Rais Samia anafanya makusudi tu

Rais Samia anafanya makusudi tu

Nchi yetu inaendeshwa bila Vipaumbele. yani nchi gani inakua kama kilabu cha pombe.. yani kila Rais anayekuja anafanya anavyojisikia yy anaondoka..

Nchi haina mipango..haina maono. hovyooo
Na mimi ndo ninachoona kwa hii nchi ya Tanzagiza, kila anayekamata usukani kujiona fundi na kuendesha gari kadri anavyojisikia.
 
Wakuu namba ndio tunaisoma.. Alijitoa kafara jiwe mazuzu kwa wingi wa idadi yao yakashangilia na mengine yakachinja mbuzi na kuagiza kreti za bia kusherehekea leo yanalia "maji" yanalia "umeme" tena mazwazwa yakashangilia oyee oyeee dikteta kafa yasijue ni bora ale mbuzi mmoja kuliko kila mbuzi na kamba yake, jiwe hakuwa malaika ana uzuri na ubaya wake, hii LAANA ya jiwe.
 
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.

Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini...
Wewe ni wa kupuuzwa ikiwa Hadi leo hujui kwamba maelfu ya mifigo wamekufa kiteto achilia mbali wanyama pori..

Sawa anafanya kusudi fanya unalotaka tukuone vinginevyo utaishia kulalamika jf
 
Wakuu namba ndio tunaisoma.. Alijitoa kafara jiwe mazuzu kwa wingi wa idadi yao yakashangilia na mengine yakachinja mbuzi na kuagiza kreti za bia kusherehekea leo yanalia "maji" yanalia "umeme" tena mazwazwa yakashangilia oyee oyeee dikteta kafa yasijue ni bora ale mbuzi mmoja kuliko kila mbuzi na kamba yake, jiwe hakuwa malaika ana uzuri na ubaya wake, hii LAANA ya jiwe.
Na wewe zuzu unakuta Ni mkuu wa kaya 😂😂.

Jiwe alijitoa kafara 😁😁😁😁😁
 
Kuongoza watu unatakiwa uwe na vision pamoja na mission.
Sio ndiyo tu kwenye kila jambo?
Una tupa hofu hata sisi tuliopo chini yako.
Rais Bendera?
Mawaziri Bendera?
Wabunge Bendera?
Madiwani Bendera?
At the end of the day, a whole system is Bendera.
Hakika atulinde Mola na aiweke salama kwenye mikono salama Tanzania yetu.
Wewe ambae sio bendera tunaomba utoke front sio kujifichia if ambayo 95% ya Watzn hata hawaijui.
 
Rais huwa nashindwa kumuelewa, kama anadanganywa na wasaidizi wake kama wengi wanavyomtetea, je, yeye kwa kupenda kwake mitandao ya kijamii, haoni haya malalamiko ya wananchi anaowaongoza?

Jibu lake ni either jeuri, ujinga, au vyote; kwasababu kwa akili ya kawaida, kama kiongozi unashindwa kutatua kero za wale unaowaongoza, basi umeshindwa kazi.

Kwani nchi haiendeshwi kwa kubebana kirafiki, au kauli za sauti laini isiyobadili hali ya mambo, bali inaendeshwa kwa kila mmoja wao pale alipo, kutambua majukumu yake na kuyatekeleza ipasavyo, bila kuleta ngonjera za data za kupika zisizoendana na uhalisia field, yule anayeshindwa aondolewe.

Lakini kuendelea kuwa nae ni ujinga wa anaewateua, kwa sababu mwisho wa siku, incompetency yao inamponza yeye kiongozi.
Ameshindwa kipi?
 
Naona wakosoani na wasiomoenda Rais Samia wanataka kitumia ukame kama fimbo ya ku mkososoa. Iko hivi, Rais Samia ametutoa katika utawala wa mabavu, ametutoa katika nchi ambayo uchumi ulikuwa unaenda kuanguka kwa kukumbatia sera za kijinga. Ametutoa katika nchi ambayo ilikuwa imeanza kutengwa kimataifa...ametutoa katika nchi ambayo ilikuwa haivutii wawekezaji, sasa tumeanza kurudi kwenye mstari.

Msitumie madhara ya ukame kama udhaifu wa Rais. Ukame ni natural. Pengine kama Rais JPM angeendeleza mikakati.iliyo achwa na mtangulizi wake athari.za ukame zisingekuwa kubwa hivi. Lakini yeye aliweka pembeni mipango yote ya serikali akaja na mipango yake ya kukurupuka.
Unamatatizo ya akili wewe
 
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.

Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie

Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?

Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.

Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!

Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?

Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?

Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?

Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732
Acheni jamani hata wakulima waneemeke kwa Bei nzuri mmewanyonya Sana mda mrefu Kama vipi njoo na wewe uliame uone mziki wake. Acha wakulima wale mema ya nchi.we kaa mjini sisi huku kijijini Wala hatujui hayo mamigao yenu ya maji sababu mito imejaa mpaka mda mwingine tunaliwa na mamba na tunaona kawaida tu
 
Hivi wanashindwa nini kuagiza mchele na unga ili kuwapunguzia ukali na gharama za maisha wananchi? agiza chakula uza kwa discount kupunguza ugumu wa maisha na inawezekana na wala sio gharama kubwa sana, mvua zitarudi tuu maisha yataendelea, kwa sasa muhimu ni chakula watu wasilale njaa
 
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.

Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie

Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?

Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.

Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!

Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?

Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?

Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?

Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732
Sijui kuna kitu gani hata sisi wana CCM sasa hivi tuna hali ngumu sana tena sana mtaani. Leo natoka mishe zangu nikapita sehemu kijiweni basi tukaanza stori nikachomekea Rais Samia yupo vizuri sana kaleta maendeleo, aisee kidogo nipigwe ikabidi niwe mpole na kuaga kwa aibu. Yaani jamaa kwa uchungu mmoja wapo kasema akikumbuka jinsi ambvyo gharama za maisha zilivyopanda na bado mazingira ya wafanya biashara ndogo ndogo yamekuwa kama digi digi hapa Dar basi ilikuwa balaa. Kwa ufupi hao spin master waliomuweka Rais Samia kona basi wamefanikiwa kwa 💯 kuharibu urais wake, kila jambo baya wamemtendea. Mfano tu washikaji pale kijiweni wakanihoji, hivi tangu lini ng’ombe elfu tano wakamaliza maji? Je kipindi cha Dkt Magufuli hao ng’ombe walikuwa wapi? Conclusion wadau wakasema Rais Samia uwezo wake wa kuongoza ni mdogo na sababu ni kuwa alikuwa chini ya Dkt Magufuli kwa miaka 5 hivyo alipswa kuwa kajifunza, yaani wakatolea mfano, kama wewe ni muuza madafu unatembea na mtu anauza na unamuona anavyochonga dafu halafu anakuja kukuachia yeye anaondoka na umekaa naye miaka 5 halafu hujui kuchonga dafu maana yake uwezo wako wa kuelewa ni mdogo. Ila mi bado nasisitiza Rais Samia bado muda anao wakuleta mabadiliko, tumpe muda.
 
Back
Top Bottom