Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Mimi binafsi nimetazama kile kipande nachelea kusema ni wazi na pengine Samia hakuelewa anaulizwa nini maana ukisikiliza na kutazama mwanzo mwisho kwenye hilo la mazungumzo ya corona unajua kabisa hakuwa anaelewa anaulizwa nini?
Hata mimi nimelifikiria hilo.Mimi binafsi nimetazama kile kipande nachelea kusema ni wazi na pengine Samia hakuelewa anaulizwa nini maana ukisikiliza na kutazama mwanzo mwisho kwenye hilo la mazungumzo ya corona unajua kabisa hakuwa anaelewa anaulizwa nini?
Kujitetea au wewe ndo BiMMimi binafsi nimetazama kile kipande nachelea kusema ni wazi na pengine Samia hakuelewa anaulizwa nini maana ukisikiliza na kutazama mwanzo mwisho kwenye hilo la mazungumzo ya corona unajua kabisa hakuwa anaelewa anaulizwa nini?
Lissu Yuko sahihi Kwa vyoteTundu Lissu kasema kuwa, Rais Samia katika filamu ya Royal Tour, akubali kuwa Rais Magufuli alikufa kwa UVIKO-19.
Lissu kayasema hayo akiwa katika mazungumzo na Maria Sarungi.
Yasikilizeni mazungumzo hayo. Ni marefu kidogo. Ila nawarahisishia. Pale ambapo anamzungumzia Samia kukiri kilichomuua Magufuli, ni kuanzia dakika ya 35 hadi 39.
Kwa manufaa ya uwazi, mimi binafsi sijaiangalia hiyo filamu.
Hapa naleta tu kile alichokidai Lissu, ambaye kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kaiangalia hiyo filamu.
Lakini pia, ikumbukwe, ni Lissu huyu huyu aliwahi kudai kuwa yule mlinzi wa Magufuli; huyu hapa chini kwenye picha, kwamba naye alikufa kwa UVIKO-19, ilhali wakati Lissu anadai hivyo, jamaa alikuwa bado yu hai na ni matumaini yangu kuwa bado yu hai.
Ni huyo aliye kulia kwa Magufuli na kavaa kiraia.
View attachment 2204968
Hivyo, maneno ya Lissu ni muhimu kuyasikiliza kwa umakini na si kuyabeba yote kama yalivyo bila kuushirikisha ubongo wako.
Na kama ni kweli Samia kakubali kuwa Magufuli alikufa kwa ugonjwa huo, basi hili nalo linazua masuala mengi sana.
Je, kukiri kwake huko ni Freudian Slip?
Je, wahariri wa Kitanzania wa hiyo filamu, kama wapo, waliona na kusikia alichokikubali Samia na wakakiacha kiwepo kwa makusudi au hata hawakukiona na kukisikia?
Kama ni kweli Samia kakiri, kwa nini sasa alitudanganya kuwa Magufuli kafa kutokana na ugonjwa wa moyo?
Ni nani atakuja kumuuliza kuhusu mkanganyiko huu?
Maana hata huyo Tundu Lissu mwenyewe mpaka leo hii bado hajaulizwa kuhusu huo uzushi wake wa kifo cha mlinzi wa Magufuli ambaye wote tulimwona akishiriki kwenye mazishi ya mlindwa wake.
Kwa ambao mmeiangalia hiyo filamu, hebu tujuzeni.
Ni kweli Samia alikubaliana na huyo Peter aliposema kuwa Magufuli alikufa kwa UVIKO-19?
Hata mimi nimelifikiria hilo.
Maana hata alipokuwa US alipokuwa anaulizwa maswali, unaona kabisa alikuwa haelewi elewi anachoulizwa.
Sasa inawezekana yeye Hangaya alisema tu ‘yeah’ bila kuelewa alichokuwa anakisema huyo ‘Piraa’
[emoji1787][emoji1787]
Lakin alikua ana uwezo wa kuzuia hiyo sehem isiwekwe kwenye hiyo filamUkitazama kile kipande ni ya wazi hakuzamiria kumaanisha kuwa Magufuli alikufa kwa Corona maana jamaa kama alimpandishia maswali wakati yuko kwenye mood ya swali lililopita na yeye akajikuta anasema “yaaah”
Rais hakuelewa anaulizwa nini hakuiwa dhamira yake kukubali kuwa Magufuli alikufa kwa Corona
Hahaah inabidi nicheke tu.... mdogo mdogo MATAGA & Co; wataelewa tu. Ubishi mwingi akili punje ya haradali. Kauli rasmi kutoka kwa Rais na Amri Jeshi Mkuu vyombo vya ulinzi na usalama ambaye taarifa zote za taifa hili ziko mikononi mwake! Nani anapinga kauli ya Amiri Jeshi Mkuu?
Wacha nicheke tu🤣🤣🤣Movie lazima uwe na weledi na ubunifu ili ivutie na kutazamwa na wengi
kuna wengi watataka kuitazama waone sehemu hiyo
Gwajima hammtaki tenaNileteeeni Samia...Nileteeeeni Samiaaaaa....Niliteeeeeeni Samiaaaaaaaaaa
Unataka kusema tuna Rais muongo siyo ??maana alisema JPM amekufa kwa heart attack ikiyosababishwa na chronic attrial fibrillation!! Acheni ujinga aisee.korona haiuwi ndani ya wiki moja!! Mungu ni mwema .iko siku tutajua yote.Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.
Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
NANUKUU:
Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.
Samia: No he's a scientist.
Peter: Even worst!
Samia: He is a chemist… he was a chemist.
Peter: He was a chemist?
Samia: Yes
Peter: Who contracted COVID?
Samia: YEAH!
View attachment 2203911
Na ilivyomalizana yeye ikaacha kuua viongozi wakubwaInner cycle yake yote ililazwa na covid,chezea wewe.
Nimemsikiliza. 3am nitamsikiliza tena, seems the kitchen is empty [emoji53]Halafu, is it me or am I trippin’?
Lissu kinda talks condescendingly about Samia…
Anybody else caught that vibe?
It's confusing....Lakini huyuhuyu alituambia ni ugonjwa wa moyo!
Chaaaah!
👆Tundu Lissu kasema kuwa, Rais Samia katika filamu ya Royal Tour, akubali kuwa Rais Magufuli alikufa kwa UVIKO-19.
Lissu kayasema hayo akiwa katika mazungumzo na Maria Sarungi.
Yasikilizeni mazungumzo hayo. Ni marefu kidogo. Ila nawarahisishia. Pale ambapo anamzungumzia Samia kukiri kilichomuua Magufuli, ni kuanzia dakika ya 35 hadi 39.
Kwa manufaa ya uwazi, mimi binafsi sijaiangalia hiyo filamu.
Hapa naleta tu kile alichokidai Lissu, ambaye kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kaiangalia hiyo filamu.
Lakini pia, ikumbukwe, ni Lissu huyu huyu aliwahi kudai kuwa yule mlinzi wa Magufuli; huyu hapa chini kwenye picha, kwamba naye alikufa kwa UVIKO-19, ilhali wakati Lissu anadai hivyo, jamaa alikuwa bado yu hai na ni matumaini yangu kuwa bado yu hai.
Ni huyo aliye kulia kwa Magufuli na kavaa kiraia.
View attachment 2204968
Hivyo, maneno ya Lissu ni muhimu kuyasikiliza kwa umakini na si kuyabeba yote kama yalivyo bila kuushirikisha ubongo wako.
Na kama ni kweli Samia kakubali kuwa Magufuli alikufa kwa ugonjwa huo, basi hili nalo linazua masuala mengi sana.
Je, kukiri kwake huko ni Freudian Slip?
Je, wahariri wa Kitanzania wa hiyo filamu, kama wapo, waliona na kusikia alichokikubali Samia na wakakiacha kiwepo kwa makusudi au hata hawakukiona na kukisikia?
Kama ni kweli Samia kakiri, kwa nini sasa alitudanganya kuwa Magufuli kafa kutokana na ugonjwa wa moyo?
Ni nani atakuja kumuuliza kuhusu mkanganyiko huu?
Maana hata huyo Tundu Lissu mwenyewe mpaka leo hii bado hajaulizwa kuhusu huo uzushi wake wa kifo cha mlinzi wa Magufuli ambaye wote tulimwona akishiriki kwenye mazishi ya mlindwa wake.
Kwa ambao mmeiangalia hiyo filamu, hebu tujuzeni.
Ni kweli Samia alikubaliana na huyo Peter aliposema kuwa Magufuli alikufa kwa UVIKO-19?