Rais Samia analala nje ya Ikulu?

Nadhani hapa kosa ni kuonekana kwa msafara, angeweza kuja na msafara wake bila kurekodiwa akaingia chumba maalum cha kusubiria wageni then anaingia ukumbini na kukuta wageni wote walishafika wala huu mjadala usingekuwepo
 
Nadhani huo ni ukumbi wa mikutano Ikulu maana Ikulu si kama nyumba binafsi kwamba utamkuta Rais sebureni na Ikumbukwe maeneo yake ni mapana sasa kujua analala eneo gani ni jambo lingine.
Maswali mengine ni vioja kuuliza Rais analala wapi.Mbwembwe pia zakuonyesha msafara wa mkuu akiwa ndani ya himaya yake zipungunge,ndio zinajenga maswali yakipuuzipuuzi.
 
Ikulu ya Chamwino sio sawa na Dar,hii ni kubwa kama Kijiji kizima
 
Toka umezaliwa umewahi kuona boss anatangulia kusubiria wananchi? Au bwana harusi anatangulia ukumbini?
 
Square kilometres 64 ni kama 8km. Ni muhimu kujua kuwa kilometa za mraba sio urefu bali ni eneo
Samahan naomba kufahamu hii sentensi inanichanganya ya square metre.
Nifafanulie kiufupi.

Nikisema square metre moja ni 15000 ina maana gani? Na urefu ni wa metre 20. Kwahiyo hapa napaswa nizidishe 15000×20 ndio nitapata jibu lá kila square metre moja?

Au ni sawa tu metre yenye urefu wa centimetres 100?
 
Unataka ujue anapolala!! Swali mlako halitaishia hapo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…