Rais Samia anaogopa kufungua miradi ya Hayati Magufuli maana lazima amtaje na akimtaja wananchi wanashangilia

Rais Samia anaogopa kufungua miradi ya Hayati Magufuli maana lazima amtaje na akimtaja wananchi wanashangilia

Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM
Lucifer Magufuli anachoweza kumzidi SSH ni ushamba, ukatili, dhuluma, na kuropoka tu!
SSH ni kiongozi mwenye viwango vya kimataifa, binadamu, mnyenyekevu, mcha Mungu, msikivu, hapendi dhuluma na ni mweledi!
Ni mtu hayawapi peke yake mwenye akili ya kinyesi anayeweza kumsifu na kumshabikia Lucifer Magufuli!
Kwa kifupi kumsifia Lucifer Magufuli ni dhambi mbele ya Mungu kama dhambi nyingine yoyote! Nyanoko
 
Kaa kimya ili watu wasijuwe upumbavu wako. Hakuna miradi ya mtu au kiongozi binafsi Tanzania Bali ni miradi ya Taiga.

Nchi yetu inaongozwa kwa Katiba, na Katiba inataja kuwa Wananchi ndiyo wanamuweka Rais madarakani ili atekeleze matakwa yao.

Kwa sasa nchi yetu inayo blue print inaitwa vision 2025 ambayo iliandikwa kipindi cha BW Mkapa mwaka 2000. Hiyo document imeainisha ni vipi tutajenga miundombinu, kilimo, elimu na afya na sekta zingine za maendeleo hadi mwaka 2025. Hivyo hata CCM Ilani yao wanatoa huko.
Watu wanapenda sana personification....Sijui hii tabia itakufaje watu warudi katika kuijenga nchi na siyo mtu
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji n

Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.

Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Aogope kwa kuwa jiwe alikua anajenga kwa pesa zake au? alikua anatekeleza ilani kama inavyoelekeza kuboresha miundombinu na huduma za kijamii
 
Huyu rais wakuhurumia tu,cha msingi atakachofanya ili watanzania wamkumbuke daima ni katiba mpya tu,kwengine kote kesha feli.
 
Sasa Samia angeamua kuachana na miradi ya Magufuli, Magufuli angemfanya nini?. Ukweli ni kuwa rais aliyeko madarakani anao ubavu wa kuachana na miradi ya mtangulizi wake na hakuna mwananchi wa kumfanya lolote
 
Huku ruvuma tunampenda Dr. Samia
Vizuri anawapenda pia, labda atakuja kuwasalimu maana Nchi hii kubwa sana.

Ni Rahisi sana kuizunguka Dunia ukaimaliza kuliko kuitembelea Tanzania na wilaya zake zote.😳😳😳😳😳😳
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.

Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Acha uongo Rais Samia Suluhu hakuna anachoogopa sio kila kitu kinachozinduliwa Rais awepo sasa itafikia stage mseme Rais akazindue ofisi ya kijiji kwasababu imejengwa na Magufuri Rais Samia Suluhu aliahidi kutekeleza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake na anaitekeleza kwa kasi ya ajabu haijawahi kutokea watanzania tunaangalia zaidi utekelezaji na sio vinginevyo
 
Vizuri anawapenda pia, labda atakuja kuwasalimu maana Nchi hii kubwa sana.

Ni Rahisi sana kuizunguka Dunia ukaimaliza kuliko kuitembelea Tanzania na wilaya zake zote.
Hahahaaa!!
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.

Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Ujinga hauishi mleta mada kila wakati magufuli vipi,?Tufanye mengine.
 
Tunapongeza miradi ya mtangulizi kumaliziwa,

Tunawaomba tu msiongeze 000 mbele ya hesabu, pesa ziendane na thamani ya mradi husika.
Pesa zinaendana na thaman ya mradi husika
 
Pesa zinaendana na thaman ya mradi husika
Wasiwasi ndo akili,

Kipara aliomba TRILIONI 11 atekeleze miradi ya Umeme tusoijua,

Leo Sa100 ameruhusu zitoke Trilioni 4,

Yaani skuiz wanapiga deals za TRILIONI na Si BILLIONs kama enzi za Mkwere.

Siku yaja,

Kila ubaya utalipwa.

Tusubiri.
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.

Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Hana ushamba kama wa yule mwovu wenu kila kashughuli kadogo lazima afike apate jukwaa la kutukania mahasimu wake
 
jaribu kutumia akili!!huyo shujaa wenu alikuwa akiamka tu ana kuja na li mradi huku pesa anategea kukopa,sasa amekufa yale mi miradi ndio kwanza yameanza hizo pesa za kuyamaliza zinatoka wapi hapo hapo mama aanze miradi mipya?!!ila MUNGU FUNDI
Ufundi wa Mungu unakuja kwako.
 
Back
Top Bottom