Tunaposema ni tatizo la Dunia inflation, hiyo Marekani na German wapo Mars??? Humu ni for great thinkers only. Unatuchosha
Nashukuru BossLazima uchoke kwasababu kichwa huna bali una kifuu juu ya mabega yako!! Huna hata macho kuona nchi ndogo kama RWANDA inavyohangaika kuwalinda wananchi wake na huu mfumuko wa bei!! Mnabakia kusifia tu mnadhani mtapewa upenyo wa kwenda kufanya kazi serikalini ili mkaibe; pumbafu kabisa nyie.
Nashukuru Boss
Hivi kwanini kipindi cha Jk Nyerere kulitokea majaribio kadhaa ya mapinduzi pamoja na kuonekana kuwa alikuwa mbora katika urais wake, au propaganda ndio zilieneza ubora wake.Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?
Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,
Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!
Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.
Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….
URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA
Britanicca
Wewe unae tumia akili zako sasa,Kuwa mzalendo tumia akili kidogo; usikubali kutumiwa huku unaangamiza nchi yako! Jitambue mwananchi hakuna dhambi kubwa kuliko kukubali kuwa mpumbavu.
Kwani unadhani mapinduzi hayaratibiw hadi sasa?Hivi kwanini kipindi cha Jk Nyerere kulitokea majaribio kadhaa ya mapinduzi pamoja na kuonekana kuwa alikuwa mbora katika urais wake, au propaganda ndio zilieneza ubora wake.
Wewe unae tumia akili zako sasa,
Weka solution zako hapa na ziwe applicable kwa nchi utaonekama tu. Wenye akili wenzako watakusoma tu. Na sisi tusio na akili tutapata maarifa kutoka kwako mwenye akili. No hard feelings.
Nilikuwa natafuta fact,Kwani unadhani mapinduzi hayaratibiw hadi sasa?
Kipindi cha Magufuli yemakuwapo mipango Kama mara 5 yote inafeli dah nimekumbuka DODOMA HOTEL nyie siyo kila habari watamwaga hapa!
Kwa Kikwete ndo haikuwa ila Kwa Mkapa ya Kimya y alikuwapo
Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?
Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,
Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!
Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.
Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….
URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA
Britanicca
Hii ni aina gan ya ndotoTunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?
Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,
Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!
Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.
Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….
URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA
Britanicca
Wacha kelele ziliquote hapa hizo idea.I have given ideas of how we can buy oil at lower prices if we have people who can apply commodity trade principles!! Mtu asikudanganye kuwa kwenye Soko la dunia wote wananunua mafuta kwa bei moja; hapana! Read my threads on this issue. Thanks for the challenge.
Saizi Sukuma gang na Chadomo kete yao ni Bei ya vitu kupanda eti wanategemea itawavusha hadi 2025 [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..
Ukiwaomba Sukuma gang waweke rekodi za mwaka mmja wa mtu wao vs SSH wanakwepa baada ya Samia kuwa outperform pakubwa ..
Utasikia miradi ya Magufuli,huwa nawauliza kwa nini miaka 6 hakumaliza mradi hata mmja at the same time wanataka Samia amalize ndani ya mwaka wake mmja na kuanza mipya [emoji38][emoji38][emoji38]..
Uzuri wa Samia hapendi masifa ya kijinga wala kulazimisha kupendwa kwa maigizo na propaganda.za kitoto za shujaa wa Chato..
Sikiliza wabunge huko Bungeni wanavyofurahia mahela lundo kwenye Halmashauri zao hadi raha na wanakiri haijawahi kutokea Rais kutekeleza bajeti na ilani kama Samia.Huu ni ukweli mchungu watetezi wa legacy hawapendi kuusikia..
Ila kumfananisha na Nyerere,hapo hapana mkuu umezingua.