Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Yaani nimeshindwa kuangalia hiyo clip hadi mwisho, ni aibu
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
View attachment 1905561
😂😂😂😂ila kweli we utamfananisha sura ya feitoto na gaucho aliechezea simba qeen
 
Watanzania hawa hawa wanaomiliki simu janja?, watarekodi na kusambaza tu tena wakiambiwa ndio kama watakuwa wamepewa sababu ya kusambaza. Mimi nadhani tuwe na fremu ya mambo ya kwenda kuongea na hotuba ibaki hapo hapo tusiwe na vyakuchomekea.
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?....
Ujinga huzagaa nyanja zote! Tangu usoni hadi marafiki wa ngono. Huyu hata mfanyeje mwanzo alikuwa failure wa form 4. Baadaye secretary au sextary, au yote mawili. what next Ikulu?
 
Vizuri sana. Anaweza pia kutoa ufafanuzi zaidi ili kuzuia watakaokuja kutumia vipande vya taarifa hiyo vibaya ili kubomoa dhana nzima iliyokuwa na maana.
 
Eti mabinti hawana matiti ukiwatambulisha kwenu utaulizwa huyu ni binti au mwanaume mwenzako !!!

Huyu Mama enu amewadhalilisha na kuwafedhehesha mabinti wa twiga stars.
 
katika mambo anayoongea Rais sio kila jambo lazima liende kwa wananchi kuna mengine personal advice ambayo yanaweza kulenga sana maisha ya watu ,mtu au kitu fulani , sasa Rais anapoongea na Umma kupitia vyombo vya habari, jitahidi sana kuchuja kipi kiende kwa jamii na kipi ni cha ndani tu. [emoji1752][emoji1752][emoji1752][emoji1548]
Unaijua " mubashara " bwashee?
 
watanzania hawa hawa wanaomiliki simu janja?, watarekodi na kusambaza tu tena wakiambiwa ndio kama watakuwa wamepewa sababu ya kusambaza. Mimi nadhani tuwe na fremu ya mambo ya kwenda kuongea na hotuba ibaki hapo hapo tusiwe na vyakuchomekea.
safi sana mkuu umechangia jambo jema , mfano Rais akitaka kutoka nje ya hotuba asubiri yale ya msingi katika hotuba yaishe alafu aviruhusu vyombo vya habari vitoke nje ya ukumbi , then ndio aanze kuongea , hii hata katika ngazi ya familia sisi wazazi uwa tunafanya mfano kapo katoto hapo sebuleni unakaambia nenda nje kacheze na wenzako akitoka tu mnaanza kuteta yenu sasa.
 
Kwa mfano ile ya askofu Gwajima ku!kataa kiti na mic haikupaswa kupelekwa kwa public.

Inaonyesha taswira ya ushirikina kwenye muhimili!
IMG_20210824_113233.jpg
 
watanzania hawa hawa wanaomiliki simu janja?, watarekodi na kusambaza tu tena wakiambiwa ndio kama watakuwa wamepewa sababu ya kusambaza. Mimi nadhani tuwe na fremu ya mambo ya kwenda kuongea na hotuba ibaki hapo hapo tusiwe na vyakuchomekea.
Mkuu habari zisizo nzuri huwa na tabia ya kuenea kwa kasi sana. Lakini dawa sio kuzizuia ni kuelezea mantiki ili watu wasitoke kwenye reli. Ni kama virus sasa unaweka antivirus kudetect na kuziua madhara zaidi baadaye.
Nakubaliana na wewe kuwa na frame na kuepuka kutumia hisia zaidi.
 
Huyo Mkurugenzi wa mawasiliano/Haniu atajuaje kuwa sasa hivi Rais atatoa Boko hadi aviambie vyombo vya habari kuweka foo? kwani huwa anakuwa akilini/mawazoni mwa rais?
Kama wewe sio mwanataaluma ya habari ni ngumu kufahamu ila naamini Jafari yeye amenielewa
 
Back
Top Bottom