Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Nakuunga mkono katika hoja yakoKatiba ya sasa inakunyima nn? Au inakubana kitu gani? Acheni kufata mambo Kwa mkumbo
Ukisikia watu wanalia katiba mpya na ww unafata Tu
Ukiulizwa katiba ya sasa haikutendei haki ww kama ww personal Huna majibu
Bila Shaka wewe unachuki na mh Rais kwa kazi kubwa anazozifanya na zinazogusa maisha ya watanzania,maana hutaki apongezwe Wala atiwe moyo kwa Yale ayafanyayo,Mimi Ni mpiga Kura na nilimpigia kura uchaguzi uliopita na niliipigia CCM katika ngazi zote,hivyo Ni Haki yangu kumpongeza mh Rais kwa kutimiza wajibu wake vizuri katika kulitumikia Taifa letu hili, Nitaendelea kufanya hivyo maana siyo jinai Wala uhaini kufanya hivi,Kama Ni jinai nenda kanishitaki na Kama Nina vunja Sheria niambie Ni Sheria ipi ninayo ivunja kwa haya niandikayo. Acha vitisho ,Kwani wewe unaumia Nini Kama Rais akipongezwa?Watu wa Aina yako ndio wanafanya taasisi ya urais ionekane kama kitu cha mchezo mchezo
Ukiamka asubuh umeshiba magimbi unakuja na andiko la rais
Hii kitu kuna siku itakukost na hutoamini
Hivi mimi na wewe Chawa Mwashambwa tunashikamana kwenye nini ?Watanzania tunamwamini Rais wetu na Tunaamini Hakuna atakayebakia salama endapo atagusa pesa zetu watanzania kwa maslahi yake binafai
Bila Shaka wewe unachuki na mh Rais kwa kazi kubwa anazozifanya na zinazogusa maisha ya watanzania,maana hutaki apongezwe Wala atiwe moyo kwa Yale ayafanyayo,Mimi Ni mpiga Kura na nilimpigia kura uchaguzi uliopita na niliipigia CCM katika ngazi zote,hivyo Ni Haki yangu kumpongeza mh Rais kwa kutimiza wajibu wake vizuri katika kulitumikia Taifa letu hili, Nitaendelea kufanya hivyo maana siyo jinai Wala uhaini kufanya hivi,Kama Ni jinai nenda kanishitaki na Kama Nina vunja Sheria niambie Ni Sheria ipi ninayo ivunja kwa haya niandikayo. Acha vitisho ,Kwani wewe unaumia Nini Kama Rais akipongezwa?
Namchafuaje,Embu andika wewe post nione unavyo mng'arisha maana naona umejaa chuki fulanii isiyo na msingiKama ni hivyo msifie kama Mwenyekiti wako na sio kama rais
Shida yako unamwongelea rais kama unaongea kuhusu katibu tarafa wa wilaya
Unajua kinachotokea kwenye michango ya watu kwenye post zako unazomsema rais ?
Sasa hapo Kwa akili yako unamtia Moyo au unamchafua zaidi?
Kila siku nakwambia ww ni chawa ambae Huna details wala hujui mambo
Tunashikamana katika kutumia lugha za kiungwana pasipo matusi Wala kumdhalilisha mtu hata Kama tukishambuliwa kwa maneno ya kuishi,hayo mengine kila mtu anabaki na msimamo wake hasa kwa kuzingatia kuwa wewe Ni chadema na Mimi Ni CCM,lakini wewe kwenye mambo ya Taifa wakati mwingine nako unakuwa na upinzani ilimradi tu uonekane numepongaHivi mimi na wewe Chawa Mwashambwa tunashikamana kwenye nini ?
Nyie mnaoandika namba za simu mwisho wa post ni kenge. Hamna kitu cha ziada cha kumsaidia raisi zaidi ya mapambio.Ndugu zangu Ni kwa Mara nyingine Tena tukiwa tunaelekea kuumaliza Mwaka tunashuhudia Rais wetu mpendwa mama wa Shoka, Jasiri, shupavu, imara, madhubuti, mwenye msimamo usiyoyumba,mcha Mungu, mzalendo, mpenda nchi yake, na mwenye maono ya Mbali Mama Samia Suluhu Hassan akilibeba Taifa letu katika mabega yake huku likiwa limetamalaki na amani, utulivu, mshikamano, upendo, kuvumiliana na umoja wa kitaifa.
Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.
Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.
Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.
Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.
Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.
Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.
Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.
Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.
Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.
Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Hizo zingine nimekuachia wewe uandikeHunaga nyuzi nyingine?
Silipwi chochote Bali naandika kwa hiyari yangu mwenyewe kutokana na kuridhishwa na utendaji kazi wa mh RaisHow much are they paying you?
Namchafuaje,Embu andika wewe post nione unavyo mng'arisha maana naona umejaa chuki fulanii isiyo na msingi
Kwa hiyo unatakaje labda? au hufahamu kuwa Rais Ni wa watanzania na siyo mali ya mtu binafsi?Uwe unapata muda wa kusoma comments za watu
Hapo ndio utapata majibu kama unampaisha au unazidi kufanya watu wachukie zaidi
Mwenyezi Mungu Ndiye aliyemfukisha hapo mh Rais wetu kiuongozi na ndiye amuongozaye na kumpa maarifa wa kuongoza Taifa letu,Ndio maana unaona namna mh Rais wetu alivyo na hofu ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa anatambua kuwa mamlaka yote yanatoka kwa Mwenyezi MUNGU aliye juu,ndio maana ana ongoza Taifa hili kwa haki na upendo pasipo kumuonea mtu yeyote yuleEti akilibeba taifa letu katika mabega yake Mungu ndie hufanya kazi hii
Kwa hiyo unatakaje labda? au hufahamu kuwa Rais Ni wa watanzania na siyo mali ya mtu binafsi?
Umoja, mshikamano,kitoweka kwa hofu,kupungua kwa mizoga ufukweni, Uhuru wa vyombo vya habari, amani nk
Nimiongoni mwa kazikubwa alizo zifanya raisi wangu.
TATIZO NI MOJA TU. BARAZA LA MAWAZIRI LILI LOPO LINAMHUJUMU
tuna mtakia kila raheri
Katika ubora wakoNdugu zangu Ni kwa Mara nyingine Tena tukiwa tunaelekea kuumaliza Mwaka tunashuhudia Rais wetu mpendwa mama wa Shoka, Jasiri, shupavu, imara, madhubuti, mwenye msimamo usiyoyumba,mcha Mungu, mzalendo, mpenda nchi yake, na mwenye maono ya Mbali Mama Samia Suluhu Hassan akilibeba Taifa letu katika mabega yake huku likiwa limetamalaki na amani, utulivu, mshikamano, upendo, kuvumiliana na umoja wa kitaifa.
Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.
Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.
Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.
Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.
Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.
Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.
Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.
Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.
Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.
Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
.Ndugu zangu Ni kwa Mara nyingine Tena tukiwa tunaelekea kuumaliza Mwaka tunashuhudia Rais wetu mpendwa mama wa Shoka, Jasiri, shupavu, imara, madhubuti, mwenye msimamo usiyoyumba,mcha Mungu, mzalendo, mpenda nchi yake, na mwenye maono ya Mbali Mama Samia Suluhu Hassan akilibeba Taifa letu katika mabega yake huku likiwa limetamalaki na amani, utulivu, mshikamano, upendo, kuvumiliana na umoja wa kitaifa.
Rais Samia Analivusha Taifa likiwa limetawaliwa na furaha na amani mioyoni mwa watanzania,Hakuna anayelia na kububujikwa machozi kwa kuonewa na serikali ya Rais Samia,Hakuna anayevuka mwaka akiwa magerezani kwa uonevu au kuonewa na Serikali ya Rais Samia.
Hakuna watoto wanaolia machozi majumbani kwa baba yao au mama Yao kuonewa,Hakuna anayeilaani serikali hii ya Rais Samia kwa uonevu au ukandamizaji au unyanyasaji au kusigina haki za binadamu.
Rais Samia kafanikiwa kuliunganisha Taifa letu kwa maneno na matendo, Maneno yake na matendo yake yamekuwa mfano wa kuigwa kwa wasaidizi wake na wateule wake. Husikii mteule wa Rais akisimama mahali kudhalilisha mtu au watu kwa maneno pasipo sababu.
Kila mmoja anatambua mipaka yake na wajibu wake,kila mtu anatambua kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa utu wake, Ni amani kila mahali, Ni furaha kila eneo, Ni utulivu kila Kona, Ni Haki kila sehemu, Ni Upendo kila walipo watanzania, Nimaelewano miongoni mwa watanzania.
Rais Samia Ni mshindi katika kila eneo,Hakika ameshinda,watanzania Tumeshinda Na Taifa letu limeshinda,Sasa sote Tunazungumza lugha moja,Tunaelewana vyema,Tunasikilizana, tunabishana kwa hoja,Tunashirikiana katika misiba,sherehe na matukio ya kijamii pasipo kujari itikadi zetu za kisiasa.
Kauli za Rais Samia Ni Faraja kwa watanzania na Mfariji wa Taifa,ndio sababu watanzania wameendelea kuwa na Imani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia,Mama yetu na kiongozi wetu mama Samia anatambua uzito wa kauli zake Kama mkuu wa nchii.
Anatambua kauli zake zinaweza kujenga umoja wakitaifa au kubomoa Taifa, Anatambua kauli zake na ulimi wake unaweza kuvutia wawekezaji na watalii au kuwafukuza.
Anatambua kauli na maneno yake yanaweza ponya mioyo ya watu au kuwa bubujisha machozi, anatambua kauli zake zinaweza Lituliza Taifa au kulitikisa Taifa, anatambua kauli zake zinaweza wafanya watanzania wakaishi kwa kushirikiana au kubaguana.
Hii ndio sababu Rais wetu amekuwa akitoa maneno yenye upendo na kujenga Taifa letu,Amekuwa Mfariji mkuu wa Taifa letu na ngao ya umoja wetu na msingi wa utulivu wa Taifa letu.
Watanzania Tunasema Asante mama yetu kwa upendo wako na uzalendo wako kwa Taifa letu katika kututumikia kwa moyo wako wote,Hakika Keki ya Taifa itamfikia kila mtanzania kupitia juhudi zako za kulijenga Taifa letu kwa nguvu zako zote pasipo kuchoka.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627