BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Hujamchanganya na Bashiru weweHumphrey Polepole hakuondolewa na Samia kwenye nafasi yake bali JPM mwenyewe na akampeleka Bungeni, rekebisha kumbukumbu zako vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujamchanganya na Bashiru weweHumphrey Polepole hakuondolewa na Samia kwenye nafasi yake bali JPM mwenyewe na akampeleka Bungeni, rekebisha kumbukumbu zako vizuri.
Now you talkMakonda kagisa wasiogusika!! Akina GSM na wengine ambao bi tarabushi ndo humsomea hadithi za kumliwaza alale... hapo Arusha kasogezwa kiaina ili kuua soo ila mlango upo wazi!
😂😂😂😂😂😂 kilichomponza ni kumpaisha Magufuli juziTangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Kwanza mama,mama yeye analazimishwa na 2akulu wa pembeni huyu tunamtaka huyu hatumtakiTangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Jamaa hajachua hata muda mrefu, Jamaa kilichomponza ni bifu lake na Salaa, Jamaa kilichomponza zaidi ni kusahau kwamba ukimgusa Salaa umemgusa Rizimoko umemgusa JK, Jamaa alichosahau ni kugusa yote Ila usimguse JK akamgusa Salaa kilichofuata ni kuchomolewa... 'Tajiri Mtata km Salaa...'4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Aina ya Wenezi iliyozoeleka ndiyo Tatizo kwa kipindi tulichopo!Tangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Mlango upo wazi wa kutoka au kupanda juu ??!Makonda kagisa wasiogusika!! Akina GSM na wengine ambao bi tarabushi ndo humsomea hadithi za kumliwaza alale... hapo Arusha kasogezwa kiaina ili kuua soo ila mlango upo wazi!
Umepiga kwenye mshono !Huyo Makonda tulijua tu lililkuwa ni suala la muda. Wahafidhina wasingekubali kuendelea kuusikia ndani ya chama utukufu wa Magufuli kupitia huyo kibaraka wake Makonda.
Nchi itatawalika endapo tu yule mafia atakufa.Umepiga kwenye mshono !
Ngoja tuone !
Hivi na pole pole naye ana akili? Au ni mabavu tu ya uongozi kwa kutegenea rais atamlinda. Unaona lisu alivyowapelekesha mpaka wakawa wanauzia mikutano yake kwa kutumia polisi. Kuna siku ndege yake ilizuiwa kuruka kuja kawe eti machafuko ya Hali ya hewa lakini chopa ya ccm ikaruka.Tangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
KIKWETEIli TANZANIA IPONE KUNA MZEEEE LAZIMA AFE NDIO TUTAKUWA SALAMA NA RAISI ATAWRZA KUONGOZA INCHI KWA MAONO YAKE
Duh 🙄 !Nchi itatawalika endapo tu yule mafia atakufa.
Nchimbi hatoki pale. Mongella ndiyo umepatia anavaa viatu vya Makonda. Haya mambo niulizeni mm ninayeishi Msoga.Namuona John Mongella anaenda kuchukua nafasi ya Nchimbi huku Amos makalla kuchukua nafasi ya makonda au the reverse Yake is true
Kama siyo mongella basi namuona mmoja wa Samia queens akiteuliwa kuwa mwenezi.Gigy Money anatosha kwenye hiyo nafasi
Tangu mama awe mwenyekiti wa ccm taifa ameteua na kiwatengua watu 4 kwenye nafasi ya uenezi.
1. Alimtengua Humphrey Polepole. Mtu mwenye akili na uwezo mzuri wa ku -connect na hadhira anapozungumza
2. Alimteua na kumtengua Abdul Shaka (mpwa wake kabisa).
3. Alimteua na kumtengua Sophia Mjema (mwanamke mwenzie).
4. Alimteua na sasa kamtengua Makonda . Kuna nyepesi kuwa alishauriwa kuwa Makonda hafai mama akapoga kura ya turufu .
Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.
Mbaya wa Tanzania alishakufa, naye ni jiwe.Ili TANZANIA IPONE KUNA MZEEEE LAZIMA AFE NDIO TUTAKUWA SALAMA NA RAISI ATAWRZA KUONGOZA INCHI KWA MAONO YAKE
Akili zake anazijua mwenyewe.Sasa swali ni je, mama anahitaji mtu wa aina gani ktk nafasi hiyo.