kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 756
- 510
Conveyer beltRais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kumbaraza ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Conveyer beltRais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kumbaraza ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Kwani nae alisukumizwa huko ? Watu wakiwa na swali lazima waulize.Mama Kazi anayo..!
Mimi mwenyew nimechoka kabsa na hiyo measurement. Nikawazaaaaa nikaishia kubet tu mkeka wa match za keshoChalinze Hadi Kibaigwa. Ukipitia shortcut gani hiyo Mkuu ikupe km64?!
Injiniiiiiaa sooomaaaa hiyo. In Aggrey Mwanri's voice
Aweza kukuchania mkeka huyu Kwa probability zake! AiseeMimi mwenyew nimechoka kabsa na hiyo measurement. Nikawazaaaaa nikaishia kubet tu mkeka wa match za kesho
KUDRA Ya Mungu Huyu Hajasukumizwa Kama Yule BabaKwani nae alisukumizwa huko ? Watu wakiwa na swali lazima waulize.
Lakini CDM, wao wanaonekana wakitembea!Dodoma Ikulu Ndani Kwa Ndani Lazima Utumie Gari
Kama Mnakumbuka Mtangulizi Wake Aliongeza Kilometres Mpaka Nashani 28
Humo Ndani Kuna Mbuga Ya Wanyama, Majengo Ya Utawala, Makazi
Mpaka Sasa Hivi Ikulu Haijaisha Ujenzi Wake
Basi atege sikio watu wanauliza nini ili awajibuKUDRA Ya Mungu Huyu Hajasukumizwa Kama Yule Baba
Malalamiko fcHizo ni sherehe za kitaifa mkuu, zinazingatia protocol.
Sasa hapo ni ikulu, ni ofisini.
Hao walikuwa wageni wake kama ilivyokuwa kwa peter alimpokea akiwa ikulu.
Kusema ukweli kitendo cha kuja baada ya akina mbowe kufika, niliwaza mengi.
Je, angekuta wameteka ofisi? Au wamejiapisha? Angewahi tu, wakamkuta.
Hata JP alipotembelewa na nnape, alimkuta ofisini (ikulu)
Hao wanamgamboLakini CDM, wao wanaonekana wakitembea!
Hujui ITIFAKI... Rais akae akimsubiria aliye chini yake?Angekuwa anawahi.
Hii ya kuja baadae na msafara, inaibua maswali!
Mbona peter alimpokea..Hujui ITIFAKI... Rais akae akimsubiria aliye chini yake?
Anatoka nyumba anayoishi ambayo iko ndani ya compound kwenda ofisini ndani ya compound ya ikulu pia. Inaweza kuwa umbali wa kilomita moja tu, lakini kiprotokali ni lazima apelekwe kwa msafara
Square kilometres 64 ni kama 8km. Ni muhimu kujua kuwa kilometa za mraba sio urefu bali ni eneoMkuu ikulu ya chamwino ni 64km za mraba yaani ni kama kutoka chalinze hadi kibaigwa, ila hela noma, yaani pamekuwa na msitu kama kazimzumbwi
Tangu atoe ile kauli yake ya ukinikuna vizuri nitakupapasa na kukupuliza fuuuuuuuuuu yani sina imani naye kabisa naona atakuwabize na yule mzungu wake wa royal tourKwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Kwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Rais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kwake misafara ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Au labda anatokea ikulu ndogo iliyopo uhindini kama sikoseiRais anakaa Ikulu na ukumbi wa mikutano wa Ikulu upo mbali lakini humohumo Ikulu hivyo ina mlazimu kutoka eneo moja kwenda eneo jingine ndani ya ikulu kwa msafara. Ikulu ya Dodoma ni kubwa sana.
Ni kama Udom, kutoka college moja kwenda college nyingine.