Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Now this is Petty....

Jina lenyewe halina maana kama vile majina ya DR. katika nchi hii yalivyokuwa diluted..., labda ni yale marupurupu yanendanayo na hili jina ndio atakayomiss
 
Low cerebrum capacity 🤣
 
Kitaalam ina madhara gani kumuondolea hiyo hadhi ya ubalozi.
 
Safi sana huyu mzee slaa ni mnafiki sana, hafai.
Kabobea kwenye unafiki. aliwasaliti chadema kwaajili ya cheo cha ubalozi lakini cha kushqngaza leo hii tena yupo chadema!
 
Yah inaleta zaid ya ugali sababu anapewa huduma zote za ki vip iwe ndani au nje ya tz na ilikuwa ana passport ya diplomat but now mkavu tu hata kuruta anamkwida mkanda
Kwani hata wabunge si wana Passport ya Diplomat? Au mimi ndio sielewi?
 
Avuliwe tu huyu malaya wa siasa. Akipewa hela anafanya chochote, hana tofauti na malaya wa Kitambaa cheupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…