hawezi kumfuta makonda kirahis,,impact kwenye uchaguzi inaweza kuwa mbaya.Sasahivi Chadema wamefurahi sana.Makonda kagisa wasiogusika!! Akina GSM na wengine ambao bi tarabushi ndo humsomea hadithi za kumliwaza alale... hapo Arusha kasogezwa kiaina ili kuua soo ila mlango upo wazi!
Walisema kateuliwa kutafuta Kura za Kanda ya ziwa na s/gang sasa hapo vipi?hawezi kumfuta makonda kirahis,,impact kwenye uchaguzi inaweza kuwa mbaya.Sasahivi Chadema wamefurahi sana.
kilichomuondoa na hapo juzi kusema wanasaisa na wate daji waache uanfikiwa kumpamba Samia ,mara kumte ganisha na magufuri wakato wote waliite geneza dila ya sasa anayotekekeleza
Ni kweli , Makonda wanamuondoa kiaina.Makonda kagisa wasiogusika!! Akina GSM na wengine ambao bi tarabushi ndo humsomea hadithi za kumliwaza alale... hapo Arusha kasogezwa kiaina ili kuua soo ila mlango upo wazi!
Humphrey Polepole hakuondolewa na Samia kwenye nafasi yake bali JPM mwenyewe na akampeleka Bungeni, rekebisha kumbukumbu zako vizuri.Tangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Makonda alitumika ka toilet paper kuzima DP world, there after will die kifo cha mende and will be mourned, kaenda arusha kutumika ka toilet paper kupambana na chadema baada ya hapo ka kawaida ya toilet paper. Asingekuwa makonda dp world ingepigiwa kelele na mbwa ila now kimyaaaa hahaha. Sema huo mtego makonda hawezi kuukwepa kwa sababu 🔫 inamsubiri 100m and is compromised and they know how to use ila hakika kutawawaliwa na kundi la idiot (in the voice of wagiriki ni taabu), iko siku hiki kizazi kitakufa chote kitakuja kizazi cha wazalendo, sisi sote ni waovu ila wenzetu wamezidi kwa kujali matumbo yao utadhani siku wakifa wataondoka na hizo hela wanazoibaTangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Wote vilazaTangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Huwezi kuandika vizuri? au na wewe ulikuwa hupendi shule kama Bashitehawezi kumfuta makonda kirahis,,impact kwenye uchaguzi inaweza kuwa mbaya.Sasahivi Chadema wamefurahi sana.
kilichomuondoa na hapo juzi kusema wanasaisa na wate daji waache uanfikiwa kumpamba Samia ,mara kumte ganisha na magufuri wakato wote waliite geneza dila ya sasa anayotekekeleza
🤔Namuona John Mongella anaenda kuchukua nafasi ya Nchimbi huku Amos makalla kuchukua nafasi ya makonda au the reverse Yake is true
Soma PDF lote mkuuHivi Jumanne Sagini kapona? Naona wizara ya mambo ya ndani Ina naibu waziri mwingine
Hujui kitu wee FalaHumphrey Polepole hakuondolewa na Samia kwenye nafasi yake bali JPM mwenyewe na akampeleka Bungeni, rekebisha kumbukumbu zako vizuri.