Rais Samia analivusha mwaka Taifa likiwa na umoja na mshikamano wa hali ya juu

Rais Samia analivusha mwaka Taifa likiwa na umoja na mshikamano wa hali ya juu

Katiba ya sasa inakunyima nn? Au inakubana kitu gani? Acheni kufata mambo Kwa mkumbo

Ukisikia watu wanalia katiba mpya na ww unafata Tu

Ukiulizwa katiba ya sasa haikutendei haki ww kama ww personal Huna majibu
Nakuunga mkono katika hoja yako
 
Watu wa Aina yako ndio wanafanya taasisi ya urais ionekane kama kitu cha mchezo mchezo

Ukiamka asubuh umeshiba magimbi unakuja na andiko la rais

Hii kitu kuna siku itakukost na hutoamini
Bila Shaka wewe unachuki na mh Rais kwa kazi kubwa anazozifanya na zinazogusa maisha ya watanzania,maana hutaki apongezwe Wala atiwe moyo kwa Yale ayafanyayo,Mimi Ni mpiga Kura na nilimpigia kura uchaguzi uliopita na niliipigia CCM katika ngazi zote,hivyo Ni Haki yangu kumpongeza mh Rais kwa kutimiza wajibu wake vizuri katika kulitumikia Taifa letu hili, Nitaendelea kufanya hivyo maana siyo jinai Wala uhaini kufanya hivi,Kama Ni jinai nenda kanishitaki na Kama Nina vunja Sheria niambie Ni Sheria ipi ninayo ivunja kwa haya niandikayo. Acha vitisho ,Kwani wewe unaumia Nini Kama Rais akipongezwa?
 
Bila Shaka wewe unachuki na mh Rais kwa kazi kubwa anazozifanya na zinazogusa maisha ya watanzania,maana hutaki apongezwe Wala atiwe moyo kwa Yale ayafanyayo,Mimi Ni mpiga Kura na nilimpigia kura uchaguzi uliopita na niliipigia CCM katika ngazi zote,hivyo Ni Haki yangu kumpongeza mh Rais kwa kutimiza wajibu wake vizuri katika kulitumikia Taifa letu hili, Nitaendelea kufanya hivyo maana siyo jinai Wala uhaini kufanya hivi,Kama Ni jinai nenda kanishitaki na Kama Nina vunja Sheria niambie Ni Sheria ipi ninayo ivunja kwa haya niandikayo. Acha vitisho ,Kwani wewe unaumia Nini Kama Rais akipongezwa?

Kama ni hivyo msifie kama Mwenyekiti wako na sio kama rais

Shida yako unamwongelea rais kama unaongea kuhusu katibu tarafa wa wilaya

Unajua kinachotokea kwenye michango ya watu kwenye post zako unazomsema rais ?

Sasa hapo Kwa akili yako unamtia Moyo au unamchafua zaidi?

Kila siku nakwambia ww ni chawa ambae Huna details wala hujui mambo
 
Kama ni hivyo msifie kama Mwenyekiti wako na sio kama rais

Shida yako unamwongelea rais kama unaongea kuhusu katibu tarafa wa wilaya

Unajua kinachotokea kwenye michango ya watu kwenye post zako unazomsema rais ?

Sasa hapo Kwa akili yako unamtia Moyo au unamchafua zaidi?

Kila siku nakwambia ww ni chawa ambae Huna details wala hujui mambo
Namchafuaje,Embu andika wewe post nione unavyo mng'arisha maana naona umejaa chuki fulanii isiyo na msingi
 
Hivi mimi na wewe Chawa Mwashambwa tunashikamana kwenye nini ?
Tunashikamana katika kutumia lugha za kiungwana pasipo matusi Wala kumdhalilisha mtu hata Kama tukishambuliwa kwa maneno ya kuishi,hayo mengine kila mtu anabaki na msimamo wake hasa kwa kuzingatia kuwa wewe Ni chadema na Mimi Ni CCM,lakini wewe kwenye mambo ya Taifa wakati mwingine nako unakuwa na upinzani ilimradi tu uonekane numeponga
 
Ndugu zangu Ni kwa Mara nyingine Tena tukiwa tunaelekea kuumaliza Mwaka tunashuhudia Rais wetu mpendwa mama wa Shoka, Jasiri, shupavu, imara, madhubuti, mwenye msimamo usiyoyumba,mcha Mungu, mzalendo, mpenda nchi yake, na mwenye maono ya Mbali Mama Samia Suluhu Hassan akilibeba Taifa letu katika mabega yake huku likiwa limetamalaki na amani, utulivu, mshikamano, upendo, kuvumiliana na umoja wa kitaifa.

Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.

Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.

Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.

Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.

Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.

Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.

Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.

Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.

Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Nyie mnaoandika namba za simu mwisho wa post ni kenge. Hamna kitu cha ziada cha kumsaidia raisi zaidi ya mapambio.
 
Eti akilibeba taifa letu katika mabega yake Mungu ndie hufanya kazi hii
 
Namchafuaje,Embu andika wewe post nione unavyo mng'arisha maana naona umejaa chuki fulanii isiyo na msingi

Uwe unapata muda wa kusoma comments za watu

Hapo ndio utapata majibu kama unampaisha au unazidi kufanya watu wachukie zaidi
 
Uwe unapata muda wa kusoma comments za watu

Hapo ndio utapata majibu kama unampaisha au unazidi kufanya watu wachukie zaidi
Kwa hiyo unatakaje labda? au hufahamu kuwa Rais Ni wa watanzania na siyo mali ya mtu binafsi?
 
Eti akilibeba taifa letu katika mabega yake Mungu ndie hufanya kazi hii
Mwenyezi Mungu Ndiye aliyemfukisha hapo mh Rais wetu kiuongozi na ndiye amuongozaye na kumpa maarifa wa kuongoza Taifa letu,Ndio maana unaona namna mh Rais wetu alivyo na hofu ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa anatambua kuwa mamlaka yote yanatoka kwa Mwenyezi MUNGU aliye juu,ndio maana ana ongoza Taifa hili kwa haki na upendo pasipo kumuonea mtu yeyote yule
 
Kwa hiyo unatakaje labda? au hufahamu kuwa Rais Ni wa watanzania na siyo mali ya mtu binafsi?

Acha uchawa wa kumwongelea Rais kama unamwongelea katibu wa kijiji

Rais ni taasisi ya heshima yake, sio ya kuiongelea the way ww unafanya,

Ukishiba uji wako wa Mchele Tu topic ni Rais

Kumbuka alivyokatishwa Mbunge msukuma kwenye kikao cha ccm dodoma

Alikuwa anafanya ujinga unaofanya ww
 
Umoja, mshikamano,kitoweka kwa hofu,kupungua kwa mizoga ufukweni, Uhuru wa vyombo vya habari, amani nk

Nimiongoni mwa kazikubwa alizo zifanya raisi wangu.

TATIZO NI MOJA TU. BARAZA LA MAWAZIRI LILI LOPO LINAMHUJUMU
tuna mtakia kila raheri
 
Umoja, mshikamano,kitoweka kwa hofu,kupungua kwa mizoga ufukweni, Uhuru wa vyombo vya habari, amani nk

Nimiongoni mwa kazikubwa alizo zifanya raisi wangu.

TATIZO NI MOJA TU. BARAZA LA MAWAZIRI LILI LOPO LINAMHUJUMU
tuna mtakia kila raheri

Wakati wa mizoga, na wakati ambao hakukuwa na Uhuru wa vyombo vya habari

Rais wa sasa alikuwa na cheo gani kwenye serikali?
 
Ndugu zangu Ni kwa Mara nyingine Tena tukiwa tunaelekea kuumaliza Mwaka tunashuhudia Rais wetu mpendwa mama wa Shoka, Jasiri, shupavu, imara, madhubuti, mwenye msimamo usiyoyumba,mcha Mungu, mzalendo, mpenda nchi yake, na mwenye maono ya Mbali Mama Samia Suluhu Hassan akilibeba Taifa letu katika mabega yake huku likiwa limetamalaki na amani, utulivu, mshikamano, upendo, kuvumiliana na umoja wa kitaifa.

Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.

Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.

Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.

Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.

Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.

Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.

Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.

Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.

Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Katika ubora wako
JamiiForums1310514275.jpg
 
Ndugu zangu Ni kwa Mara nyingine Tena tukiwa tunaelekea kuumaliza Mwaka tunashuhudia Rais wetu mpendwa mama wa Shoka, Jasiri, shupavu, imara, madhubuti, mwenye msimamo usiyoyumba,mcha Mungu, mzalendo, mpenda nchi yake, na mwenye maono ya Mbali Mama Samia Suluhu Hassan akilibeba Taifa letu katika mabega yake huku likiwa limetamalaki na amani, utulivu, mshikamano, upendo, kuvumiliana na umoja wa kitaifa.

Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.

Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.

Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.

Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.

Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.

Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.

Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.

Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.

Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
.
 
Back
Top Bottom