Rais Samia anasema 'hili tunalichukua'. Hayati John Magufuli aliamua pale pale jukwaani

Rais Samia anasema 'hili tunalichukua'. Hayati John Magufuli aliamua pale pale jukwaani

Kuna hasara nyingi sana za kuhukumu hapo hapo endapo tu jambo hilo halina haja na ulazima wa kuhukumu hapo hapo.

Kuhukumu hapo hapo kuna madhara makubwa kwa sababu mara nyingi mtu anahukumu kwa utashi na kufurahisha kundi fulani na pengine ukamkosesha haki mtu mwingine.

Mama samia alipojibu hoja ya chato kuwa mkoa alijibu kwa hekima sana kwamba vitaangaliwa vigezo kama vitakidhi basi chato utakuwa mkoa.

Hekima iliyoje kwa mama yule,pale alijua fika kwamba akijibu moja kwa moja chato kwamba itakuwa mkoa atawafurahisha sana wana chato msibani na angewafariji zaidi,lakini jibu halikuwa na ulazima wa kutolewa pale pale kwa sababu baadae utakuja kuonekana muongo.

Hivyo mama yetu raisi haoni haja ya kuhukumu hapo hapo kwa sababu kwanza kesi nyingi ambazo zinahukumiwa hapo hapo hazina ulazima wa kuhukumiwa,lakini pia zinakuwa na hukumu za mihemko mara nyingi hivyo mama anaona bora ajiepushe nazo.

Hekima na kufikiria kwanza kisha ndipo unajibu.
Viongozi wengi dhaifu kuamua mambo magumu majukwaani.
Magufuli alikuwa dhaifu
Asante mungu umemuondoa haraka
 
Unajua watanzania tuna shida sana hivi Huyu mama kwa akili hawa wapuuzi isiyochambua mambo akiwaambia wakusanye mabango atayafanyia kazi maana yake nini? Yaania aliyesababisha tatizo kama la kula hela za kituo cha afya au shule ndo anaambiwa akusanye mabango atayafanyia kazi! Mama huyu yupo tu kikatiba ila uwexo mdogo!
USA Kwenyewe wanainua manage itakuwa bongo?
Bongolala wewe
 
Haya
USA Kwenyewe wanainua manage itakuwa bongo?
Bongolala wewe
Poa bongo lala! Unafikiri wote wageni nchi hii! USA inauhuru zaidi ya miaka 240 wewe unaleta upumbavu hapa! Viongozi lazima wawajibike kutetea wananchi! Unakabidhi shamba la mahindi kwa nyani!
 
Usimpambe, uwezo huo wa kufanya maamuzi yenye tija na sahihi kwa muda mfupi Samia hana! Magu ni namba nyingine, usijaribu kulinganisha na photocopy iliyoishiwa wino!
Photocopy imewaondoa wamachinga na sasa mitaa inafanyiwa usafi. Photocopy iliweza kuongoza vyema bunge maalum la katiba likamalizika kwa salama na amani kabisa.
 
Tabia ya magufuli ya kuhukumu hapohapo aliambukizwa Lukuvi kwenye kutatua migogoro ya ardhi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Wanadhani ni ujasiri kuamua pale pale kumbe ni kielelezo cha kiburi cha kiume ambacho kimeumiza dunia nzima.

Hitler, Mussolini na wengine wengi tu walidhani ni ujasiri kuamua pasipo kujiridhisha matokeo yake hasara waliyoitengeneza haina mfano.
 
Photocopy imewaondoa wamachinga na sasa mitaa inafanyiwa usafi. Photocopy iliweza kuongoza vyema bunge maalum la katiba likamalizika kwa salama na amani kabisa.
We naye🤷, kwani kuongoza bunge la katiba ni kazi!? Kama Ndugai ameweza kuliongoza bunge la JMT nani atashindwa kuwaongoza hao wabunge🤷 waliojaa unafiki zaidi kuliko uhalisia! Yeyote yule angeweza kufanya vizuri zaidi na sasa nchi ingekuwa na katiba mpya!
By the way, matokeo ya hilo bunge la katiba mnalolipigia upatu ni nini vile🤷, kama haukuwa mchezo wa kuigiza!
Mnampa sifa asizostahiri🤔!
 
We naye🤷, kwani kuongoza bunge la katiba ni kazi!? Kama Ndugai ameweza kuliongoza bunge la JMT nani atashindwa kuwaongoza hao wabunge🤷 waliojaa unafiki zaidi kuliko uhalisia! Yeyote yule angeweza kufanya vizuri zaidi na sasa nchi ingekuwa na katiba mpya!
By the way, matokeo ya hilo bunge la katiba mnalolipigia upatu ni nini vile🤷, kama haukuwa mchezo wa kuigiza!
Mnampa sifa asizostahiri🤔!
Uwezo anao ndio maana anakuongoza wewe na mimi. Uliyemtaka awe kiongozi kashindwa kuliongoza taifa hili.
 
Uwezo anao ndio maana anakuongoza wewe na mimi. Uliyemtaka awe kiongozi kashindwa kuliongoza taifa hili.
Hujitambui ww! Sasa hivi tunaongozwa na vivuli vya nje na ndani, siyo huyo mama! Kiongozi tuliyemchagua aliyekuwa analiongoza taifa letu bila ya kuongozwa na vivuli mlimfanyia hiyana, Mungu akamtwaa! Ila Mungu hatalisahau taifa letu hili, Magu wengine tunapiga jalamba kuja kuiongoza nchi!
 
Hujitambui ww! Sasa hivi tunaongozwa na vivuli vya nje na ndani, siyo huyo mama! Kiongozi tuliyemchagua aliyekuwa analiongoza taifa letu bila ya kuongozwa na vivuli mlimfanyia hiyana, Mungu akamtwaa! Ila Mungu hatalisahau taifa letu hili, Magu wengine tunapiga jalamba kuja kuiongoza nchi!

Toka lini kazi ya MUNGU ikafanyiwa hiyana na binadamu? Umetendwa wewe na conspiracy theories zenu nyie gang!!
 
Hujitambui ww! Sasa hivi tunaongozwa na vivuli vya nje na ndani, siyo huyo mama! Kiongozi tuliyemchagua aliyekuwa analiongoza taifa letu bila ya kuongozwa na vivuli mlimfanyia hiyana, Mungu akamtwaa! Ila Mungu hatalisahau taifa letu hili, Magu wengine tunapiga jalamba kuja kuiongoza nchi!
Pole sana mkuu, Hizo imani za vivuli mtazeeka nazo na hazitawasaidia. Huyo aliyekuwa anaongoza yeye alileta kipi cha ajabu na cha maana kwa taifa hili?.
 
Usimpambe, uwezo huo wa kufanya maamuzi yenye tija na sahihi kwa muda mfupi Samia hana! Magu ni namba nyingine, usijaribu kulinganisha na photocopy iliyoishiwa wino!
Magu aliamua hapo hapo na maamuzi yakawa na madhara makubwa yaliyodumu miaka na miaka. Mama anabeba suala ili aende akalitazame suala kwa undani ili asije kumuumiza mtu au watu.
 
Magu aliamua hapo hapo na maamuzi yakawa na madhara makubwa yaliyodumu miaka na miaka. Mama anabeba suala ili aende akalitazame suala kwa undani ili asije kumuumiza mtu au watu.
Kwanza si kila jambo aliloletewa Magufuli alilitolea maamuzi papo kwa papo..Pili, mengi ya aliyokuwa anayatolea maamuzi yalitokana na uzembe au dalili za uonevu, tatu, mengi yalihusu viongozi chini yake kushindwa kuwajibika..wewe unaona maumivu ya maamuzi kwa mtu anayetajwa kuumiza wengine, mbona husemi maumivu ya wale wanaoshitaki wakati huo kwa Magufuli, mfano yule Mama wa Rukwa ambaye ng'ombe zake ziliibiwa miaka 9 anapigwa dana dana na wezi wanajulikana, inawezekana ndani ya muda huo alishindwa kusomesha watoto, pengine hata vifo vilitokea kwa kukosa matibabu stahiki kwa kukosa pesa nk hiyo gharama wewe unaiona si kitu..mambo mengine huhitaji kusema unalichukua wakati unaona dhuluma wazi wazi, acheni bwana..jambo haliko kwako bora unyamaze, wahanga wa mambo haya ndio wanajua gharama na maumivu yake! mfano jambo lilmepelekwa hadi kwa DC mtu hajapata msaada, sasa unalichukua halafu nani utampa alishughulikie km si DC huyo huyo ambae kama alishindwa hapo mwanzo, mara ya pili ndio ataweza??acheni ajenda mufilisi za kukosoa wakati hata familia yako tu huwezi kuwaongoza! Mtu mwenye hulka ya uvivu, uonevu, dhuluma, rushwa ndio anaweza kosoa maamuzi ya papo kwa papo, lakini kwa mkulima asiyejua hata kazi za DC ni nini, maamuzi ya aina hii yana faida na ahueni kubwa kwake..bora ukosee kuamua papo kwa papo kuliko kujipa muda kuamua halafu ukachelewa kuamua, au usiamue kabisa yaani funika kombe...au hata ukatoa maamuzi ya upendeleo. Na mara zote, zote kabisa Magufuli alikuwa haamui bila pande zote kuwasikiliza! kama una mfano wa mtu alitolewa maamuzi bila yeye kusikilizwa leta hapa huo mfano...! Kama kiongozi hana jicho la tatu kuona zaidi ya kile watu wengine wanaona, huyo si kiongozi! ukisoma mifano ya watawala kama mfalme Suleimani nyakati zile hakuna pahali unakutana na kauli ya ninalichukua nitashughulikia..viongozi wanaojua jamii wanayoiongoza huomba jicho la tatu ili iwasaidie kuamua papo kwa papo!
 
Ipo tofauti nimeiona ndani ya miezi saba tangu JPM aage dunia na Rais Samia apewe nchi. Tofauti ya uwezo wa kusikiliza na kufanya maamuzi yenye mizania sahihi. JPM hakubarikiwa busara za utatuzi wa matatizo mengi ya kiutekelezaji japokuwa alikuwa na sifa ya utatuzi huo. Hayati JPM alipenda kuamua suala pale pale jukwaani yaani muda ule ule alipokuwa ndio kwanza kalifahamu.

Rais Samia anaukwepa huu mzigo wa lawama ya wananchi. Hana pupa ya maamuzi na hutumia busara ya kusema 'mimi na wasaidizi wangu hili tunalichukua na tunakwenda kulifanyia kazi'. JPM aliamua muda ule ule, matokeo yake baada ya siku kadhaa kupita yale maamuzi yanakuwa yakifahamika kuwapendelea baadhi ya watu na kuwaumiza wengine. Baada ya siku kadhaa kupita inakuja kujulikana kuwa maamuzi yameegemea upande mmoja badala ya kuwa ni ya haki. Hulka hii ilisababisha baadhi ya watendaji serikalini kumuogopa Hayati JPM.

Na wengine hawakumuogopa bali walianzisha tabia ya kuharibu kazi makusudi ili wamuachie ofisi ateue watu wengine anaoona wanafaa kupewa ofisi. Rais Samia anakubali kutumia muda mrefu kupata utatuzi wa matatizo akijiridhisha na maamuzi yatakayofikiwa baada ya kulitazama suala husika kwa pande zote mbili. Unaweza kudhan ni udhaifu kumbe ni sifa ya uongozi, kuepuka kuleta mifarakano miongoni mwa watu wako wa karibu.

Kwani udhaifu wa tabia ya maamuzi ya jukwaani ni kiongozi kuwa wapendwa zaidi wanaoaminiwa na yeye na wapendwa wa kawaida tu. Watu wasioogopa wala kuona aibu ya kuwaharibia wenzao walio wengi kwa sifa ya muda mfupi tu.

Rais Samia ameonyesha utulivu wa kufanya maamuzi. Hajaonyesha pupa wala hasira pale anapochokozwa, mfano alichokifanya Baba Mchungaji Gwajima kingeweza kabisa kuiamsha hasira ya Samia lakini akatulia kama hakuna linalotokea. Aliweza kuonyesha ukomavu wa kiuongozi kwa kuweza kuistahimili misukosuko ya kisiasa kwa utulivu mkubwa.

Hayati JPM alipendwa kwa kusimamia haki za wananchi lakini upande mwingine wa sifa hiyo ulimpatia maadui haswa miongoni mwa wale waliokwazwa. Rais Samia ameweza kueleweka pale anaposema 'hili tunalichukua'. Hataki kufanya maamuzi halafu yakaleta msingi mbaya (precedent) wa siku zijazo.
Tusaidie kujua pale kigamboni nani alikua anamiliki ile nyumba na ni nani alikua anafyonza yale mafuta,
Na nini kinaendelea?
Maana hakuna cha wandishi wa habali wala kiongozi anapasemea tena ispokuwa wameufyata tu.
Na kama ilikua halali yake kufyonza na hakukua na hasara kwa serikari basi tujibiwe tujue.
 
Kwanza si kila jambo aliloletewa Magufuli alilitolea maamuzi papo kwa papo..Pili, mengi ya aliyokuwa anayatolea maamuzi yalitokana na uzembe au dalili za uonevu, tatu, mengi yalihusu viongozi chini yake kushindwa kuwajibika..wewe unaona maumivu ya maamuzi kwa mtu anayetajwa kuumiza wengine, mbona husemi maumivu ya wale wanaoshitaki wakati huo kwa Magufuli, mfano yule Mama wa Rukwa ambaye ng'ombe zake ziliibiwa miaka 9 anapigwa dana dana na wezi wanajulikana, inawezekana ndani ya muda huo alishindwa kusomesha watoto, pengine hata vifo vilitokea kwa kukosa matibabu stahiki kwa kukosa pesa nk hiyo gharama wewe unaiona si kitu..mambo mengine huhitaji kusema unalichukua wakati unaona dhuluma wazi wazi, acheni bwana..jambo haliko kwako bora unyamaze, wahanga wa mambo haya ndio wanajua gharama na maumivu yake! mfano jambo lilmepelekwa hadi kwa DC mtu hajapata msaada, sasa unalichukua halafu nani utampa alishughulikie km si DC huyo huyo ambae kama alishindwa hapo mwanzo, mara ya pili ndio ataweza??acheni ajenda mufilisi za kukosoa wakati hata familia yako tu huwezi kuwaongoza! Mtu mwenye hulka ya uvivu, uonevu, dhuluma, rushwa ndio anaweza kosoa maamuzi ya papo kwa papo, lakini kwa mkulima asiyejua hata kazi za DC ni nini, maamuzi ya aina hii yana faida na ahueni kubwa kwake..bora ukosee kuamua papo kwa papo kuliko kujipa muda kuamua halafu ukachelewa kuamua, au usiamue kabisa yaani funika kombe...au hata ukatoa maamuzi ya upendeleo. Na mara zote, zote kabisa Magufuli alikuwa haamui bila pande zote kuwasikiliza! kama una mfano wa mtu alitolewa maamuzi bila yeye kusikilizwa leta hapa huo mfano...! Kama kiongozi hana jicho la tatu kuona zaidi ya kile watu wengine wanaona, huyo si kiongozi! ukisoma mifano ya watawala kama mfalme Suleimani nyakati zile hakuna pahali unakutana na kauli ya ninalichukua nitashughulikia..viongozi wanaojua jamii wanayoiongoza huomba jicho la tatu ili iwasaidie kuamua papo kwa papo!
Umeandika mengi lakini naamini busara ni kujipa muda wa kufahamu pande zote zenye uhasama kuliko kuamua hapo hapo halafu madhara yake yakaendelea kuumiza jamii inayohusika.
 
Tusaidie kujua pale kigamboni nani alikua anamiliki ile nyumba na ni nani alikua anafyonza yale mafuta,
Na nini kinaendelea?
Maana hakuna cha wandishi wa habali wala kiongozi anapasemea tena ispokuwa wameufyata tu.
Na kama ilikua halali yake kufyonza na hakukua na hasara kwa serikari basi tujibiwe tujue.
Swala umelianzia katikati kama kila mtu analifahamu. Halafu .ukaongeza na hisia nyingine kwa ujumla tulia uandike upya na kwa kirefu.
 
Umeandika mengi lakini naamini busara ni kujipa muda wa kufahamu pande zote zenye uhasama kuliko kuamua hapo hapo halafu madhara yake yakaendelea kuumiza jamii inayohusika.
Hayo uliyoandika #1 na mengine yooote ukilinganisha na niliyoandika mimi yapi ni mengi?? wewe ni mjinga na mufilisi wa fikra unasifia sifia tu kama zuzu..wewe unapoumiza wenzio busara huwa iko chooni siyo..!ukiguswa ndio unaikumbuka busara, wahedi kabisa..kiongozi anayefanya homework yake vzr kuwatumikia watu hahitaji kujipa muda kuamua mambo yanayoleta maumivu kwa watu anaowaongoza, uhasama gani unaoongelea...??? watu wanalalamikia mradi wa maji kutokamilika huo ni uhasama? hivi unafikiri sawa sawa wewe! kwako jamii inayoumia ni ile inayoguswa na maamuzi ya papo kwa papo basi, vipi wale wanaoshitaki kwake wao ni halali kuumizwa..siyo! bora unyamaze. Mara nyingi wanyonge japo wanaumizwa huwezi sikia kelele za aina hii km za huyu mjinga..magenge ya wahuni, walafi, wabinafsi na wezi wanapoguswa kwa matendo yao kelele km hizi ndio wimbo wa kila siku, mara hakuna utawala wa sheria, mara oo demokrasia hakuna, mara oo maamuzi ya papo kwa papo ni mabaya..misemo miiiingi kisa tumbo! peleka kwenu huu ujinga!
 
Kuna mzee mmoja aliwahi kunambia Hitler ndo alichangia kuifanya Ujerumani ifikie hapa ilipo.

Ukiwa mtu wa kutembelea ofisi za umma na ukakutana na urasimu uliopo.... Utatamani umwage damu.

Sisi Watanzania tukishapata pakujishikiza tunadharau sana wengine...
 
Ipo tofauti nimeiona ndani ya miezi saba tangu JPM aage dunia na Rais Samia apewe nchi. Tofauti ya uwezo wa kusikiliza na kufanya maamuzi yenye mizania sahihi. JPM hakubarikiwa busara za utatuzi wa matatizo mengi ya kiutekelezaji japokuwa alikuwa na sifa ya utatuzi huo. Hayati JPM alipenda kuamua suala pale pale jukwaani yaani muda ule ule alipokuwa ndio kwanza kalifahamu.

Rais Samia anaukwepa huu mzigo wa lawama ya wananchi. Hana pupa ya maamuzi na hutumia busara ya kusema 'mimi na wasaidizi wangu hili tunalichukua na tunakwenda kulifanyia kazi'. JPM aliamua muda ule ule, matokeo yake baada ya siku kadhaa kupita yale maamuzi yanakuwa yakifahamika kuwapendelea baadhi ya watu na kuwaumiza wengine. Baada ya siku kadhaa kupita inakuja kujulikana kuwa maamuzi yameegemea upande mmoja badala ya kuwa ni ya haki. Hulka hii ilisababisha baadhi ya watendaji serikalini kumuogopa Hayati JPM.

Na wengine hawakumuogopa bali walianzisha tabia ya kuharibu kazi makusudi ili wamuachie ofisi ateue watu wengine anaoona wanafaa kupewa ofisi. Rais Samia anakubali kutumia muda mrefu kupata utatuzi wa matatizo akijiridhisha na maamuzi yatakayofikiwa baada ya kulitazama suala husika kwa pande zote mbili. Unaweza kudhan ni udhaifu kumbe ni sifa ya uongozi, kuepuka kuleta mifarakano miongoni mwa watu wako wa karibu.

Kwani udhaifu wa tabia ya maamuzi ya jukwaani ni kiongozi kuwa wapendwa zaidi wanaoaminiwa na yeye na wapendwa wa kawaida tu. Watu wasioogopa wala kuona aibu ya kuwaharibia wenzao walio wengi kwa sifa ya muda mfupi tu.

Rais Samia ameonyesha utulivu wa kufanya maamuzi. Hajaonyesha pupa wala hasira pale anapochokozwa, mfano alichokifanya Baba Mchungaji Gwajima kingeweza kabisa kuiamsha hasira ya Samia lakini akatulia kama hakuna linalotokea. Aliweza kuonyesha ukomavu wa kiuongozi kwa kuweza kuistahimili misukosuko ya kisiasa kwa utulivu mkubwa.

Hayati JPM alipendwa kwa kusimamia haki za wananchi lakini upande mwingine wa sifa hiyo ulimpatia maadui haswa miongoni mwa wale waliokwazwa. Rais Samia ameweza kueleweka pale anaposema 'hili tunalichukua'. Hataki kufanya maamuzi halafu yakaleta msingi mbaya (precedent) wa siku zijazo.
Nakuona Mnyangara ukimpigia ndugu yako ingawa hayupo duniani.
 
Back
Top Bottom