- Thread starter
- #41
Niliandika hapa kuwa, sukuma gang kuinusa ikulu tena, never and never again.Nchi itatawalika endapo tu yule mafia atakufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliandika hapa kuwa, sukuma gang kuinusa ikulu tena, never and never again.Nchi itatawalika endapo tu yule mafia atakufa.
Basi ccm huko Kuna vilaza tupu.Pole pole yule ni mweupe kichwani anategemea dola tu ila hajui kujenga hoja za ushindani. Ni kama bashiru tu Kuna wakati watu hawakumjua kama.ni MC, mwenezi au karibu mkuu baad aya lisu kuwapelekesha.
Nape atachukua nafasi hiyoNchimbi hatoki pale. Mongella ndiyo umepatia anavaa viatu vya Makonda. Haya mambo niulizeni mm ninayeishi Msoga.
Umenifanya nimkumbuke mzee wangu KamiliusNiliandika hapa kuwa, sukuma gang kuinusa ikulu tena, never and never again.
Makonda alikuwa anafaa Sana lakini kilichomtoa pale ni Magufuli. Kuna watu pale hawataki kabisa kusikia Neno Magufuli likitajwa. Sasa makonda ni Magufulist kila atakapoongea lazima ataje hilo jina.Tangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Hata mm sitaki kumsikia huyu muuaji jiwe.Makonda alikuwa anafaa Sana lakini kilichomtoa pale ni Magufuli. Kuna watu pale hawataki kabisa kusikia Neno Magufuli likitajwa. Sasa makonda ni Magufulist kila atakapoongea lazima ataje hilo jina.
Mmmmh!!Humphrey Polepole hakuondolewa na Samia kwenye nafasi yake bali JPM mwenyewe na akampeleka Bungeni, rekebisha kumbukumbu zako vizuri.