Ndiyo Ukweli Wenyewe... mdogo mdogo MATAGA & Co; wataelewa tu. Ubishi mwingi akili punje ya haradali. Kauli rasmi kutoka kwa Rais na Amri Jeshi Mkuu vyombo vya ulinzi na usalama ambaye taarifa zote za taifa hili ziko mikononi mwake! Nani anapinga kauli ya Amiri Jeshi Mkuu?
Sasa we mjinga unajua zaidi kuliko Samia ambae alikuwa makamu wake wa Rais? Kubalini huyo mungu wenu kafa na Covid19Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
😆😁😄😃😃😀😅😅😆😆Ile corona ya Delta ilikuwa ni kali sana. Siyo kama hii ya Omicron ambaye inaleta mafua makali tuu. Ile Delta ilimaliza wengi.
Amekiri wapi mnapotoshaHiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
*ChemistHe is a Chemistry... oooohh He was a Chemistry
Bongo bado sana rasi Simba anahitaji kuongeza madarasa
Tatizo lugha, huyo journalist alichomeka bila mama kujua naye kaitikia yes yes kibongo kibongo. Lakini ingekuwa kiswahili asingejibu hivyo.Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
Ni wenge tuu.hakuelewa alichoitikia.Anayemhoji naye ni mjanjamjanja hivi. wakati wa magufuli covid haikuwepo mpaka alipofariki ndiyo ikaingia kwa kasi bongoHiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
Delta ya mavi?Ile corona ya Delta ilikuwa ni kali sana. Siyo kama hii ya Omicron ambaye inaleta mafua makali tuu. Ile Delta ilimaliza wengi.
Unazungumzia nchi gani kuwa specific?Kwenye nchi ambazo hawakukimbilia kijijini vipi hali zao zilikuwaje?
Huenda Alipigishwa.Kwa hiyo ni dhahiri kuwa Mzee Baba naniliu ilimpiga pia.
Dah!...Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
Hivi nyie kingereza mnakijua au mnababaisha? Contracted na died of ni vitu viwili tofauti!Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
Sikiliza tena mara tatu utaelewa swali na jibu lake, take it easy don't rush! Halafu uwe a dictionary karibu, au Google - kila neno utafute maana yake, utaelewa! Hasa neno contracted! Compare that word na haya - died of, sucurm to!I see!
She has been truthful this time though 😊 Siyo ile ya kusema sijui moyo umefanyaje!
Kazi iendelee!
It doesn't directly mean he died of covid....Aliekuwa anamhoji Samia baada ya kuuliza kama Magufuli alikuwa contracted na covid na kujibiwa ndiyo alimalizia kuwa:......"na wewe ndiyo ukaupata urais".Unaelewa maana ya hii sentensi?!
Na ukisikiliza vizuri sio 'then you became president'Aliekuwa anamhoji Samia baada ya kuuliza kama Magufuli alikuwa contracted na covid na kujibiwa ndiyo alimalizia kuwa:......"na wewe ndiyo ukaupata urais".Unaelewa maana ya hii sentensi?!
Inner cycle yake yote ililazwa na covid,chezea wewe.Corona ilifanya kusukuma tu, ila bado 'alikuwa' na matatizo yake kiafya ambayo kupona kwake ingekuwa ni Miujiza kutokana na hulka yake ya kushindana na mawimbi ya baharini.