Rais Samia anafanya kosa kubwa kama Hayati Magufuli kuhusu upinzani

Rais Samia anafanya kosa kubwa kama Hayati Magufuli kuhusu upinzani

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Ni miezi michache tu toka Hayati Magufuli afariki lakini historia yake huwezi kuandika bila mabaya aliyowafanyia raia wake kwasababu tu ni wapinzani.

Naona kwa mwendo huu wa Polisi wanampeleka Rais Samia hukohuko huyo aliye mdanganya kwamba kunyanyasa wapinzani itasaidia kamshauri vibaya na mpaka sasa wananchi hawaonei huruma Polisi maana hawaoni kama ni jeshi lao tena.

Polisi wamekuwa kama kikosi cha unyanyasaji inasikitisha sana hata kwangu binafsi ambaye ni mtoto wa Polisi mstaafu.

Yaani hata wale ambao Magu aliwaita wazalendo wa NCCR Mageuzi leo wamegeuzwa waleta fujo kuna tatizo.
 
Ni miezi michache tu toka Hayati Magufuli afariki lakini historia yake huwezi kuandika bila mabaya aliyowafanyia raia wake kwasababu tu ni wapinzani.
Naona kwa mwendo huu wa Polisi wanampeleka Rais Samia hukohuko huyo aliye mdanganya kwamba kunyanyasa wapinzani itasaidia kamshauri vibaya na mpaka sasa wananchi hawaonei huruma Polisi maana hawaoni kama ni jeshi lao tena. Polisi wamekuwa kama kikosi cha unyanyasaji inasikitisha sana hata kwangu binafsi ambaye ni mtoto wa Polisi mstaafu.
Yaani hata wale ambao Magu aliwaita wazalendo wa NCCR Mageuzi leo wamegeuzwa waleta fujo kuna tatizo.
Boss ukiwa hauna uwezo, watu wa chini yako watakudharau na kujiamulia wanavyotaka
 
Ni miezi michache tu toka Hayati Magufuli afariki lakini historia yake huwezi kuandika bila mabaya aliyowafanyia raia wake kwasababu tu ni wapinzani.
Naona kwa mwendo huu wa Polisi wanampeleka Rais Samia hukohuko huyo aliye mdanganya kwamba kunyanyasa wapinzani itasaidia kamshauri vibaya na mpaka sasa wananchi hawaonei huruma Polisi maana hawaoni kama ni jeshi lao tena. Polisi wamekuwa kama kikosi cha unyanyasaji inasikitisha sana hata kwangu binafsi ambaye ni mtoto wa Polisi mstaafu.
Yaani hata wale ambao Magu aliwaita wazalendo wa NCCR Mageuzi leo wamegeuzwa waleta fujo kuna tatizo.
Huo ndio uzalendo wa kitanzania😂
 
Ni miezi michache tu toka Hayati Magufuli afariki lakini historia yake huwezi kuandika bila mabaya aliyowafanyia raia wake kwasababu tu ni wapinzani.
Naona kwa mwendo huu wa Polisi wanampeleka Rais Samia hukohuko huyo aliye mdanganya kwamba kunyanyasa wapinzani itasaidia kamshauri vibaya na mpaka sasa wananchi hawaonei huruma Polisi maana hawaoni kama ni jeshi lao tena. Polisi wamekuwa kama kikosi cha unyanyasaji inasikitisha sana hata kwangu binafsi ambaye ni mtoto wa Polisi mstaafu.
Yaani hata wale ambao Magu aliwaita wazalendo wa NCCR Mageuzi leo wamegeuzwa waleta fujo kuna tatizo.
Rest in eternal peace Hamza
 
Nashauri tuendelee kuua hawa Polisi-CCM.
1630045965_1630045965-picsay.jpg
 
Alikusikia!
Ni miezi michache tu toka Hayati Magufuli afariki lakini historia yake huwezi kuandika bila mabaya aliyowafanyia raia wake kwasababu tu ni wapinzani.

Naona kwa mwendo huu wa Polisi wanampeleka Rais Samia hukohuko huyo aliye mdanganya kwamba kunyanyasa wapinzani itasaidia kamshauri vibaya na mpaka sasa wananchi hawaonei huruma Polisi maana hawaoni kama ni jeshi lao tena.

Polisi wamekuwa kama kikosi cha unyanyasaji inasikitisha sana hata kwangu binafsi ambaye ni mtoto wa Polisi mstaafu.

Yaani hata wale ambao Magu aliwaita wazalendo wa NCCR Mageuzi leo wamegeuzwa waleta fujo kuna tatizo.
 
Back
Top Bottom