Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Ni kwa Mara nyingine Tena tukiwa tunaelekea kuumaliza Mwaka tunashuhudia Rais wetu mpendwa mama wa Shoka, Jasiri, shupavu, imara, madhubuti, mwenye msimamo usiyoyumba,mcha Mungu, mzalendo, mpenda nchi yake, na mwenye maono ya Mbali Mama Samia Suluhu Hassan akilibeba Taifa letu katika mabega yake huku likiwa limetamalaki na amani, utulivu, mshikamano, upendo, kuvumiliana na umoja wa kitaifa.
Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.
Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.
Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.
Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.
Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.
Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.
Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.
Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.
Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.
Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.
Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.
Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.
Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.
Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.
Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.
Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.
Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.
Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.
Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627