muda tu, c kwa spana zile kuhusu DP world!!DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter.
Hayati Rais John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Willibroad Slaa ambaya ni Katibu Mkuu wa zamani wa chama cha Upinzani, CHADEMA kuwa Balozi mnamo Novemba 23, 2017
Dk Slaa alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1948 wilayani Karatu. Alipata elimu ya msingi katika shule za Karatu na Kwermusi (Mbulu) kati ya mwaka 1958 na 1965.
Alisoma elimu ya sekondari katika Shule za Dung’unyi Seminari na Itega Seminari kati ya mwaka 1966 na 1971.
Ni kiongozi mwenye stashahada tatu pamoja na shahada ya Uzamivu (PhD). Anayo Shahada ya Uzamivu (PhD ) katika Sheria ya kanisa kutoka Chuo Kikuu cha St. Urban, Rome. Pia anastashahada ya Theolojia kutoka Kipalapala Seminari, Stashahada ya falsafa kutoka Kibosho Seminari, Stashahada ya Afya ya Macho kutoka Kituo cha Kimataifa cha Macho.
Amewahi kuwa padri wa Kanisa Katoliki kuanzia mwaka 1977 hadi 1991, akishika nafasi za kiutawala katika kanisa pia. Amepata kuandika vitabu vitatu ambavyo ni Utimilifu wa Msichana (1977), Utimilifu wa Mvulana (1977) na Expediency and exigency Liturgical Legislation (1981).
Ni mzungumzaji wa Lugha nane kwa ufasaha; ambazo ni Kiswahili, Kiingereza, Kilatini, Kiitaliano, Kijerumani, Kihispania, Kireno na Kifaransa.
Siku ya Alhamisi, Novemba 23, 2017 Aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alimteua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kuwa balozi. Alikuwa Balozi wa Sweden, pia ailiidhinishwa kwa Nchi za Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia, Ukraine na Lithuania.
Kipindi Dk Slaa anateuliwa kuwa Balozi, alikuwa anaishi Canada, alitangaza kuachana na siasa kutokana na kutofautiana na chama chake katika kumpokea Edward Lowassa aliyehama kutoka CCM na baadaye kumpitisha kuwa mgombea urais kupitia muungano wa vyama vya siasa wa Ukawa.
Pia, soma: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa kuvuliwa ubalozi na kukamatwa!
Mimi sijawahi mind yeye kuwa balozi, na hata kwa sasa sifurahii kwa sababu maisha yangu hayawezi badilika kwa kushangilia yeye kuvuliwa Ubalozi, nakuuliza wewe kwa sababu una furaha sana lazima kuna mabadiliko yanakuja kwenye maisha yakoMaisha yako ww yalibadilika alipokuwa balozi? Tuanzie hapo