Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Mimi naandika ukweli japo ni mchungu kwa watu wasiopenda kuusikia ukweli.Luca is keeping himself busy nourishing his own CV!CV oyeeeee!Chawa oiyeeeee!😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naandika ukweli japo ni mchungu kwa watu wasiopenda kuusikia ukweli.Luca is keeping himself busy nourishing his own CV!CV oyeeeee!Chawa oiyeeeee!😎
Punguza kupiga punyeto!Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi ni mkulima niliye mitaani na ninayejionea juhudi za serikali zinavyotugusa watanzania na kutusaidia kujikwamua kiuchumi.Wewe upo Serikalini bila shaka unapata ka Salary + Kuiibia serikali , huku ukisifia Ujinga ili wasikusitukie na ikiwezekana wakupe mamlaka pia 😂
Jitahidi kuwa na staha katika kuandika hapa jukwaani.Punguza kupiga punyeto!
Wanaume hawanaga shobo za kijinga hivi.
nitakuombea pepo la kufuru lisiambatane nawe 🐒Hahaha
Dah,hata Mungu mwenyewe anashangaa ametajwa huku....😂😂😂
nadhani jambo muhimu zaidi ni kuwatumikia wananchi kwa bidii ili wafurahie matunda dhamira, nia na mipango mizuri sana ya uongozi kazini 🐒Uzuri au ubaya nchi hii marais wote wamentoka ccm. Hebu panga top five yako hapa tujue nani ni bora na nani wa hovyo kuliko wote. Nakusubiri pale kwa mangi
hao waliomtaja hapa juu hawahitaji maombi...nitakuombea pepo la kufuru lisiambatane nawe 🐒
nadhani,Unaongopa kwa kulipwa elfu 14, kweli!!
Mungu akubariki sana kwa kujirudi kwa haraka zaidi.....hao waliomtaja hapa juu hawahitaji maombi...
Sijaisoma kabisa hii risala yako! Ila kwa namna usivyojielewa; naamini itakuwa ni 🚮 kwa 💯%Ndugu zangu Watanzania,
Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.
Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.
Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.
Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.
Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.
Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.
Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.
Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.
Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Usisahau kupitia buku saba yako.Ndugu zangu Watanzania,
Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.
Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.
Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.
Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.
Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.
Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.
Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.
Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.
Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Samia HATOSHI, hata yeye anajua hivyo!!.Samia ni Mpango wa Mungu
Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Mama Samia ANATOSHA na amethibitisha kivitendo kuwa ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu.kwa kuwa ni chini yake tunashuhudia Taifa likiendelea kufanya vizuri kiuchumi mpaka kupongezwa na taasisi mbalimbali za kimataifa. Huduma za kijamii zimejengwa kila mahali na karibu kabisa ya mwananchi. Uwekezaji unaendelea kuongezeka kila leo.Samia HATOSHI, hata yeye anajua hivyo!!.
Hapa siyo mahali pa kuleta mzaha .Usisahau kupitia buku saba yako.
Wewe ndiye hujielewi na kujitambua na ndio maana unakurupuka kuchagua pasipo kuelewa nini kimeandikwa. Wewe ni hasara kwa Taifa na familia yako.Sijaisoma kabisa hii risala yako! Ila kwa namna usivyojielewa; naamini itakuwa ni 🚮 kwa 💯%
Nyie wapumbavu bora msingezaliwa!Ndugu zangu Watanzania,
Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.
Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.
Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.
Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.
Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.
Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.
Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.
Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.
Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mnapewa ngapi siku hizi?Hapa siyo mahali pa kuleta mzaha .
Silipwi bali uzalendo tuUnalipwa kiasi gani kwa uchawa huu?
Amani ya Bwana iwe pamoja nawe.Nyie wapumbavu bora msingezaliwa!
Wewe na tapeli hilo mfe sasa hivi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome motoNdugu zangu Watanzania,
Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.
Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.
Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.
Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.
Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.
Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.
Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.
Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.
Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.