Rais Samia analala nje ya Ikulu?

Rais Samia analala nje ya Ikulu?

Mkuu ikulu ya chamwino ni 64km za mraba yaani ni kama kutoka chalinze hadi kibaigwa, ila hela noma, yaani pamekuwa na msitu kama kazimzumbwi
Kama hujui kukadiria vipimo uliza sio dhambi.
Kwanza kutoka Chalinze hadi Kibaigwa ni 230km.
Pili Ikulu haiwezi kuwa na 64km ni sawa na kutoka Bagamoyo hadi Dar Posta.
Kwa Tanzania haiwezekani kwani itakuwa kubwa kuzidi mji wa Dodoma.
Tafuta ukubwa kwa upya
 
Mkuu ikulu ya chamwino ni 64km za mraba yaani ni kama kutoka chalinze hadi kibaigwa, ila hela noma, yaani pamekuwa na msitu kama kazimzumbwi
Ukubwa wake ni km 34 za mraba
Screenshot_20220522-133648_Facebook.jpg
 
Umenena vema. Hiyo ni ofisi na Rais ndiye mwenyeji no matter how big the compound is. Alipaswa kuwepo kabla na kuwapokea wageni wake.
Acha uboya, yaani Rais akae kumsubiri Mnyika?
 
Hajielewi huyo. Pengine ni wale wenye elimu ya kuungaunga! Kwa uelewa huu, tena karne hii, tusishangae kutawaliwa tena na wazungu kwa mfumo wowote ule maana hatujitambui.
Inawezekana hata wewe haujielewi maana; 64km za mraba Inaweza kuwa na marefu ya 32km au 64km hata zaidi ya 64km, kutegemea na upana wa eneo husika 2x32 or 1x64
 
Km za mraba na za urefu ni vitu viwili tofauti.
Kilomita za mraba 64 ni Sawa na 8 mara 8, sasa hebu nieleweshe Mimi mbumbu hizo kilomita za mraba 64, zinavyokuwa kilomita za umbali, distance from point A to point B!
 
lete swali litakalokuwa na faida na wananchi swali la kijinga watajibu wajinga wenzako
 
Dah....Ana maananisha km za mraba mkuu 🤣🤣🤣🤣
Nisaidie Mkuu,
Hizo kilomita za mraba ni square kilometres kingreza au!?
Kwa uelewa wangu mdogo, 64 unapata Kwa kuzidisha 8 mara 8,
Au kilomita hizo za mraba hizo ni 64 mara 64!? Unapata 4,096 kilomita za mraba!?

Sisi tumetoka shule zamani na hesabu tulikimbia!
 
Ndio atembee maana ni within the premises za ikulu.

And after all Rais ni binadamu kama sisi, analia ana cheka, ana kaa analala ana tembea anakimbia. Kwahiyo hakuna kosa lolote kusema Rais atembee.

Mungu pia alitembea. Soma kitabu cha mwanzo utaona wakati wa ijioni Mungu alipokua akitembea tembea katika bustani ya edeni ila hakumuona Adam na Hawa kwakua walikua wamejificha.

Hivyo kwakua kutembea ni jambo la kawaida sana.

Hakuna kosa lolote kusema Rais atembee. Tena ikiwezekana akimbie kabisa maana mazoezi ni afya.

Punguza kujipendekeza mkuu.
 
Rais anakaa Ikulu na ukumbi wa mikutano wa Ikulu upo mbali lakini humohumo Ikulu hivyo ina mlazimu kutoka eneo moja kwenda eneo jingine ndani ya ikulu kwa msafara. Ikulu ya Dodoma ni kubwa sana.

Ni kama Udom, kutoka college moja kwenda college nyingine.
Sasa ndani ya ikulu msafara wa nini?
 
Ndio atembee maana ni within the premises za ikulu.

And after all Rais ni binadamu kama sisi, analia ana cheka, ana kaa analala ana tembea anakimbia. Kwahiyo hakuna kosa lolote kusema Rais atembee.

Mungu pia alitembea. Soma kitabu cha mwanzo utaona wakati wa ijioni Mungu alipokua akitembea tembea katika bustani ya edeni ila hakumuona Adam na Hawa kwakua walikua wamejificha.

Hivyo kwakua kutembea ni jambo la kawaida sana.

Hakuna kosa lolote kusema Rais atembee. Tena ikiwezekana akimbie kabisa maana mazoezi ni afya.

Punguza kujipendekeza mkuu.
Achana na kutembea,msafara wa nini ndani ya campus ya ikulu?
 
Mkuu ikulu ya chamwino ni 64km za mraba yaani ni kama kutoka chalinze hadi kibaigwa, ila hela noma, yaani pamekuwa na msitu kama kazimzumbwi
Hesabu zako zimezingatia neno mraba? Yaani Square?
Umbali na ukubwa wa eneo vitu viwili tofauti ingawa umbali ni kati ya vitu vinavyoweza kutumiwa kukotolea ukubwa wa eneo.
Mfano:
8KM x 8KM = 64KM za mraba
 
Kilomita za mraba 64 ni Sawa na 8 mara 8, sasa hebu nieleweshe Mimi mbumbu hizo kilomita za mraba 64, zinavyokuwa kilomita za umbali, distance from point A to point B!
Umeandika shortcut, Chalinze, kibaigwa. Sentensi hiyo inahusiana na urefu wakati 64 km za mraba ni eneo (ref. Post #46)
Hata hivyo, sina sababu yoyote kubishana kijinga, tuelimishane na kurekebishana kwa nia njema yenye staha.
 
Nisaidie Mkuu,
Hizo kilomita za mraba ni square kilometres kingreza au!?
Kwa uelewa wangu mdogo, 64 unapata Kwa kuzidisha 8 mara 8,
Au kilomita hizo za mraba hizo ni 64 mara 64!? Unapata 4,096 kilomita za mraba!?

Sisi tumetoka shule zamani na hesabu tulikimbia!
Dah...uko sahihi mkuu...Ila amini tu kutoka Chalinze Hadi Kibaigwa Ni km 64 za mraba🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom