Rais Samia anasubiri nini kumshughulikia Humphrey? Urais wake unayumbishwa na huyu? Asijesema hatukumwambia!

Rais Samia anasubiri nini kumshughulikia Humphrey? Urais wake unayumbishwa na huyu? Asijesema hatukumwambia!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.

Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
 
Hii sio awamu wa kushughulikiana..

Utakuwa mwendawazimu kudhani Raisi wa nchi ya dunia ya tatu kukaa kimya ni kumuogopa raia anayebwabwaja na asiye na impact yoyote.

Akihatarisha usalama hapo atashughulikiwa ASAP..lakini hii kubwabwaja tu aachwe akichoka atakaa kimya au atakuja kufunguliwa kesi atulie kama Musiba.
 
Hii sio awamu wa kushughulikiana..

Utakuwa mwendawazimu kudhani Raisi wa nchi ya dunia ya tatu kukaa kimya ni kumuogopa raia anayebwabwaja na asiye na impact yoyote.

Akihatarisha usalama hapo atashughulikiwa ASAP..lakini hii kubwabwaja tu aachwe akichoka atakaa kimya au atakuja kufunguliwa kesi atulie kama Musiba.

Wafa maji wapo wengi na hawana madhara yoyote kwa sasa

Ni maumivu ya kuwa wakiwa tu watasahau
 
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote...
Polepole anafanya yote hayo bila hofu maana anajua wote wako madarakani kwa wizi wa kura, hivyo hawana la kumfanya maana yeye ndio alikuwa kinara wa kuchezea matokeo, ili wagombea wa CCM wapite kwa shuruti. Huyo mama Samia labda ambambikizie kesi kama alivyombambikizia kesi Mbowe.
 
Sijaona ambayo polepole amemyumbisha raisi. Lakini pia Samia ni lazima awe na ngozi ngumu kuhimili siasa za aina tofauti.

Jiwe pamoja na ukatili wake Ila Kuna muda aliamua kusamehe, ndio maana unaona akina kinana,makamba aliwasamehe.

Huwezi kushughulikia kila adui yako.
 
Urais wetu unafanana na wa Urusi na China, upole upo lakini wahuni wasiruhusiwe kudhoofisha mamlaka
Haya yakianza kutokea basi uraisi ndio utamshinda kabisa, si kila wakati unapaswa kueashughulikia wanaokupinga hata kama wapo chamani.

Jiwe alipingwa na kinana, makamba, ngeleja n.k, Ila mwisho wa siku walisamehewa.
 
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake...
Ukiona hivyo jua mama amemuona chakubanga anademka tu itafika kipindi atawacha tu
 
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.

Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Mi nikajua umeanisha makosa ya polepole kamtuhumu wapi Samia kwalolote lile au ukaweka na clip yake tu otherwise sijaona sehemu yoyote Polepole akimsema vibaya Samia.
 
Huyo alijiunga na chama kingine kama Lowassa tu mkuu.

Alifukuzwa baada ya kuhitilifiana na yule kiongozi muovu. Baada ya hapo ikabidi akimbilie kwenye chama chao walichokiasisi yeye na JK na genge lao la kina Nape, Mwigulu, Januari nk.
 
Polepole anafanya yote hayo bila hofu maana anajua wote wako madarakani kwa wizi wa kura, hivyo hawana la kumfanya maana yeye ndio alikuwa kinara wa kuchezea matokeo, ili wagombea wa CCM wapite kwa shuruti. Huyo mama Samia labda ambambikizie kesi kama alivyombambikizia kesi Mbowe.
Upepo wa kisulisuli.
Yu wapi Gwaji boy?
Yu bora anayemteta Rais kwa simu
Au anayeongea hadharani ili kiongozi aokote jema baya aliache.
Sumu ya Polepole siyo Kali
Sumu Kali za wale waliofichama
 
Back
Top Bottom