Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Kama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.
Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?
Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?
Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.