Rais Samia analala nje ya Ikulu?

Rais Samia analala nje ya Ikulu?

Dodoma Ikulu Ndani Kwa Ndani Lazima Utumie Gari
Kama Mnakumbuka Mtangulizi Wake Aliongeza Kilometres Mpaka Nashani 28
Humo Ndani Kuna Mbuga Ya Wanyama, Majengo Ya Utawala, Makazi
Mpaka Sasa Hivi Ikulu Haijaisha Ujenzi Wake
 
Dodoma Ikulu Ndani Kwa Ndani Lazima Utumie Gari
Kama Mnakumbuka Mtangulizi Wake Aliongeza Kilometres Mpaka Nashani 28
Humo Ndani Kuna Mbuga Ya Wanyama, Majengo Ya Utawala, Makazi
Mpaka Sasa Hivi Ikulu Haijaisha Ujenzi Wake
Lakini CDM, wao wanaonekana wakitembea!

 
Hizo ni sherehe za kitaifa mkuu, zinazingatia protocol.
Sasa hapo ni ikulu, ni ofisini.
Hao walikuwa wageni wake kama ilivyokuwa kwa peter alimpokea akiwa ikulu.

Kusema ukweli kitendo cha kuja baada ya akina mbowe kufika, niliwaza mengi.
Je, angekuta wameteka ofisi? Au wamejiapisha? Angewahi tu, wakamkuta.
Hata JP alipotembelewa na nnape, alimkuta ofisini (ikulu)
Malalamiko fc
 
Anatoka nyumba anayoishi ambayo iko ndani ya compound kwenda ofisini ndani ya compound ya ikulu pia. Inaweza kuwa umbali wa kilomita moja tu, lakini kiprotokali ni lazima apelekwe kwa msafara

..Ni nani aliyeshauri Rais wa Tz aishi namna hiyo?
 
Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,

Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,

Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?

View attachment 2232926


Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Tangu atoe ile kauli yake ya ukinikuna vizuri nitakupapasa na kukupuliza fuuuuuuuuuu yani sina imani naye kabisa naona atakuwabize na yule mzungu wake wa royal tour
 
Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,

Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,

Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?

View attachment 2232926


Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?

Ikulu ya chamwino ni kubwa zaidi ya kisiwa cha unguja hivyo Rais hulazimika kutoka kwenye makazi yake na kwenda kwenye ukumbi wa mikutano ambao ni zaidi ya kilomita mbili ndani ya ikulu ya chamwino
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Rais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kwake misafara ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
 
Rais anakaa Ikulu na ukumbi wa mikutano wa Ikulu upo mbali lakini humohumo Ikulu hivyo ina mlazimu kutoka eneo moja kwenda eneo jingine ndani ya ikulu kwa msafara. Ikulu ya Dodoma ni kubwa sana.

Ni kama Udom, kutoka college moja kwenda college nyingine.
Au labda anatokea ikulu ndogo iliyopo uhindini kama sikosei
 
kiitifaki haitakiwi kujulikana Rais analala wapi! we unataka kujua ili iweje mkuu? hata kama humpendi ni vizuri kujua usalama wake ndio hukupa wewe usingizi wako. Mama ana kazi!!
 
Back
Top Bottom