Rais Samia analala nje ya Ikulu?

Rais Samia analala nje ya Ikulu?

Kuna mtu kaniambia bado ujenzi haujakamiika 100% ni eneo kubwa sana hata ofisi za raisi hazikamilika nasikia ziko katika hatua za mwisho ila kwa size ni kubwa sana.
Mkuu Naomba mawasiliano ya huyo mtu aliekwambia
 
Rais anakaa Ikulu na ukumbi wa mikutano wa Ikulu upo mbali lakini humohumo Ikulu hivyo ina mlazimu kutoka eneo moja kwenda eneo jingine ndani ya ikulu kwa msafara. Ikulu ya Dodoma ni kubwa sana.

Ni kama Udom, kutoka college moja kwenda college nyingine.
Jibu la uhakika, natumaini mleta mada amekuelewa mkuu,
 
Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,

Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,

Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?

View attachment 2232926


Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Anatoka nyumba anayoishi ambayo iko ndani ya compound kwenda ofisini ndani ya compound ya ikulu pia. Inaweza kuwa umbali wa kilomita moja tu, lakini kiprotokali ni lazima apelekwe kwa msafara
 
Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,

Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,

Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?

View attachment 2232926


Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Ikulu kubwa sana .....km zaidi 10 umo ndani humo ....
 
Mkuu Naomba mawasiliano ya huyo mtu aliekwambia
Mbona unanitafutia ubaya huyo ni fundi humo ndani lakini ofisi ya Rais hata mara ya mwisho waziri kuu alipoenda kukagua walikuwa wako 80% ingia youtube utaona ile ziara sio ya siku nyingi.
 
Kwa hapa nchini itakuwa ngumu kujua itaonekana unatafuta kujua mambo ya ulinzi wake. Bali alipokuwa USA watu wamejua Uteli na bei ya chumba alicho lala kwa usingizi wa siku moja.
 
Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,

Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,

Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?

View attachment 2232926


Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Kilipo kitanda cha Rais inakuhusu nini?

Au ndo iwekwe kwa Katiba Mpya?
 
Mkuu Naomba mawasiliano ya huyo mtu aliekwambia
Kwa maneno ya waziri mkuu ikulu itakamilika mwezi wa 5 mwaka huu tarehe 30 sasa unajuwa mpaka kila kitu nadhani unaongelea July ikulu inaweza kuwa imekamilika kabisa.
 
Sherehe za Uhuru nani huwa wa mwisho kuingia uwanjani?
Hizo ni sherehe za kitaifa mkuu, zinazingatia protocol.
Sasa hapo ni ikulu, ni ofisini.
Hao walikuwa wageni wake kama ilivyokuwa kwa peter alimpokea akiwa ikulu.

Kusema ukweli kitendo cha kuja baada ya akina mbowe kufika, niliwaza mengi.
Je, angekuta wameteka ofisi? Au wamejiapisha? Angewahi tu, wakamkuta.
Hata JP alipotembelewa na nnape, alimkuta ofisini (ikulu)
 
Back
Top Bottom