Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika alivuliwa upadre ChiefWewe mzee hebu jitafakari kama akili yako ipo sawa. Ulianza kuvuliwa upadri , Ukaingia kwenye siasa Chadema wakakuvua uanachama baada ya kusaliti chama chako na kuingia CCM....
Hizo 4R ni maneno aliyokuwa akiimba Zittow yuda!!Halafu ndo huyo anaimba resilience kweli? Samia ni mtu wa hovyo sana!
Mwingine huyu....Ukishavuliwa uungu ( ukuhani-upadri) kwa wanadamu huna hadhi. Unabaki muhuni tu.
Karma is Bitch
Amani kila mtu anaitaka, lakini kamwe haipaswi kutumiwa kama fimbo ya kuwachapia walalahoi panapotokea unfair distribution of resources na wao (walala hoi) kuanza kulalamika na kuwatishia eti "mkiendelea kulalamika amani itatoweka na mtashindwa hata kushika simu", huo ni upuuzi.Vyovyote Vile, Ila Huwezi Kuelewa Umuhmu Wa Amani Mpaka Itakapo Ondoka, Huo Ujasiri Ulionao Hapo Wa Kuchukua Simu Yako Na Kuqoute Coment Yangu Ni Kwasababu Ya Hii Amani Unayotamani Itoweke Kwa Maslah Ya Watu Ambao Hawawezi Kukukmbuka Wewe Wakifanikisha Azma Yao
Kwenda huko wewe uliyekosa adabu na heshima.Alipewa na Mtu mwenye cheo cha Urais na sasa Amevuliwa na Rais . Aendelee na matusi na lugha zake za uchochezi aone kama hajatupwa Ndani kujieleza .Kisa kapinga DP world..kwanza anamvua kwani alimpa yeye?? Huyu bibi kweli zu.m.b.u.k.uku.
Wala! Wengi mameshaelewa , sote kadhalika tumekubali ya kwamba nafasi inayomfaa mwanamke ni usaidizi .Feminist watanipiga mawe ila ukweli ndio huo.
Kumbe ata ukitenguliwa unakuw bado VIP katk hadhi ya x- balazo had rais akuvue kbsaYah inaleta zaid ya ugali sababu anapewa huduma zote za ki vip iwe ndani au nje ya tz na ilikuwa ana passport ya diplomat but now mkavu tu hata kuruta anamkwida mkanda
Msabato masalia,naona unamsubiri yesu kwenye danguloThe last kicks of a dying horse
Mbona umepainki au alishakuvua chupi piaKizee hicho kimechanganyikiwa
Kimevuliwa upadri
Kimevuliwa ubalozi
Anachoweza ni uchochezi tu .
Mzee wa hovyo.
Mwingine huyu.Mbona slaa anavuliwa kila kitu?
1. Walimvua upadri
2. Wakamvua ukatibu mkuu chadema
3. Wakamvua ubunge
4. Wakamvua Josephine kule Canada
5.Leo wamemvua ubalozi
6. Kitu gani kimebaki tumvue?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.Rostam ni panzi tu kwa Pengo , labda mdanganyane huko madrasa
Hao wanawake bila shaka Mama yako yumoPhD ya Theology aliisaliti kwa kuparamia Wanawake na Ubalozi pia kaunajisi kwa kujaribu kukalia ncha ya Mkuki
Mbona unapaniki au alishawahi kukuvua chupi na weweSafi sana huyu mzee slaa ni mnafiki sana, hafai.
Kabobea kwenye unafiki. aliwasaliti chadema kwaajili ya cheo cha ubalozi lakini cha kushqngaza leo hii tena yupo chadema!
Yeah balozi ni cheo kikubwa sana hope diaspora yoyote ukimuuliza hili atakujibuKumbe ata ukitenguliwa unakuw bado VIP katk hadhi ya x- balazo had rais akuvue kbsa