Rais Samia ana dalili za kuwa Rais bora kama Nyerere na Mkapa. Anaonekana kuwaacha mbali Magufuli na Kikwete

Rais Samia ana dalili za kuwa Rais bora kama Nyerere na Mkapa. Anaonekana kuwaacha mbali Magufuli na Kikwete

Uchumi wa Dunia umehafibika toka 2019 sasa kwani Tzn ni kisiwa kwamba iwe exceptional?

Swala la kupendwa au kutopendwa ni relative term hakuna kipimo.

Pili wengi wanaoitwa wanyonge wasio na uelewa huwa hawapendi kuelezwa ukweli bali wanataka kupakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa but watu wenye uelewa wanajua value ya Samia na wako tayari kumpigania..

Yaani mtu kama mimi nawezaje kutaka uongozi wa Mwendazake ambao uliongeza idadi ya maskini kuliko kuwapunguza?
Siko kwa mwendazake mimi na siutaki uongoz wa mwendazake hata kidogo, lakini siwezi kumsifia mama kwa kupandisha tozo za simu ambazo zimeleta maumivu kwa watu wa chini, so kwa kwahiyo uchumi ukiaribika duniani nawewe unakaa kimya watu wako waendelee kuumia bila kuchukua hatua yoyote yakunusuru maumivu kwa wananchi wako, Ndege mpya zinakuja sijui ni kikao kipi cha bunge kulipitisha hayo manunuzi, ni kama magu tu
 
Siko kwa mwendazake mimi na siutaki uongoz wa mwendazake hata kidogo, lakini siwezi kumsifia mama kwa kupandisha tozo za simu ambazo zimeleta maumivu kwa watu wa chini, so kwa kwahiyo uchumi ukiaribika duniani nawewe unakaa kimya watu wako waendelee kuumia bila kuchukua hatua yoyote yakunusuru maumivu kwa wananchi wako, Ndege mpya zinakuja sijui ni kikao kipi cha bunge kulipitisha hayo manunuzi, ni kama magu tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] muwe mnafuatilia Bunge la bajeti, tusichoshane. Bajeti imepitishwa trillion 37, inatoka wapi kama sio kukusanya kutoka kwa wananchi.

Msikatwe Tozo halafu muhoji barabara hazitengenezwi. Hospital hakuna dawa, shule hazijengwi.

Bajeti trillion 37, makusanyo ya TRA 1.8 trillion kwa mwezi. Kwa Mwaka hata haifiki trillion 23. Hiyo trillion 37 inafikiwaje bila kuchangia maendeo kwa njia ya Tozo,????

Tuweni realistic
 
Marais bora👇👏👏👏
7UID.jpeg
IMG_20220402_184504_432.jpg
IMG_20220404_100611_745.jpg
AARD4K.jpeg
Mapaka👇🐒🐒🐒
022040141919.jpg
oWG5.jpg
AI4SIT.jpeg
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] muwe mnafuatilia Bunge la bajeti, tusichoshane. Bajeti imepitishwa trillion 37, inatoka wapi kama sio kukusanya kutoka kwa wananchi.

Msikatwe Tozo halafu muhoji barabara hazitengenezwi. Hospital hakuna dawa, shule hazijengwi.
Aisee!!!!
 
Siko kwa mwendazake mimi na siutaki uongoz wa mwendazake hata kidogo, lakini siwezi kumsifia mama kwa kupandisha tozo za simu ambazo zimeleta maumivu kwa watu wa chini, so kwa kwahiyo uchumi ukiaribika duniani nawewe unakaa kimya watu wako waendelee kuumia bila kuchukua hatua yoyote yakunusuru maumivu kwa wananchi wako, Ndege mpya zinakuja sijui ni kikao kipi cha bunge kulipitisha hayo manunuzi, ni kama magu tu
Tatizo la watanzania wengi ni kupenda mno kulalamika mpaka wanapoteza uhalali wa hayo malalamiko.

Umefuatilia hansard za bunge ukaona kuwa bajeti ya kununua hizo ndege hawakuipitisha?.
 
Huna taarifa ndio maana unalinganisha Kenya na Tanzania, Mwaka wa kumi na zaidi Kenya wanatambulika kama Nchi ya uchumi wa Kati, Tanzania tumeingia uchumi wa kati juzi na jana tumetoka. Solution anazochukua Uhuru Kenyatta ni kwa sababu nchi yake inamudu.
images%20(15).jpg

Huyu Mama anajitahidi kuweka weka na vitozo tu match na wenzetu bado mnamuita majina ya hovyo hovyo. Yaani pamoja na Tozo bado hatujaweza match hata na Wakenya bado mnalilia waondoe na hizo Tozo???? Maendeleo yenu yatachangiwa na nani????
 
Huna taarifa ndio maana unalinganisha Kenya na Tanzania, Mwaka wa kumi na ziaidi Kenya wanatambulika kama Nchi ya uchumi wa Kati, Tanzania tumeingia uchumi wa kati juzi na jana tumetoka. Solution anazochukua Uhuru Kenyatta ni kwa sababu nchi yake inamudu.View attachment 2182781
Unasahau kwa makusudi kuwa hawahawa Mapaka(MaCCM) ndiyo wanatufanya tuingie uchumi wa kati na kutoka!Wanaopaswa kubeba lawama zote katika hilo ni hawahawa Mapaka.
 
Unasahau kwa makusudi kuwa hawahawa Mapaka(MaCCM) ndiyo wanatufanya tuingie uchumi wa kati na kutoka!Wanaopaswa kubeba lawama zote katika hilo ni hawahawa Mapaka.
Ndio mara ya kwanza tunapata kiongozi Mkuu Mwanamke, bado watu hawaoni anachofanya. Mimi nadhani support ni muhimu hata kwa hiki kidogo, pia akizingua tutaongea lakini sio kumtupia furushi la lawama kitu ambacho kipo nje ya uwezo wa nchi.

Hakuna mtawala anayependa kuongozi watu wenye simanzi. Hata wangekuwa CDM au Simba wa Yuda lazima mafuta yangewatikisa tu.
 
Kwamba ubora wa Rais unapimwa kwa kusema "UKWELI"?

Siku Mama yenu akitoka ndiyo mtaujua ukweli wenyewe.

Kwa sasa komaeni tu na mapambio
 
MAGUFULi BABA LAO

Mifumo ya kukusanya kodi Na Mapato kupitia control namba na kudai risit ya malipo yenye kodi ya TRA ni nani aliyeijenga na kuhakikisha inafanya kazi ktk nchi hii?

Hebu tuache ushabiki wa kimaamuma wa kumsakama mwendazake.

Mama yetu bado yuko kwenye teuzi tuache kumpamba.
 
Wacha kelele ziliquote hapa hizo idea.

Hujui chochote kuhusu suala zima la mafuta la nchi hii.

Kuna Sheria na taratibu zake, aamki asubuhi Raisi anasema kesho hakuna kunywa chai na inakuwa Sheria. Taratibu za uagizwaji mafuta ziliwekwa na Bunge na Raisi kazi yake ni kuzisaini tu zianze kazi mara moja. Hata kama kuna udharula wa kuzibadilisha vile vile Raisi hana hayo Mamlaka bila kushirikisha Bunge.

Ndio hicho hicho kilichomkuta Mhe. Makamba kugusa Tozo ya Tzs 100 kwenye mafuta bila kufuata taratibu za kisheria.

Jambo limetokea, mmeisharusha mishale kwa Mama wa watu (Hakuna Raisi anayependa kutawala watu wenye majonzi, zaidi inategemea anaamini kwenye kitu gani katika kuleta MAENDELEO ya kweli kwa watu wake) angekataa kusaini mabadiliko ya uagizwaji mafuta kwa hii dharula iliyotokea hapo sawa.

Mkumbuke maamuzi ya Nchi hii hayaendeshwi kwa hisia na mwamko wa mtu mmoja. Inawezekana kwa mihemko ya kisiasa chama kikapitisha mwehu kuwa Raisi wa nchi bila kujua, sasa kama kila kitu anaachiwa mtu mmoja atoe maamuzi ndio mtajua madhara yake.[emoji38][emoji38][emoji38]

Raisi kashauriana na mke/ mme wake kitandani, asubuhi ana amka anataka taifa zima tupite anapotaka kisa kashauriana na mwenzake kitandani?????

Idea zako baki nazo tu, lipo Bunge humo kuna (wachumi/watunga sera/ wanasheria) na watu waliochaghuliwa kushughulikia na kujadili mambo mazito yanayowakabili wananchi.
Bunge gani unalolizungumzia wewe kifuu? Wabunge wako busy kujadili jinsi ya kupata special plate numbers za Magari yao hawana muda wa kufifkiria taabu za wananchi? Wewe unaishi Tanzania ya wapi? Nadhani uchawa unakusumbua. Kutumia wataalam wanaojua mambo ya commodity trading internationally hakuhitaji ridhaa ya bunge wewe chawa! Ufisadi ndio unaowasumbua kutaka kupiga cha juu.
 
Tunajua Urais ni Taasisi Rais bora ni yupi?

Mkweli hata Kama Ukweli unauma ila anausema hata Samia na NYERERE wako kapu moja, tumeshuhudia mara kadhaa nyerere alisema kuna rushwa ndani ya serikali yake na Samia akwepeshi maneno anasema wazi na Ku Sema alipo kosea Rais alomtangulia Kama alivyofanya Nyerere Kwa Mwinyi,

Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke ana changamoto kubwa Kama alivyokuwa Rais wa kwanza Mwanaume NYERERE na changamoto kadhaa!!

Samia tunapokosa pesa ya ndani anasema lazima tukope si Kama Magufuli alikuwa anapika data mpaka anajichanganya ! Samia anasema kwamba makusanyo ni… na Uchumi wetu si wa Kati Kama chuma alivyotuaminisha… shirika la ndege lina hasara si Kama Simba wa iskariote alivyo Sema ,…Kwamba Nidhamu pia ilikuwa ya uoga kazini si ya heshima….
Ame delegate power wasaidizi wake wanawajibika zaidi kuliko one man show…

Mzunguko wa pesa umekuja na nzuri zaidi Nina ndoto mwaka 2027 tutaanza mchakato wa KATIBA mpya atatutachia KATIBA safi.

Mama aendelee hadi 2030 achana na story za chuki mpaka hapo Mwinyi atakapo mrithi, watasema ooo lazima Rais awe mtanganyika , Mbona watanganyika wameongoza mara tatu mfululizo
Ni vi sentence vichache ila….

URAIS SI KUKAKAMAA USONI NARUDIA

Britanicca
Ngoja mchoro uishe kwanza ndipo ujue uzuri wake; mchoraji anaweka kalamu kwenye karatasi tu umeanza kusifia kabla hata hujaona ni picha gani inayochorwa? Tuliomsifia Magufuli wengi wetu ni wale waliomchukia sana tangu alipoteuliwa kuwa mgombea hasa kwa maneno yake ya majigambo, ila mchoro wake uliopoanza kuonekana kiutendaji hadi mwaka 2018 ndipo tukaona kuwa picha anayochora ni nzuri.

 
Ila Urais mgumu sana,Obama aliondoka na Mvi, Mkapa aliondoka na upala, JK alichakaa chakaa , Magu alifia kabisa kazini.Biden kila leo wasemaji wake wanasahihisha kauli akikaa sawa anasema napenda ice cream.
Hii nafasi ni ngumu Tumuombee Mama aimalize salama.
 
Back
Top Bottom