Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Kuondolewa ubalozi ina impact gani kwenye uchumi wetu?
 
Nyie ni wale wajinga wa jukwaa? Huu ushuzi kawaeleze wazee vijiweni juenda wakanunua huu ushauri wako
Tatizo lenu mukiambiwa ukweli munavimba nusura ya kupasuka ila usisahau kinachokupa hiyo jeuri ni amani iliyopo hapa nchin unayotamani itoweke kwa maslahi ya usiowajua japo unajihis shujaa
 
Kwanza Upadri huwa hauvuliwi unaweza kuavhwa usitoe huduma ila unabakia na Upadri wako maisha yote
 
Kumbe ata ukitenguliwa unakuw bado VIP katk hadhi ya x- balazo had rais akuvue kbsa
Niliwahi kusikia mahali kuwa cheo na hadhi ya ubalozi huwa havifutiki....yaani ukishapewa hiyo hadhi ya balozi basi ni moja kwa moja wanasema once a soldier always a soldier
 
Na Magufuli atavuliwa urais hivi karibuni, kisa ni waraka wa TEC. Wakatoliki mjiandae kwa visasi
 
Yaan chukinwaliyonayo watu dhidi ya mama naona atavunja recodi ya magu
Rais samia anapendwa sana na mamilioni ya watanzania ndio maana Anaendelea kuungwa mkono kila kona ya nchi yetu. Kama humpendi ni wewe na familia yako tu ambayo unaweza kuta hata mkeo anampenda na kumuunga mkono mh Rais wetu , kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wote.
 
Niliwahi kusikia mahali kuwa cheo na hadhi ya ubalozi huwa havifutiki....yaani ukishapewa hiyo hadhi ya balozi basi ni moja kwa moja wanasema once a soldier always a soldier
Leo umejua sasa kuwa haikuwa kweli ... hongera
 
Machafuko yapi unayoyazungumzia wewe ambayo hayapo?? Kijana graduate kuwa dereva wa bodaboda sawa na yule form four failure, wewe hauoni kama hayo tayari ni machafuko??
Hujui unachozungumzia hivi hamujifunzi kwa nchi za wenzenu? Au umezaliwa jana jion hujui historia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nadhani huijui amani, bali unaondelea uoga. Jinsi mnavyopora uchaguzi na watu wako kimya hapo unaweza kujivunia amani? Ama hujui amani maana yake ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…