Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Nilikuwa mfuasi wake na nitakuwa mfuasi wake ila kwa haya maboko hapa kwakweli
Hakuna mwanamke anaependa kuwa na kifua flat ila maumbile yao
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
View attachment 1905561

Rais wenu hapo katukana na sio kukosea, na analeta tafsiri mbaya sana mfano ni kama yeye ni msagaji au msagwaji hivyo anatamani kuwa nao ila hawana vigezo vyake au alishakuwa nao ila ndio hivyo hawana vigezo vyake, ama anamjulisha aliemwaga sababu za kumwaga na aliemwagwa anaweza asiwe mcheza mpira ila anapwaya kihivo, kisha mwenyewe katumia hadhira hadhira hio kutupa dongo, au wapo wanaharakati wanatafsiriwa kwa ukosoaji wao kama wanamtaka hawampati kwani hata si warembo, kama hivo boobs mbovu kwa hio wamepewa dongo kuwa hawana sifa za kumsumbua, mathalani kuolewa tu shida je, yeye watamuweza?

Ipo namna si bure, japo ni wazi kwa namna ilivo Mama yenu katukana na wanawake wote wametukanwa. Tafakari na tafsiri mbadala ziendelee.

Au tafsiri hakosolewi na wasio na sifa kama zake, kwa kuwa yeye ni next level, je, kijana, wazee, wamama, wakaka, wababa mjipime kabla hamjamkosoa comrade Samia
 
Rais wenu hapo katukana na sio kukosea, na analeta tafsiri mbaya sana mfano ni kama yeye ni msagaji au msagwaji hivyo anatamani kuwa nao ila hawana vigezo vyaka au alishakuwa nao ila ndio hivyo hawana vigezo vyake, ama ana mjulishe aliemwaga sababu za kumwaga na aliemwagwa anaweza asiwe mcheza mpira ila ana pwaya kihivo, kisha mwenyewe katumia hadhira hadhira hio kutupa dongo, au wapo wanaharakati wanatafsiri kama wanamtaka hawampati kwani hata si warembo, kama hivo boobs mbovu kwa hio wamepewa dongo kuwa hawana sifa za kumsumbua, mathalani kuolewa tu shida je, yeye watamuweza?

Ipo namna si bure, japo ni wazi kwa namna ilivo Mama yenu katukana na wanawake wote wametukanwa. Tafakari na tafsiri mbadala ziendelee
Mbona Mimi ni mwanamke sijatukanwa, Kuna vitu vya kukosoa ni valid acheni unafiki.
 
Du! mambo ya taarab haya..... Ama kweli Rais tunae 😳 🤯
 
Mbona Mimi ni mwanamke sijatukanwa, Kuna vitu vya kukosoa ni valid acheni unafiki.
Inahitaji akili nyingi na kuvaa uhusika wa wengine, ukijua neno tafsida na why tafsida na wapi na ili iweje ndio utaelewa. Kuna nyakati waweza kuvaa giza mchana na ukatupa jiwe ukiwa na akili za usiku badala yake hadhira ikakushanga pamoja na jiwe kumpata mmoja. Why, how, where, when would you borrow someone else thinking, and which parameters deem relevant for that matter? But there is always a room for other factors remaining constant.

Presumptions perspective, just.
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.

I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
Kuhusu Rais wetu, Jenerali Ulimwengu alisema: Rais Samia hawajui vizuri WATANGANYIKA, jenerali ulimwengu kasema hivyo kwa kujumlisha mila na dasturi zao.

Sasa inaonyesha kabisa huwenda Rais kasema hivyo kwa kujilinganisha uchaguzi wa wachumba kwao visiwani na huku TANGANYIKA, basi yawezekana visiwani wanaume wao kibaumbele cha kumchagua mwanamke ni matiti yaliosimama.

Kumbe sisi wa TANGANYIKA kipaumbele chetu cha kuchagua wachumba ni tabia au uweupe kama alivowahi kunukuliwa MWENDAZAKE .
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
View attachment 1905561

Hakuna mtu hapo
 
I beg to differ, I think her comments were taken out context

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Alikuwa akizikumbusha mamlaka zihakikishe zinaangalia na kuzingatia maslahi ya wachezaji hawa wa kike hasa nguvu zao za kucheza mpira zinapokwisha, wasiachwe tu bila maslahi yoyote. Hakuna mahali popote ametumia neno 'matiti', sana sana ametumia maneno ya staha kuwasilisha ujumbe wake.

Shida ninayoiona hapa ni kwamba usipomkubali mtu au unapokuwa na mtazamo hasi juu ya mtu fulani, hakuna jema utakaloliona kutoka kwake....hata akipiga chafya utaona amekosea, vivyo hivyo ukiwa umemkubali mtu au una mtazamo chanya juu ya mtu fulani, hata afanye ujinga wa gani, kwako wewe utaona yuko sawa, na anafanya vizuri.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Ni kweli kabisa alisema hayo maneno. Akiwa kama kiongozi wa nchi, tena Mwanamke hakupaswa kabisa kutamka hayo maneno dhidi ya Wanawake wenzake tena mbele ya vijana wa Kiume.

Kauli tata za viongozi huwa zinaleta ukakasi sana hasa kwa Wazungu. Kumbukeni yule Kiongozi wa Olympic kule Japan alivyoshambuliwa mpaka akajiuzulu baada ya kusema "wanawake wana ongea sana".

Kwa maneno hayo hata kama yalikuwa na ukweli lakini yalichukuliwa kuwa ni dharau kwa wanawake.

Sasa Madam SSH naye amesikika akisema, "wachezaji wanawake wanasura ngumu sana, ukimpeleka nyumbani Bi mkubwa atakushangaa na kukuuliza huyu ni mwanaume mwenzio au mwanamke"?

Ki ukweli Madam alikosea sana kusema hivyo. Naamini ataomba radhi maana Wazungu watamshikia bango mbaya. Ingekuwa ni nchi za wenzetu angeshajiuzulu.

Tutarajie FIFA womens org kutoa tamko kali sana kulaani matamshi ya Madam President SSH.

Swali la kujiuliza, hakuna watu wa kumwandikia hotuba Rais Samia?????
Na kama alimaanisha hitaji la kutumia fumbo kufikisha ujumbe wake kwa walengwa wa fumbo lake!basi alichagua fumbo la utopolo lenye kuakisi upeo wake na unyenyekevu wake kwa hadhira jumuishi isiyo na mipaka
 
Hakuna asiye na mwenzi wake hapa duniani. Hata wenye sura mbaya kama inavyoitwa wana wenza wao.
 
Tuache tu unafiki
Mama kaongea uhalisia ulivyo na huo ndio ukweli
Mwanamke hajaumbwa kwa kazi kama hizo
 
Cheki
Screenshot_20210824-090134.jpg
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy...
Mbona kama alikuwa anawatetea hawa wanawake wenye vifua flat
 
Halafu hapo alipokuwa anazungumza kuna watu walimpigia makofi!!

Maajabu!!
Maajabu zaidi ni pale Ben Pol alipovaa shati la kitenge mshono wa kike kabisa na watu wanatupia comments za faya [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

we've become too open minded our brains start falling out [emoji2303]

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom