Rais Samia anasubiri nini kumshughulikia Humphrey? Urais wake unayumbishwa na huyu? Asijesema hatukumwambia!

Rais Samia anasubiri nini kumshughulikia Humphrey? Urais wake unayumbishwa na huyu? Asijesema hatukumwambia!

Ajaribu aone hasira na nguvu ya Sukuma Gang

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hangaya akisikiliza wanazi Kama huyu mleta Uzi atakuja kujuta.
Siku zote upinzani hutengenezwa na maamuzi mabovu,na upinzani hutoka kwa watu waliokuwa CCM mfano Mrema,Slaa, Lowassa.

Pia Hangaya ajue hana mizizi huku bara,najua mzee wa Msoga anamudanganya.
 
Hii sio awamu wa kushughulikiana..

Utakuwa mwendawazimu kudhani Raisi wa nchi ya dunia ya tatu kukaa kimya ni kumuogopa raia anayebwabwaja na asiye na impact yoyote.

Akihatarisha usalama hapo atashughulikiwa ASAP..lakini hii kubwabwaja tu aachwe akichoka atakaa kimya au atakuja kufunguliwa kesi atulie kama Musiba.

Daah umenikumbusha mbali Musiba alikuwa anatamba sasa kimyaa kbs,kweli kila kitu na wakat wake
 
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.

Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Naunga mkono hoja katika history ya CCM hakuna aliyetoka salama mwenye kumdharau mwenyekiti au chama chenyewe. Mama Samia kwenye hili hizi busara za kukaa kimya watampanda kichwani sasa sijui kama anawashauri wazuri kwenye chama hata yule makamu wake Mangula ni sumu kwake, Mama amka huu upole utakuponza piga ya kichwa mmoja utaona wengine wanarudi katika mashimo yao. Huwezi kumkosea adabu mwenyekiti na Rais ubaki salama huyo Mbowe tu atokee mwana chadema amkosee heshima kama atabaki salama.
 
Upepo wa kisulisuli.
Yu wapi Gwaji boy?
Yu bora anayemteta Rais kwa simu
Au anayeongea hadharani ili kiongozi aokote jema baya aliache.
Sumu ya Polepole siyo Kali
Sumu Kali za wale waliofichama
Utafichama vipi wakati mawasiliano yako yanaweza ingiliwa na deal zako kufahamika mda wiwote watu wakitaka,, waisrael walifanya la maana sana kuleta ule mtambo...
 
Ushauri wako wakijinga sana, watu tunalilia uhuru wa kutoa maoni bila kudhuriwa, wewe unashauri kuuwana, kutekana, kubambikia kesi, jitafakari huko tumetoka tunataka tusonge mbele hata mtu akikosoa utendaji wa Rais hasihojiwe!
 
Hangaya akisikiliza wanazi Kama huyu mleta Uzi atakuja kujuta.
Siku zote upinzani hutengenezwa na maamuzi mabovu,na upinzani hutoka kwa watu waliokuwa CCM mfano Mrema,Slaa, Lowassa.

Pia Hangaya ajue hana mizizi huku bara,najua mzee wa Msoga anamudanganya.
Rais wa JMT hana mzizi?, Are you mad?
 
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.

Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Nape si kashamaliza mchezo punda akikaribia kufa anarusha mateke mateke, kiroboto ni mdudu mdogo sana mama hana muda ku-deal na kadudu kama karoboto
 
Hana madhara chama kipo imara kabisa kimerudi kwa wenyewe,mwache amalizie kuongea vya mwisho mwisho kwani kuanzia 2025 atakuwa SAwa na kange,kessy, nkamia
 
Rais wa JMT hana mzizi?, Are you mad?
Uwezo wako wa kuelewa uko chini Sana,yaani umeshindwa kufahamu hata ni mizizi ipi? 🤣🤣🤣🤣🤣
Kukupuuza ni Jambo jema zaidi.
Shida ni IQ yako ndo maana unakimbilia kutokana mtu ambaye hata humujui.
 
aisee ilipofikia inatakiwa ashughulikiwe ipasavyo huyo Chakubanga,

Sielewi kazi ya death squad aisee,huyu mjinga mmoja ni hatari kwa usalama wa Taifa
Mkuu unamaanisha Mahita,Goodluck,Jumanne,na king maker Kingai??? 🤣 🤣 hatukuwajuwa kabla ila sasa mambo hadharani.
 
Ukianza kuniletea swagga za kiccm sijui akili yangu nimeiset kwa Mbowe wala siangalii ww ni nani, nakuchanganya na hilo kundi la mangiri wengine.
Kutofautiana maoni juu ya regime ya Rais SSH isiwe sababu ya kunichanganya na hao mashetani. You owe me an apology
 
Naunga mkono hoja katika history ya CCM hakuna aliyetoka salama mwenye kumdharau mwenyekiti au chama chenyewe. Mama Samia kwenye hili hizi busara za kukaa kimya watampanda kichwani sasa sijui kama anawashauri wazuri kwenye chama hata yule makamu wake Mangula ni sumu kwake, Mama amka huu upole utakuponza piga ya kichwa mmoja utaona wengine wanarudi katika mashimo yao. Huwezi kumkosea adabu mwenyekiti na Rais ubaki salama huyo Mbowe tu atokee mwana chadema amkosee heshima kama atabaki salama.
Kabisa
 
Nadhani ni wakati sasa Mama Samia ajionyeshe kwamba yeye ni Rais na Mwenyekiti wa CCM, kama Humphrey anaweza kumdharau waziwazi na hachukui hatua, basi anajipalilia mazingira ya kuonyesha anaweza kudharauliwa na yeyote, Urais na Rais lazima uonyeshe uimara wake, haiwezekani watu wanakodi vipindi katika TV ili watukane halafu hakuna kinachofanyika.

Wasaidizi was Samia wajitafakari kama wanatosha kumshauri, Kolimba alijaribu kuhujumu CCM, kama Polepole, usalama wa hadhi ya Rais ni Usalama wa Taifa, huyu muhuni amefanya aliyofanya, sasa imetosha
Ajaribu aone moto utakaomuwakia

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom