Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Bibi Hangaya a.k.a Rambo ni mnafiki namba moja, mara JPM kafa na Cardiac Fibrolliosis mara CORONA, so which is which?

Alipata maambukizi sio kumuua. Sikiliza video vizuri
 
Duh! Mbona hoja hii ilishapitwa na wakati tokea Magufuli akiwa hai.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Wapi sasa kasema hivyo?

Ila machadema ni wapumbavu sana jamani!

Yani Magu bado anawabutua hata baada ya kufa!
 
Kwenye nchi ambazo hawakukimbilia kijijini vipi hali zao zilikuwaje?
 
Na kuongelea Afya ya Kiongozi aliyepita kinatangaza utalii how ?

Si hizo sekunde wangetumia kuongelea Sokwe au Simba wanaopanda miti
 
Mkuu hawa bavicha ni wapumbavu mno
 
Nimesikia neno Contrasted means aliyepingana/pinga corona. Mkemia/mwanasayansi aliyepingana na corona.
Mleta mada ni tahira! Hivyo asingeweza kusikia hayo uliyosikia wewe
 
..corona ni kama booster ya hayo maradhi mengine.
Ndio nasema hayo maradhi mengine yamestopisha kusababisha vifo, kwa maana kama una kisukari au maradhi ya moyo na ukawa na corona basi ukifa itahesabika ni kifo cha corona tu na si vinginevyo.
 
Na kuongelea Afya ya Kiongozi aliyepita kinatangaza utalii how ?

Si hizo sekunde wangetumia kuongelea Sokwe au Simba wanaopanda miti

Nafikiri Rais Samia pia hakuelewa swali la huyo producer alijibu tuu yaaah halikuwa lengo lake kukubali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…