Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa awatetee, Kwani walimlalamikia kuwa sisi vifua vetu ni flat, hatupati wanaume?Mbona kama alikuwa anawatetea hawa wanawake wenye vifua flat
Kwa Rais Tumepigwa Mchana Kweupe [emoji101][emoji114][emoji24][emoji22]
like you, sweet madame!!Anataka wote wajazie mtindi kama nani vile
Kwani hawako flati? Hao wana michezo wako sawa na hawa wanawake wa kawaida wa huku mitaani? So kuna ubaya kama kutakua na mfuko wa kuwa support?Sijui akili zako, Ila kusema wale wadada wasaidiwe kwa sababu hawavutii kwa wanaume na wako flat hata ukiwaweka na wanaume huwezi tofautisha hivyo kuolewa baada ya kustaafu kucheza mpira itakuwa ngumu.
Huoni ubaya wa hii sababu ya kutaka wasaidiwe?
Huwezi amini mkuu mimi nimeona point kubwa sana katika aliyoyazungumza mama.Sion kibaya alichozungumza.
Bhas tu mshamchukia.
Mkuu unaelewa kweli kinachojadiliwa hapa?Kwani hawako flati? Hao wana michezo wako sawa na hawa wanawake wa kawaida wa huku mitaani? So kuna ubaya kama kutakua na mfuko wa kuwa support?
Huwezi amini mkuu mimi nimeona point kubwa sana katika aliyoyazungumza mama.
Watu hawajaelewa mantiki ya maneno yale lakini mimi binafsi nimeelewa mambo mengi sana ambayo kayazungumza kwa hekima kubwa sana
Jinga lingine hili hao wazanzibar na watanganyika wanatofauti gani na wamakonde ulisoma hx kweli wewe? Ulimwengu jinga tu nashangaa unaquote mjinga
Kweli kabisa mkuu, Mimi nilianza kupiga kura ya kuikataa CCM toka 1995piga kura kuikataa ccm hiyo ndiyo dawa. sisi wengine tumekuwa tukifanya hivyo since 2000 ila wenzetu wengi kwa ujinga wao wameendelea kukichagua hiki chama kilichojaa uozo.
Waliotakiwa kuwa offended na kauli ya Mh Rais prolly ni wanawake na sio wewe nyani, au umekuwa msemaji wa wanawake.Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!
View attachment 1905556
Mbona ameongea kitu cha maaana, wewe umeskia tu kifua cha wanawakeRais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!
View attachment 1905556
Habari kuu usiku wa leo
Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika
Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.
My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.
USSRView attachment 1905388
View attachment 1905561
Magufuli alijenga 465Jana nimeona ametangaza kujenga vituo vya afya nchi nzima zaidi ya 180 na pesa tayari zimetumwa huko kwenye lower levels.