Safari hii tumepatikana.Inashangaza sana jitu limeshiba maharage ya daku huko linaibuka tu kuandika ushuzi hapa.
Nyerere na Magu utamfananisha na hii taka tunayo Hapa.
Tuendelee tu bado miaka 3-8 kila rangi tutasoma.
Usisahahu na Kaburu gang wapo humu humu!
Chama ndio hakifai-Michoro yote ni Ilani zao!Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?
Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,
Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!
Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.
Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….
URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA
Britanicca
Hiyo miaka unayowapa hayako Kikatiba na sio lazima aendelee miaka 9 kama anvyodai. Hayo ya Miaka 9 ni makubaliano yao na hayawahusu Wananchi waliochoka na mazingaombwe.Inashangaza sana jitu limeshiba maharage ya daku huko linaibuka tu kuandika ushuzi hapa.
Nyerere na Magu utamfananisha na hii taka tunayo Hapa.
Tuendelee tu bado miaka 3-8 kila rangi tutasoma.
Bora uongee, kuna wapuuzi fulani wao kazi yao ni kushinda nyuma ya keyboard kumwaga sifa na kulipwa posho. Hao hata bei ya cement na nondo hawajui zimepanda lini maana wanakaa nyumbani kwa baba na mama. Tuache huu ujinga wa kusifia tu kila jambo jamani, hatumkomoi Jiwe na wapambe wake maana Jiwe alishakufaHii vita ya putin mmeamua kuisingizia tu na kuifanya chaka la kujifichia bila sababu..mkibanwa kwenye hilo mnarukia kisingizio cha covid 19 utadhani imeanza mwaka huu..
sisi wakulima mmetunyanyasa sana msimu huu unaosha...mbolea ya kupandia ilipanda toka 54,000 hadi 120,000, Urea ilitoka 50,000 hadi 100,000, CAN ilitoka 40,000 hadi 90,000...hizo bei ni kwa maeneo yetu sisi kwa wengine huko sijui hali ilikuaje...njoo vifaa vya ujenzi,mafuta yote tu, Nyama, sabuni ni kila kitu in short...lakini sasa hivi mnaweka nguvu nyingi kutaka kuaminisha watu kuwa vitu vimepanda bei mwezi huu tu. acheni hizo basi
Aliibuka yule waziri wa biashara nadhani akajifanyisha kukemea na kuikumbusha FCC iingilie kati mwezi wa 10 mwaka jana ile nadhani,wafanyabiashara walimdharau tu,juzi kasema waziri mkuu, nadhani wafanyabiashara walivosikia kauli yake ile watakuwa walicheka tu
Furaha ipi? Kulewa asubuhu badala ya kupiga kazi?Ni kweli. Yaani jamaa alikuwa ametufinya kweli kweli. Kuna unafuu sasa hivi Madame karejesha furaha kwa kweli
Nakazia, kuliko huyu Hangaya tena mpaka 2030, Mara 1000 saccos wachukue nchi 2025.Huyu akiendelea mbaka 2030 uko nchi itakua haina hali kama ndo ivyo bora chadema wachukue nchi 2025.
Kabisa, heri wakae kimya tu. Huyu hangaya hata la kumsifia halipo amalizie muda wake aachie ngazi.Dah inasikitisha kuona nchi yetu inazidi kuwa na taifa la watu wa hovyo kazi yao kusifiwa tu huku wananchi wanaumia!!
Halafu nyie wasifiaji muwe mnafikiri kabla hamjatoa ushuzi wenu mtandaoni. Ni kheri mkatulia na kukaa kimya.
Mnatia kinyaa
Mmepewa nafasi, sasa mshindwe wenyewe.Bunge gani unalolizungumzia wewe kifuu? Wabunge wako busy kujadili jinsi ya kupata special plate numbers za Magari yao hawana muda wa kufifkiria taabu za wananchi? Wewe unaishi Tanzania ya wapi? Nadhani uchawa unakusumbua. Kutumia wataalam wanaojua mambo ya commodity trading internationally hakuhitaji ridhaa ya bunge wewe chawa! Ufisadi ndio unaowasumbua kutaka kupiga cha juu.
Serikali haifanyi kazi mitandaoni!!! Kuna utaratibu wake waufuate kuruhusu watu waingize mafuta.Mmepewa nafasi, sasa mshindwe wenyewe. View attachment 2186177
AsanteWahuni huzeeka pia
MNgoja waje...
magumu kwa wewe unayeshinda mtandaoni bila kufanya shughuli ya uzalishajiUpuuzi mtupu huo mzunguko uko wapi Maisha ya watanzania yanazidi kuwa magumu gharama za bidhaa zinazidi kuongezeka bei aisee kweli Tanzania Uhuru umezidi mpaka MTU anaongea chochote hata kama haimake sense?
Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?
Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,
Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!
Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.
Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….
URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA
Britanicca
Yafuatayo yaKwake yeye huyo! Mnae msifiaTunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?
Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,
Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!
Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.
Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….
URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA
Britanicca
Tunamstahi Nyerere Kwa sababu ni baba wa Taifa ila hao wengine wooote atawafunika..Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?
Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,
Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!
Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…
Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.
Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….
URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA
Britanicca
HHuyu akiendelea mbaka 2030 uko nchi itakua haina hali kama ndo ivyo bora chadema wachukue nchi 2025.