Rais Samia Analipeleka na kuliongoza Taifa katika Njia Sahihi na yenye kuleta Matumaini kwa Mamilioni ya Watanzania

Rais Samia Analipeleka na kuliongoza Taifa katika Njia Sahihi na yenye kuleta Matumaini kwa Mamilioni ya Watanzania

Maana ya Jina Lucas asiliyake ni latin uangavu au nuru ya mwanga lakini nachelea kusema na unisamehe kama nitakukwaza unaelekea kuwa giza!!. Mimi namuombea sana Mama Samia apate ufunuo kwamba anatakiwa akabidhi kijiti kwa mtu mwingine, kwa sababu atateseka sana akiamua kung'angania kipindi kingine hali si shwali deni la Taifa limeongezeka mno sisi tunaona sawa anafanya vitu lakini pesa ya kukopa inapashwa iingizwe kwenye uzalishaji na siyo matumizi. chawa wengi kama wewe wala hawampendi wanapambana abaki ili waendelee kupiga, sasa hivi matabaka ndani ya Muda mfupi yameibuka walio navyo na wanyonge, hali vijijini siyo shwali hiyo pesa yenyewe haionekani sasa hivi watu hawana furha kabisa hali ni ngumu. Mama umeongoza miaka 6 kama makamu wa Rais na miaka Mine kama Rais una nafasi sawa sawa na maraisi waliokutangulia katika haki zote usijichoshe kwa maslahi ya watu wengine wasioitakia Mema Tanzania.
 
Maana ya Jina Lucas asiliyake ni latin uangavu au nuru ya mwanga lakini nachelea kusema na unisamehe kama nitakukwaza unaelekea kuwa giza!!. Mimi namuombea sana Mama Samia apate ufunuo kwamba anatakiwa akabidhi kijiti kwa mtu mwingine, kwa sababu atateseka sana akiamua kung'angania kipindi kingine hali si shwali deni la Taifa limeongezeka mno sisi tunaona sawa anafanya vitu lakini pesa ya kukopa inapashwa iingizwe kwenye uzalishaji na siyo matumizi. chawa wengi kama wewe wala hawampendi wanapambana abaki ili waendelee kupiga, sasa hivi matabaka ndani ya Muda mfupi yameibuka walio navyo na wanyonge, hali vijijini siyo shwali hiyo pesa yenyewe haionekani sasa hivi watu hawana furha kabisa hali ni ngumu. Mama umeongoza miaka 6 kama makamu wa Rais na miaka Mine kama Rais una nafasi sawa sawa na maraisi waliokutangulia katika haki zote usijichoshe kwa maslahi ya watu wengine wasioitakia Mema Tanzania.
Naona upo gizani tena katika giza tororo kabisa.

Napenda kujibu andiko lako kama ifuatavyo. Kuhusu Deni la Taifa kuwa kubwa ningependa kukupinga kuwa umedanganya na kupotosha pengine kutokana na kukosa uwelewa wamabo haya ya kiuchumi. Hapa majuzi tu imetoka ripoti ya kuzitaja nchi kumi zenye madeni makubwa,ambapo Tanzania haipo katika nchi hizo zilizotajwa.lakini nchi kama ya kenya ipo. Hii maana yake ni kuwa deni letu Ni himilivu na ndio maana ripoti mbalimbali zimeeleza na kutuhibitisha jambo hilo.

Pili kukopa siyo dhambi na wala siyo jinai na wala siyo jambo la ajabu. Kinachoangaiwa ni aina ya mkopo wako,Riba ya mkopo au masharti ya mkopo. Muda wa kuanza kurejesha mkopo na mahali unakokwenda kuweka mkopo wako. Vitu hivi vyote na vingine vimekuwa vikizingatiwa na serikali ya Rais Samia kwa kuchukua mikopo yenye masharti nafuu kabisa.

Suala la furaha kwa watanzania nalo ningependa kusema umedanganya kwa kuwa ripoti zinaonyesha kuwa Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia imeendelea kupanda zaidi katika viwango vya furaha kwa wananchi wake. Kwa kuwa vitu vinavyochochea furaha vimeendelea kuimarika.mfano uwepo wa amana ,utulivu na usalama wa kutosha, demokrasia nzuri,uhuru wawatu kuzungumza, kutamalaki kwa hakika nchini,kuimarika kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa zima kwa ujumla,kuboreshwa kwa huduma mbalimbali za kijamii nazilizo karibu kabisa ya mwananchi na mambo mengine mengi sana.

Ukineda vijijini ambako wananchi wengi ni waulima wmunauta watu wakiwa na furaha na kuunga mkono uongozi wa Rais Samia ,kwa kuwa umechochea kasi ya maendeleo yao kwa kuwapa pembejeo za kilimo hususan mbolea kwa wakati,bei nzuri na uhakika wa soko kwa mazao yao na mengine mengi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.

Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.

Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.

Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.

Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.

Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.

Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.


Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.

Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chawa mmoja wewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni hatari sana kuwaongoza watu na kuwapeleka katika njia ambayo haiwapi matumaini ya maisha na wala haionyeshi kuleta unafuu wa maisha kwa watu wala uhakika wa kutimiza ndoto zao au kuinuka kiuchumi. Njia ambayo muda wote watu wanaona giza mbele yao,hawaoni wanakokwenda wala tumaini la huko waendako na muda wote kuona bora walikotoka kuliko wanakokwenda.

Leo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan Analipeleka na kuliongoza Taifa katika njia inayowapa matumaini watanzania.ambapo watu Leo hii wanamatumaini ya kupata tiba bora na stahiki waendapo hospitalini ,kutokana na uwekezaji mkubwa katika Secta ya Afya.

Leo Mtoto akifaulu darasa la saba au kidato cha nne anakuwa na uhakika wa kuendelea na masomo hata kama anatokea familia maskini ,kwa sababu tu ya uwepo wa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita . Leo mkulima akilima anao uhakika wa kuaga umasikini kwasababu ana uhakika wa kupata soko la uhakika kwa mazao yake lakini pia pembejeo za kilimo hususan mbolea zinapatikana kwa wakati.

Vijana wanaomaliza vyuo vikuu wanayo matumaini ya kupata ajira kwakuwa serikali ya Rais Samia kwa sasa inatoa ajira walau kila mwaka kwa kila Secta. Wafanyabiashara wanao uhakika wa kupata wateja kwa kuwa mzunguko wa pesa ni mzuri mitaani.

Kikubwa ni kuwa pamoja na hali ngumu ya kiuchumi iliyoikumba Dunia nzima kwa sasa,lakini juhudi za Rais wetu na serikali yetu tunaziona zikifanyika na ahueni ikipatikana ukilinganisha na majirani zetu. Hata katika suala la mfumuko wa Bei hususani chakula ukilinganisha Tanzania na majirani zetu unaona wazi kuwa Tanzania tuna unafuuu mkubwa sana hususani kipindi hiki cha mavuno.

Hata upande wa nishati ya mafuta ambayo ndio njini ya uchumi nako hali ni nzuri ukilinganisha na majirani zetu.ikumbukwe na kufahamika ya kuwa siyo serikali wala Rais ambaye anapandisha bei ya bidhaa kama nishati ya mafuta.bali Bei hupanda kutokana na kupanda katika soko la Dunia ambayo hutuathiri hadi sisi ambao hatuzalishi mafuta wala hatuna visima vya mafuta.

Kabla ya kulaumu au kuishutumu serikali yetu tuwe tunajaribu kufuatilia hali ya Dunia inavyokwenda,na kuangalia sababu ya kitu fulani au bidhaa fulani kupanda bei. kwa kufanya hivi tutaona na kugundua ya kuwa serikali yetu inafanya kazi kubwa sana kubeba mzigo wa gharama mbalimbali ili kumuokoa Mwananchi ,kwa kutoa au kupunguza kodi au kuweka Ruzuku katika bidhaa fulani kama ambavyo imekuwa ikifanya katika mbolea.


Natambua ni kweli hali ni ngumu lakini juhudi za serikali ni kubwa sana. Natambua serikali inatoa ajira kwa vijana lakini siyo vijana wote wanaopata ajira hizo, kwa kuwa vijana waliopo mitaani ni wengi sana ukilinganisha na nafasi zinazotolewa.ndio maana inaendelea kuipa nguvu Secta binafsi ili nayo izalishe fursa za ajira na kuweka mazingira wezeshi.

Natambua zipo changamoto za hapa na pale ambazo hata serikali yetu hukili hadharani, lakini tunaona na kujionea wenyewe watanzania namna serikali yetu inavyofanya kazi kwa nguvu zote kutatua changamoto hizo. Kwa hiyo tuache kutoa maneno machafu na lugha mbaya kwa serikali yetu. Tutoke nje ya mipaka ya nchi yetu tuangalie hali ilivyo,tusijifunge ndani ya mipaka. Tuwe watu wa shukurani kwa serikali yetu na kuitia nguvu kwa juhudi inazofanya badala ya kuikatisha tamaa na kushambulia kwa matusi ,lugha chafu na kejeli mitandaoni.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ilaaaa ...wakukumbuke aseee sio Kwa uchawa huu ...
 
Back
Top Bottom