Rais Samia anasimamia fedha za Serikali vizuri kuliko Hayati Magufuli

Rais Samia anasimamia fedha za Serikali vizuri kuliko Hayati Magufuli

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Kama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.

Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?

Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
 
Wanaomuangusha ni walamba asali... wanakomba sana asali...
 
Kila awamu CAG akipita lazima abaini fedha kupotea. Samia akiachia kiti CAG akipita utaachwa kinywa wazi sema bizinesi ezi usual hakuna hatua zitakazo chukuliwa. Hoja zitajibiwa wabunge wataongea na report itapita hivyo
 
Hii yote ili mama aendelee kulambisha watu asali.
 
Kama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.

Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?
Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
Watanzania tuache unafiki na uchawa nyie ndio mnaoiharibu nchi kuisifia sifia hata pasipo stahili
 
Kama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.

Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?
Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
😀😀
 
Compare& contrast .Drink deep before u come up with a thread. U don't have attached a concrete evidence to convince a scholar.Ndiyo maana mnafeli law school mnaanza kulialia mmeonewa.
NAKAZIA HAPA.
 
Nonsense, labda useme anawasimamia vizuri watu watafunao fedha za serikali. Huyu hangaya ni mzigo kwa taifa.
 
Kuiba ni jadi yetu WaTz mazee yalio madarakani tangu uhuru yanarithisha wizi na udanganyifu kizazi kinachofuata, hata aje Rais kutokea mbinguni tutaiba tu maana wengine wameshaiba nasisi tukipata kitengo tunafanya kweli. Si tunawaona na semi trela zao na mashangingi Yao na petrol stations na magorofa yao kwani tunafurahi?

Rais Samia hawezi kuzuia wizi hata afanye nini hasa wa Procurement officers , accountants na engineers hao ndio wapishi wa wizi wengine hupewa madokezo kusaini tu.

Anachoweza kufanya ni kushughulikia majizi yale ya mabilioni huko halmashauri , mamlaka na Serikali kuu kimya kimya mmoja baada ya mwingine maana ripoti ya CAG inawataja laivu Tena kwa vyeo vyao na pingu zitakapofanya kazi wataambiana na watapunguza!

Swali ni moja je Bimkubwa ubavu huo anao? Maana haya majizi yote ni makada ya chama na husaidia kampeni na kuiba kura!!

Je akigundua jizi kuu ni yale majina makubwa yanaiba bila hesabu hata yakasahau mortuary na majenezea yapo Kwa Kila mmoja wetu!! Siku zenyewe si nyingi ni miaka 70 tu ikizidi sana 80!!
 
Kama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.

Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?

Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
Tena ame guarantee uhuru wa CAG kuripoti, vyombo vya habari,aliajiri wakaguzi zaidi ya 1000 mwaka Jana na amemwongezea Bajeti CAG..

Yote hayo Mwendazake alikataa kufanya achilia mbali kufukuza CAG 😁😁
 
Kuiba ni jadi yetu WaTz mazee yalio madarakani tangu uhuru yanarithisha wizi na udanganyifu kizazi kinachofuata, hata aje Rais kutokea mbinguni tutaiba tu maana wengine wameshaiba nasisi tukipata kitengo tunafanya kweli. Si tunawaona na semi trela zao na mashangingi Yao na petrol stations na magorofa yao kwani tunafurahi?

Rais Samia hawezi kuzuia wizi hata afanye nini hasa wa Procurement officers , accountants na engineers hao ndio wapishi wa wizi wengine hupewa madokezo kusaini tu.

Anachoweza kufanya ni kushughulikia majizi yale ya mabilioni huko halmashauri , mamlaka na Serikali kuu kimya kimya mmoja baada ya mwingine maana ripoti ya CAG inawataja laivu Tena kwa vyeo vyao na pingu zitakapofanya kazi wataambiana na watapunguza!

Swali ni moja je Bimkubwa ubavu huo anao? Maana haya majizi yote ni makada ya chama na husaidia kampeni na kuiba kura!!

Je akigundua jizi kuu ni yale majina makubwa yanaiba bila hesabu hata yakasahau mortuary na majenezea yapo Kwa Kila mmoja wetu!! Siku zenyewe si nyingi ni miaka 70 tu ikizidi sana 80!!
Tena unakuwa engineered na mawaziri. Nchi ina watu wezi sana hii.
 
Kama umemsikiliza vizuri Utouh alipokuwa anaongea juzi, ni kwamba ingawa katika Halmashauri umetokea ubadhirifu mkubwa na labda wizi, lakini kwa ujumla, Serikali Kuu imeweza kupunguza ubadhirifu katika mwaka huu wa fedha kuliko mwaka jana, kufuatana na ripoti ya CAG Kichere.

Swali tu ni kwamba ni nani alikuwa rais katika ile Financial year iliyopita?

Kwa maana hiyo,kuhusu Financial ripoti ya CAG ya mwaka huu,Rais Samia anastahili pongezi,na sio kama ilivyo sasa watu wanatetemeka kwa hasira.
Inawezekana kwenye akili za Watanzania wengi kama wewe kuna viwavi jeshi.

Utoh hawezi kunisaidia kuona ikiwa nina akili na macho yangu. Endeleeni kuumba umba ujinga na kutetea ujambazi unaofanywa dhidi ya nchi hii.

Juzi hapa msemaji mkuu anasema ripoti ya CAG imekosewa. Mnafhani mnaongoza mazuzu au?

Endeleeni kupambania wizi kws kila lugha lakini amini amini nakuambia, halitasalia jiwe juu ya jiwe kwenye CCM yetu.

Itaondoshwa na itavunjika isiweze kurudi tena
 
Ona Sasa ,Nawewe muanzisha Uzi ni Baba yaan unajiita Kichwa ya Familia .


Hivi Kuna Rais ambaye alihakikisha Pesa yake haipotei kama JPM??


Mambo mengine muwe mnaacha Ujinga
 
Back
Top Bottom