Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Dakika ya ngapi?Nimekiangalia kipande anachokizungumzia Lissu.
Huenda Samia hakujua maana ya neno ‘contract’ as in ‘he contracted COVID’.
🤣.
It's confusing....
Watanzania wengi wakiwa na wazungu, wazungu wakiwa wanaongea Kiingereza, Watanzania wasiojua Kiingereza vizuri wanakosa kujiamini na wanaishia kukubali tu.
Kuna mchizi mmoja alikuwa anasema mademu wa kibongo ukiwatongoza Kiingereza wanakubali kirahisi sana.
Labda na huyu kapigwa kimombo, kakubali mpaka asiyoyaelewa.
Hiyo hapo!Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.
Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
NANUKUU:
Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.
Samia: No he's a scientist.
Peter: Even worst!
Samia: He is a chemist… he was a chemist.
Peter: He was a chemist?
Samia: Yes
Peter: Who contracted COVID?
Samia: YEAH!
View attachment 2203911
Ni ujinga tu wa mataga na sukumagangs... Dalili zilikuwa wazi kabisa... mdogo mdogo MATAGA & Co; wataelewa tu. Ubishi mwingi akili punje ya haradali. Kauli rasmi kutoka kwa Rais na Amri Jeshi Mkuu vyombo vya ulinzi na usalama ambaye taarifa zote za taifa hili ziko mikononi mwake! Nani anapinga kauli ya Amiri Jeshi Mkuu?
Msitafute wafu miongoni mwa wazima.....Rais wa Marekani, Waziri Mkuu, na Malkia wa Uingereza wote aliambukizwa Covid.
..Hivi kuna ajabu gani kuwa Jpm naye aliambukizwa Covid?
..Na kama Ssh hakumaanisha hicho alichosema basi Ikulu ilitakiwa ikanushe.
..Hii filamu imerushwa New York, Los Angeles, na Arusha, kwa hiyo muda wa kurekebisha kauli hiyo ulikuwepo.
..Kwamba hawajakanusha ina maana gani?
Ni ujinga tu wa mataga na sukumagangs... Dalili zilikuwa wazi kabisa
Waliendekeza siasa za kishirikina.....tatizo waliingiza siasa kwenye masuala ya kisayansi.
Wakati mzungu yupo katika "who contracted Covid", Rais Samia alikuwa bado anatafsiri maneno yaliyopita kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili, kwa hivyo anajibu "Yeah" kwenye habari ya "He was a Chemist" bado.Hiyo hapo!
Msikilize….
Usikute hakuelewa alichokuwa anaulizwa, aliitikia tu ila kwa kuwa ni kiongozi wa CCM sitashangaa kwa yeye kuwa kigeugeu. Mwanzoni mwaka jana alinikuliwa kwa kusema Magufuli alikufa kutokana na hitilafu ya umeme moyoni, sasa anaitikia kuwa alikufa kwa Covid. Hivi kwanini hatuna viongozi wanaojitambua, tutafika kweli huko tuendako jamani?Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.
Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
NANUKUU:
Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.
Samia: No he's a scientist.
Peter: Even worst!
Samia: He is a chemist… he was a chemist.
Peter: He was a chemist?
Samia: Yes
Peter: Who contracted COVID?
Samia: YEAH!
View attachment 2203911
Sasa wewe nafuu yako ipo wapi kuanza kumcheka mwenzio?Kiingereza kinampiga chenga mleta mada
Hajui tofauti kati ya contacted COVID na died of covid
Kwahiyo wanakubalikirahisi sana mpaka unampeleka chumbani unamvua bado kingereza tu kinamchanganya?🤣🤣Dakika ya ngapi?
Watanzania wengi wakiwa na wazungu, wazungu wakiwa wanaongea Kiingereza, Watanzania wasiojua Kiingereza vizuri wanakosa kujiamini na wanaishia kukubali tu.
Kuna mchizi mmoja alikuwa anasema mademu wa kibongo ukiwatongoza Kiingereza wanakubali kirahisi sana.
Labda na huyu kapigwa kimombo, kakubali mpaka asiyoyaelewa.
Madaktari wanasema mtu akiwa namaradhi sugu kama moyo au kisukari ni rahisi sana kupata compications. So Alichotagaza Rais kinaweza kuwa sawa 100%Usikute hakuelewa alichokuwa anaulizwa, aliitikia tu ila kwa kuwa ni kiongozi wa CCM sitashangaa kwa yeye kuwa kigeugeu. Mwanzoni mwaka jana alinikuliwa kwa kusema Magufuli alikufa kutokana na hitilafu ya umeme moyoni, sasa anaitikia kuwa alikufa kwa Covid. Hivi kwanini hatuna viongozi wanaojitambua, tutafika kweli huko tuendako jamani?
Sasa hajui kukataa Kiingereza atasemaje "you wee not goodi".Kwahiyo wanakubalikirahisi sana mpaka unampeleka chumbani unamvua bado kingereza tu kinamchanganya?🤣🤣
Sasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?Wakati mzungu yupo katika "who contracted Covid", Rais Samia alikuwa bado anatafsiri maneno yaliyopita kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili, kwa hivyo anajibu "Yeah" kwenye habari ya "He was a Chemist" bado.
Ndiyo yale yale niliyoandika hapo juu kwamba saikolojia ya Watanzania wengi ukiwaongelea Kiingereza, hususan ukiwa mzungu, inakwenda kwenye kukubali mambo by default.
Haya mambo mengine Rais inabidi akae na wataalam wamfundishe kwamba maswali mengine inabidi kuchukua sekunde kadhaa kwanza kufikiri kabla ya kujibu.
Yani, ni bora uonekane uko slow kujibu kama Obama, halafu unajibu kitu chenye kueleweka, kuliko kujifanya unawez akujibu haraka haraka, halafu unajibu kituko.
Rais Samia anahitaji team ya wataalam wa mawasiliano wamfundishe mambo mengi sana.
Sifikiri kwamba alitaka kujibu Magufuli kafa kwa Covid. Ni ushamba tu wa mawasiliano, hususan katika Kiingereza.
Kuna yule Mama aliyemtoa BBC, Zuhura Yunus.Sasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?
Kauli za Rais zina uzito usio sawa na kauli za viongozi wengine katika nchi.
Au hawakuwa [team Samia] na say so yoyote ile kwenye hiyo documentary?
Najua utakuwa unajua kuwa huku [US] kiongozi akiwa kwenye mahojiano na chombo cha habari, handlers wake wanakuwa hawapo mbali na mara nyingine huingilia kati kama wakiona mtu wao kaulizwa swali lisilo au katoa jibu lisilo.
Na mara nyingine hutoa hata statement ya ufafanuzi.
Ila sitashangaa endapo handlers wa Samia ni watu wa aina yake [kiuwezo], hivyo hata wao huenda hawakuona tatizo lolote lile katika jibu alilotoa mtu wao.
Kwa kawaida, mtu makini huchagua watu makini wa kumsaidia.
Wasaidizi wa Samia wanaakisi tu vile na yeye alivyo….
Kwa hiyo ukweli ufichweKuna yule Mama aliyemtoa BBC, Zuhura Yunus.
Wote ni wale wale tu the blind leading the blind.
Kwa hiyo ukweli ufichwe
Huwezi kuficha ukweli, Uwongo una muda wake na hupotea kwa muda sana lakini ukweli huchelewa lakini unadumu
Issue ya Korona kuhusu Mzee ilisemwa sana na kukanushwa na Mamlaka lakini karma inafanya kazi Mama automatic kaongea na watu wameelewa
Nchi hii usanii na uwongo ni mwingi sana, Hata mambo ya jamii yanafanywa Siri, Rais ni public figure, Raia wanapaswa kuambiwa hali ya kiongozi wao
Mbona Uingereza hakuna siri ya viongozi, Wanasema live Malikia amelazwa hali sio nzuri, Waziri mkuu anaumwa hali ni tete, Ni kawaida tu uingereza
Acha wivuSasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?
Kauli za Rais zina uzito usio sawa na kauli za viongozi wengine katika nchi.
Au hawakuwa [team Samia] na say so yoyote ile kwenye hiyo documentary?
Najua utakuwa unajua kuwa huku [US] kiongozi akiwa kwenye mahojiano na chombo cha habari, handlers wake wanakuwa hawapo mbali na mara nyingine huingilia kati kama wakiona mtu wao kaulizwa swali lisilo au katoa jibu lisilo.
Na mara nyingine hutoa hata statement ya ufafanuzi.
Ila sitashangaa endapo handlers wa Samia ni watu wa aina yake [kiuwezo], hivyo hata wao huenda hawakuona tatizo lolote lile katika jibu alilotoa mtu wao.
Kwa kawaida, mtu makini huchagua watu makini wa kumsaidia.
Wasaidizi wa Samia wanaakisi tu vile na yeye alivyo….
Kwahiyo Rais alipatia kingereza chote walichoongea ila unataka kuaminisha watu kwamba eneo la covid-19 tu ndio hakuelewa kingereza?Sasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?
Kauli za Rais zina uzito usio sawa na kauli za viongozi wengine katika nchi.
Au hawakuwa [team Samia] na say so yoyote ile kwenye hiyo documentary?
Najua utakuwa unajua kuwa huku [US] kiongozi akiwa kwenye mahojiano na chombo cha habari, handlers wake wanakuwa hawapo mbali na mara nyingine huingilia kati kama wakiona mtu wao kaulizwa swali lisilo au katoa jibu lisilo.
Na mara nyingine hutoa hata statement ya ufafanuzi.
Ila sitashangaa endapo handlers wa Samia ni watu wa aina yake [kiuwezo], hivyo hata wao huenda hawakuona tatizo lolote lile katika jibu alilotoa mtu wao.
Kwa kawaida, mtu makini huchagua watu makini wa kumsaidia.
Wasaidizi wa Samia wanaakisi tu vile na yeye alivyo….