Rais Samia Analipeleka na kuliongoza Taifa katika Njia Sahihi na yenye kuleta Matumaini kwa Mamilioni ya Watanzania

Rais Samia Analipeleka na kuliongoza Taifa katika Njia Sahihi na yenye kuleta Matumaini kwa Mamilioni ya Watanzania

Wewe upo Serikalini bila shaka unapata ka Salary + Kuiibia serikali , huku ukisifia Ujinga ili wasikusitukie na ikiwezekana wakupe mamlaka pia 😂
Mimi ni mkulima niliye mitaani na ninayejionea juhudi za serikali zinavyotugusa watanzania na kutusaidia kujikwamua kiuchumi.
 
Uzuri au ubaya nchi hii marais wote wamentoka ccm. Hebu panga top five yako hapa tujue nani ni bora na nani wa hovyo kuliko wote. Nakusubiri pale kwa mangi
nadhani jambo muhimu zaidi ni kuwatumikia wananchi kwa bidii ili wafurahie matunda dhamira, nia na mipango mizuri sana ya uongozi kazini 🐒
 
Unaongopa kwa kulipwa elfu 14, kweli!!
nadhani,
jambo la maana na muhimu zaidi ni kusema ukweli mchana kwepeee, na hilo ni jambo bayana kwenye hoja ya mtoa hoja 🐒

zaidi ya hapo,
setbacks, stori na porojo zibaki kusogeza muda tu kama pale karume kwenye kahawa baada ya kazi 🐒
 
hao waliomtaja hapa juu hawahitaji maombi...
Mungu akubariki sana kwa kujirudi kwa haraka zaidi.....

Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuambatana nanyi katika fikra, mioyo na vidole vya kutaipia vya kila mwanafamilia wa JF, tujadiliane kiungwana, uadilifu, amani na Upendo....

Aimen 🌹
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.

Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.

Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.

Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.

Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.

Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.

Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.


Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.

Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sijaisoma kabisa hii risala yako! Ila kwa namna usivyojielewa; naamini itakuwa ni 🚮 kwa 💯%
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.

Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.

Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.

Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.

Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.

Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.

Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.


Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.

Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Usisahau kupitia buku saba yako.
 
Samia HATOSHI, hata yeye anajua hivyo!!.
Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Mama Samia ANATOSHA na amethibitisha kivitendo kuwa ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu.kwa kuwa ni chini yake tunashuhudia Taifa likiendelea kufanya vizuri kiuchumi mpaka kupongezwa na taasisi mbalimbali za kimataifa. Huduma za kijamii zimejengwa kila mahali na karibu kabisa ya mwananchi. Uwekezaji unaendelea kuongezeka kila leo.
 
Sijaisoma kabisa hii risala yako! Ila kwa namna usivyojielewa; naamini itakuwa ni 🚮 kwa 💯%
Wewe ndiye hujielewi na kujitambua na ndio maana unakurupuka kuchagua pasipo kuelewa nini kimeandikwa. Wewe ni hasara kwa Taifa na familia yako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.

Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.

Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.

Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.

Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.

Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.

Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.


Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.

Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nyie wapumbavu bora msingezaliwa!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.

Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.

Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.

Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.

Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.

Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.

Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.


Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.

Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe na tapeli hilo mfe sasa hivi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto
 
Back
Top Bottom