Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WANASHUGHULIKIWA WAKINA MBOWE KWA KESI ZA KUBAMBIKIZWANadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Sio kwamba aliwasamehe hao watu Wana ushawishi.Sijaona ambayo polepole amemyumbisha raisi. Lakini pia Samia ni lazima awe na ngozi ngumu kuhimili siasa za aina tofauti.
Jiwe pamoja na ukatili wake Ila Kuna muda aliamua kusamehe, ndio maana unaona akina kinana,makamba aliwasamehe.
Huwezi kushughulikia kila adui yako.
Mwacheni Madam Rais, msisahau kasoma uingereza na marekani, hivyo Ukomavu, werevu, ustahimilivu sio kama ndezi wengine na katika uongozi wake watu aina ya Polepole ni muhimu kwake kufanya scanning ya serikali yake kitu ambacho Magufuli alifeli kbsa, Rais Mkomavu ila wenye chuki na enzi za Magufuli ndio kichwani weupe wanavaa ujuha kuwa hii awamu yao. Wenye mharo watumie fursa kama za Polepole nao waseme. Vita dhidi ya Samia kuelekea 2025 hamtapenda maudhui ya Polepole. Hivi ndugu Rais juzi kati kalalama kuhusu kuhujumiwa hii watu hawajui na nani kwanini na kwa dhamira gani?Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
We jamaa umeiseti oblangata yako kwa Mbowe tu. Kila kitu lazima uki peg kwa Mbowe. Acha ubongo wako uwe huruPolepole anafanya yote hayo bila hofu maana anajua wote wako madarakani kwa wizi wa kura, hivyo hawana la kumfanya maana yeye ndio alikuwa kinara wa kuchezea matokeo, ili wagombea wa CCM wapite kwa shuruti. Huyo mama Samia labda ambambikizie kesi kama alivyombambikizia kesi Mbowe.
We jamaa umeiseti oblangata yako kwa Mbowe tu. Kila kitu lazima uki peg kwa Mbowe. Acha ubongo wako uwe huru
Umeongea vyema kabisa, Polepole ni wa kumwacha apambane na akina Nape huko, na wanajuana vizuri! Ila viongozi active wa Serikali na CCM kwa sasa waachane naye, as long as havunji sheria za nchi na chama chake.Sasa amshughulikie kwa kosa gani haswa?
Weak people resort to this kind of thinking. Dawa ya Polepole ni kujibu hoja zake za msingi pale inapobidi au kumpuuza ….until when akivunja sheria za Nchi (ama kanuni za chama chao)
Na wala Rais hahusiki kote huko. Kumtaka Rais adeal na Polepole ni kukishushia sana hadhi cheo cha Urais
Sloslow ni spika tu. Wenye redio yao na rimoti wako nyuma ya pazia. Hapa mama lazima awe mpole maana wanaweza mfanyia kitu hatari sana. Mama anataka aonekane mwema kwa kila mtu ili 2025 aungwe mkono na sukuma gang ambao wamekua mwiba kwa uongozi wakeNadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Ughali wa Maisha unafanya Polepole asikilizwe.Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Ni wapi polepole kamtaja raisi kukosea au ni kiherehere kinakusumbua?Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Akutukanaye hakuchagulii tusi. Kweli wewe Tindo ndiyo wa kuniita mimi Sukuma Gang?? Umeshau kabisa kwamba tulimekiwasha wote for 5 years kukemea maovu ya Mwendazake??Kama ww sukuma gang ulivyoset wako kwa yule kiongozi dhalimu aliyeko kuzimu.
Tunatakiwa tuwe wkweli rais Samia hayumbishwi na mtu yoyote kuhusu urais wake. Ukweli ni kwamba hawezi hiyo kazi na ameshindwa kwa sababu ya kufuata maelekezo ya JK na chuki juu ya JPM kibaya zaidi ni yeye kujiona anajua sana kuliko wanaume wote TZ hata kufikia kuwatusi Profesa. Andikeni ukweli nanyi mtakuwa huruNadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
aisee ilipofikia inatakiwa ashughulikiwe ipasavyo huyo Chakubanga,Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.
Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Kwaiyo afuate mfumo Kama wa dikteta magufuli kuongoza Nchi??! Mpuuzi kweli weweTunatakiwa tuwe wkweli rais Samia hayumbishwi na mtu yoyote kuhusu urais wake. Ukweli ni kwamba hawezi hiyo kazi na ameshindwa kwa sababu ya kufuata maelekezo ya JK na chuki juu ya JPM kibaya zaidi ni yeye kujiona anajua sana kuliko wanaume wote TZ hata kufikia kuwatusi Profesa. Andikeni ukweli nanyi mtakuwa huru