KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Oh so we have our very own Caster Semenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh so we have our very own Caster Semenya
Kwa sababu hajaamua si kwa kukosa wa kumuoa.Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi
Kwani wao wanasemajeSaitakuaje
Sasa ndo aombe wasaidiwe kisa hawavutii wanaume? Angeomba mamlaka ziwasaidie kwa sababu wameleta sifa kwa taifa. Hapa angekuwa sahihi.Kweli..? Ndo Kasema hivyo.!! ..Ila kama yupo Sahihi wengi nikiwacheki hao Mabinti Wanafanana na hiyo description ya Mama.....! Kawadhalilishaje Sasa?
She is wrong maana anaongoza watanzania wenye mitazamo tofauti na tamaduni tofauti, tena hakuna sheria inayomlazimu mwanamke kuolewaYeye anaamini msichana asipoolewa kama utu..
Mentality ya kipwani na kiislamu zaidi
Hyo ulaya mzee bongo nyoso toa mfano nani demu mwenye mishipa altrendSerena Williams, Venus Williams, Naomi Osaka?
unaleta ushabiki wa Simba na YangaILA MIMI NIMETOKEA KUMPENDA SANA MAMA. MUNGU TU AMTANGULIEAMLINDE AMPE AFYA, BUSARA NA MAISHA MAREFU.
MAMA SAMIA NA NDUGU MOHAMODOU BUHARI WA NIGERIA NDIO MARAIS AMBAO AFRIKA HUNIAMBII KITU!
Huyu mama huyu bure kabisa.Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!
View attachment 1905556
Hapana mkuu. Maza hana shida. Shida waliomzunguka na mama anawaonea aibu. Najua waziri wetu mkuu Freeman mbowe kuwa ndani inamuuma sana maza. Mama ni mama tuuunaleta ushabiki wa Simba na Yanga
Besti remember she is your fellow woman 😆Huyu mama huyu bure kabisa.
Mkuu naona unajumlisha 5 unatoa 5 unabaki na 0. Kwani nini azungukwe na watu wenye shida,kwa nini awaonee aibu. Basi na yeye ana shidaHapana mkuu. Maza hana shida. Shida waliomzunguka na mama anawaonea aibu. Najua waziri wetu mkuu Freeman mbowe kuwa ndani inamuuma sana maza. Mama ni mama tuu
Ninamuangalia kama Rais na si kama mwanamke mwenzangu.Besti remember she is your fellow woman 😆
usimuangalie mtu kwa jinsia,dini au kabila. mtizame yeye kama yeyeBesti remember she is your fellow woman 😆