Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Kampa mchongo tume ya utumishiAmempa mchongo wapii!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampa mchongo tume ya utumishiAmempa mchongo wapii!!?
Hivi kibaigwa na chalinze unapafahamu kweli mkuu?Mkuu ikulu ya chamwino ni 64km za mraba yaani ni kama kutoka chalinze hadi kibaigwa, ila hela noma, yaani pamekuwa na msitu kama kazimzumbwi
Nahisi analala anapostahili kulala pia umefurahishwa na uteuzi wa nani sasaKwanza naomba mnielewe ili ni swali tu nimeuliza, hivyo naomba mnieleweshe maana mi ufahamu wangu umekomea hapo,
Rais samia hii nimeona ni mara ya pili, mara ya kwanza alipofatwa kuhojiwa ikulu na Tido, niliona anakuja na msafara, jana pia hivyo hivyo wameenda ikulu wadau wa CHADEMA wakaingia ndani kisha yeye ndio akaja na msafara,
Anakua anakuja na msafara wa magari akitokea wapi?
View attachment 2232926
Mbali na hilo pia naomba nichomekee kidogo, Sijafurahishwa na uteuzi wa mwalimu wake wa form two, hii inaonyesha hayupo serious na hii nchi aisee, tunapeana shukrani au tunajenga nchi?
Hi Mr P,,I think it's a good start of our friendship.Mbona peter alimpokea..
"Hi peter, welcome to Tanzania!"
Au yeye alikuwa juu yake?
Aisee kwanini asitembee tu kupunguza gharama za misafara.
Protocol za kiusalama zinaruhusu hilo ?Ndio atembee maana ni within the premises za ikulu.
And after all Rais ni binadamu kama sisi, analia ana cheka, ana kaa analala ana tembea anakimbia. Kwahiyo hakuna kosa lolote kusema Rais atembee.
Mungu pia alitembea. Soma kitabu cha mwanzo utaona wakati wa ijioni Mungu alipokua akitembea tembea katika bustani ya edeni ila hakumuona Adam na Hawa kwakua walikua wamejificha.
Hivyo kwakua kutembea ni jambo la kawaida sana.
Hakuna kosa lolote kusema Rais atembee. Tena ikiwezekana akimbie kabisa maana mazoezi ni afya.
Punguza kujipendekeza mkuu.
Kwa hiyo mkuu unataka kusema huyu nae ana kaugonjwa kake kama mtangulizi wake au? Yaani nae anapenda sifa kidizaini flani hiviRais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kwake misafara ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Me nikadhani ni mimi tu sijamuelewa huyo jamaa kumbe hata nyinyi, maana siyo kwa kutudanganya huko! Km 200+ leo mtu aseme ni sawa na km64Chalinze Hadi Kibaigwa. Ukipitia shortcut gani hiyo Mkuu ikupe km64?!
Injiniiiiiaa sooomaaaa hiyo. In Aggrey Mwanri's voice
Huyo amepuyanga hata kama ingekuwa hiyo 64 ni urefu bado haelewekiSquare kilometres 64 ni kama 8km. Ni muhimu kujua kuwa kilometa za mraba sio urefu bali ni eneo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah!Rais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kwake misafara ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Kwakuwa yeye ni mwenyeji kwanini asifike ukumbini kabla ya wageni wake [emoji848][emoji848][emoji848]Rais anakaa Ikulu na ukumbi wa mikutano wa Ikulu upo mbali lakini humohumo Ikulu hivyo ina mlazimu kutoka eneo moja kwenda eneo jingine ndani ya ikulu kwa msafara. Ikulu ya Dodoma ni kubwa sana.
Ni kama Udom, kutoka college moja kwenda college nyingine.
Ndiyo nimeulizia huenda kuna shortcut watu hupita na kuipata hiyo 64kms,Umeandika shortcut, Chalinze, kibaigwa. Sentensi hiyo inahusiana na urefu wakati 64 km za mraba ni eneo (ref. Post #46)
Hata hivyo, sina sababu yoyote kubishana kijinga, tuelimishane na kurekebishana kwa nia njema yenye staha.
Dodoma pia ipo Chalinze maarufu kwa jina la Chalinze nyamaChalinze Hadi Kibaigwa. Ukipitia shortcut gani hiyo Mkuu ikupe km64?!
Injiniiiiiaa sooomaaaa hiyo. In Aggrey Mwanri's voice
Dodoma pia kuna kijiji kinaitwa Chalinze kipo kilomita chache kutoka Chamwino uelekeo wa kwenda Kibaigwa maarufu kwa jina la Chalinze nyama zamani kulikuwa kunauzwa sana nyama za mbuziNdiyo nimeulizia huenda kuna shortcut watu hupita na kuipata hiyo 64kms,
Siyo lazima iwe barabara ya lami,
Mfano zamani wenyeji wa Morogoro, walienda Kibiti Kwa kupitia short cut ya Kisaki Selous,hawakuhitaji kuzunguka Chalinze Dar Mkuranga,
Songea Ifakara via Malinyi Selous Namtumbo, hawahitaji kuzunguka Iringa Njombe Songea.
Tanga walikatiza Turiani Handeni!
Sibishani natafuta short cut kama IPO tuambiane, mafuta yamepanda bei!
Narudia tena, 64km za mraba ni eneo.Ndiyo nimeulizia huenda kuna shortcut watu hupita na kuipata hiyo 64kms,
Siyo lazima iwe barabara ya lami,
Mfano zamani wenyeji wa Morogoro, walienda Kibiti Kwa kupitia short cut ya Kisaki Selous,hawakuhitaji kuzunguka Chalinze Dar Mkuranga,
Songea Ifakara via Malinyi Selous Namtumbo, hawahitaji kuzunguka Iringa Njombe Songea.
Tanga walikatiza Turiani Handeni!
Sibishani natafuta short cut kama IPO tuambiane, mafuta yamepanda bei!
Anapenda sana loyalty huyu mamaRais anaishi humo ikulu ila kwa kupenda kwake misafara ya magari mgeni akifika yeye hutoka na kwenda kuanzia safari yake mbali ili aingie kwa msafara.
Ambayo alikuwa nayo tokea mwanzo right?NASIKIA anakaa Kwenye nyumba ya vice president,
Yes anaogopa mzimu wa jpm Mshana Jr anajua vyema kuhusu ili.Ambayo alikuwa nayo tokea mwanzo right?