Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume hatuna tabia za kuchukiana bila sababu kama wanawake.Mwanamke akisema tena kuhusu mwanamke = "wanawake hampendani"
Na kwa mwanaume akisema kitu kuhusu mwanaume inakuaje?
Nitajie mambo matano (5) tu yanayokufanya umchukie Rais samia mimi nitakutajia mambo 100 mazuri aliyoyafanya ndani ya hii miaka yake miwili ya uongozi.Mwanamke akisema tena kuhusu mwanamke = "wanawake hampendani"
Na kwa mwanaume akisema kitu kuhusu mwanaume inakuaje?
Huyo hapo ni nani mkuu aliyekaa chini, Dr Samia? Aliyesimama ni DP World?
Hiyo ina maana hajawahi kuwa balozi au ikoje?mm sielewi nisaidieni wajuvi wa mambo.DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023.
Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitte...
Sasa akishafuta ubalozi wa dr Slaan then what?? Thats bad political move, mtu kama mwabukusu huna cha kumfutia atazidi kukuchefua tu kwa sababu anajua uko short tampered, kama mpo karibu na mama (madam KV) mshaurini vyema bhana achague moja kuwa benevolent dictator ama Mwanademokrasia kibaraka. BTW kwa upande wa hapa Kizimkazi Hanson's choice hakuna, mama aangalie hili piaHao akina Mwabukusi hawana wa kumtisha .labda wakatishe walevi wenzao huko.
Upadre ni alama isiyofutika. Hajavuliwa upadre, bali amezuiwa kutoa huduma za kichungaji. Yeye bado ni padre.Upadri kavuliwa.
Ubalozi kavuliwa
Imebaki nini???
Sasa kwanini azuiliwe? Haya tuambie na ilikuaje akafukuzwa chadema?Upadre ni alama isiyofutika. Hajavuliwa upadre, bali amezuiwa kutoa huduma za kichungaji. Yeye bado ni padre.
Mama anatamani ata kumvua Urais wa TEC Askofu Ngalekumtwa!ila sasa ndiyo hawezi,ameamua kumalizia hasira zake kwa Dr Slaa![emoji1787]Lakini bado Maswali kuhusu bandari yataendelea kuulizwa na atatakiwa kuyajibu! Tuliwambia kuwa huyu Rais awezi kustahimili vishindo kama anayojigamba hahahahahah kiko wapi? Sasa ubalozi ulikuwa unamsaidia nini Dk Slaa? [emoji1787] [emoji23][emoji23][emoji23]
Maswali na hoja za bandari zikijibiwa vyema wala ubalozi wa mtu hautokuwa kikwazo
Mama anatamani ata kumvua Urais wa TEC Askofu Ngalekumtwa ila ndiyo hawezi![emoji1787]DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023. Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitte...
Shingo haipiti kichwa, mamlaka lazima kuheshimiwa.DKt Wilbroad Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kuanzia leo Septemba 1, 2023. Taarifa imetolewa hivi punde na Ikulu katika mtandao wa kijamii wa X ama Twitter...
Haiwezekani kabisa, tena
Haha you looking fo hanson choice. Kahawa, kashata aitoshi?Sasa akishafuta ubalozi wa dr Slaan then what?? Thats bad political move, mtu kama mwabukusu huna cha kumfutia atazidi kukuchefua tu kwa sababu anajua uko short tampered, kama mpo karibu na mama (madam KV) mshaurini vyema bhana achague moja kuwa benevolent dictator ama Mwanademokrasia kibaraka. BTW kwa upande wa hapa Kizimkazi Hanson's choice hakuna, mama aangalie hili pia
Jf hiyooo, nasikia humo wote ni great thinkers.......yaani hadi huyu🤣🤣🤣🤣Kisa kapinga DP world..kwanza anamvua kwani alimpa yeye?? Huyu bibi kweli zu.m.b.u.k.uku.
Me mtalii wa Tanganyika, pombe ndio burudani yangu, hususani nikiwa visiwaniHaha you looking fo hanson choice. Kahawa, kashata aitoshi?