Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Kwa Hakika mh Rais amefanya jambo lililokonga na kukosha mioyo ya watanzania,Ameziteka nyoyo za watanzania ndani ya muda mfupi sana,amefanya jambo la kipekee ,la kijasiri na kishujaa sanaa. Niliandika humu kuwa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuwa kupewa heshima ya ubalozi.hakustahili kabisa kuwa nawadhifa huo mpaka muda huo. Safi sana Mh Rais,hongera sana mama yangu kwa hatua hii ya kishujaa na kijasiri inayoendelea kuungwa mkono na wengi.
 
Pambana mkuu, one day Yes. Unaweza ukateuliwa
 
Mazao ya dhambi ya usaliti yameiva, ikibidi kama alivyofurahia wakati alipandikiza usaliti, afurahie yakati hizi za mavuno pia!
 
Unafki hautaisha miongoni mwetu kwa sababu ukisimamia ukweli, au ukiongea kinyume na aonavyo alie juu ya yote unavuliwa kunzia nguo mpaka utu!
Hatujasahau ya ndugai bado! Ni jinsi gani inatupasa kutafakari upya aina ya viongozi wanapaswa kutuongoza
 
Avuliwe tu, kipindi Cha Magu alikuwa kimya analamba asali baada ya kuwekwa kando ndio analeta choko choko. ...Safi Samia hakuna kucheka na wanafiki
Sasa hebu elezea maisha yako na ukoo wenu yatabadilika vipi kwa yeye kuvuliwa Ubalozi, yaani
 
Kwingineko, wanajeshi wanastaafishwa, hapa watu wanavuliwa ubalozi.

Africanism
 
Mbunge anawakilisha wananchi ndani ya jimbo.

Balozi anawakilisha nchi/rais nje ya nchi so ana play role as a president
Unajua Passport za Kidiplomasia wanapewa watu gani? Nazani kwa akili zako fupi unazania wanapewa Mabalozi pekee, rudi kasome,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…