Rais Samia anatumia 'Contrarian approach' kwenye teuzi. Ni mfumo mzuri pia wa kupata matokeo

Rais Samia anatumia 'Contrarian approach' kwenye teuzi. Ni mfumo mzuri pia wa kupata matokeo

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Kwa wasiouelewa huu mfuno. Contrarian approach ni idea kwenye mambo ya uwekezaji ambapo mtu unakuwa unafanya maamuzi ambayo kinyume kabisa na matarajio ya watu.

Kwenye uwekezaji, mfano kama bei ya nyumba inapanda kqa kasi, contrarian investor hawezi kuwekeza kwenye nyumba bali atawekeza kwenye shughuli ambazo zinahusiana na ujenzi wa nyumba kama viwanda vya cement, mabati, rangi n.k kwa maana ya kwamba watu wakizidi kuzijenga hizo nyumba lazima watanunua cement, mabati, rangi n.k na hapo ndipo contrarian investor anavotengeneza pesa.

Kwa upande wa Samia nimenotice pia kwamba labda ame adopt huu mfumo especially kwenye hizi teuzi za top officials. Mkuu wa JWTZ na IGP.

Watu walibashiri sana baadhi ya majina kuchukua hizo nafasi lakini imekuwa vice versa maradufu na ni kama ni teuzi ambazo sio maarufu kwenye medani za kiuongozi wa hii nchi.

Ambacho naamini ni kwamba wateuliwa wote lazima wata deliver zaidi ya maradufu na ukiangalia vizur ambacho anaitaji Rais kwa hawa watendaji wa juu ni unquestionable loyalty. Na hii nadhani atakuwa ame achieve pakubwa sana ukizingatia kwamba viongozi wote wakubwa wa JWTZ na huyu IGP wamepatikana kwa kupandishwa vyeo maradufu.

Inaweza isisaidie sana utendaji kazi wa hivi vyombo, ila itamsaidia sana Rais ku win loyality ya hawa makamanda wa vikosi vya ulinzi kitu ambacho obviously ilikuwa ngumu ku achieve alipokuwepo Mabeyo na Sirro.

Ndo maana siku zote huwa naamini, contrarian approach ni mfumo mzuri pia kwenye siasa. Nadhani raia kulalamika hiyo ni kawaida pale huu mfumo unapotumika kwa sababu, ni kasumba ya binadamu kutokupenda mabadaliko ambayo wao hawakuyatazamia.

All in all, i think Samia anazicheza karata zake vizuri.
 
Issue hapa ni very simple, na sidhani kama inauhusiano wowote na hiyo approach yako.

The fact is, hao wateuliwa huendana na tabia na matendo ya bosi wao, bila kujali sura zao.

Kwa mfano, kwa uteuzi huu wa Kingai, sasa tutegemee kumuona "Kingai wa Samia" wala sio yule "Kingai wa Magufuli"

Hapa usiingize suala la ku deliver au vyovyote vile, muhimu utambue; mwisho wa siku hata huyu "Kingai wa Samia" akitumwa kufanya "kazi chafu" kwa maslahi ya CCM atafanya.
 
Kwa wasiouelewa huu mfuno. Contrarian approach ni idea kwenye mambo ya uwekezaji ambapo mtu unakuwa unafanya maamuzi ambayo kinyume kabisa na matarajio ya watu.

Kwenye uwekezaji, mfano kama bei ya nyumba inapanda kqa kasi, contrarian investor hawezi kuwekeza kwenye nyumba bali atawekeza kwenye shughuli ambazo zinahusiana na ujenzi wa nyumba kama viwanda vya cement, mabati, rangi n.k kwa maana ya kwamba watu wakizidi kuzijenga hizo nyumba lazima watanunua cement, mabati, rangi n.k na hapo ndipo contrarian investor anavotengeneza pesa.

Kwa upande wa Samia nimenotice pia kwamba labda ame adopt huu mfumo especially kwenye hizi teuzi za top officials. Mkuu wa JWTZ na IGP.

Watu walibashiri sana baadhi ya majina kuchukua hizo nafasi lakini imekuwa vice versa maradufu na ni kama ni teuzi ambazo sio maarufu kwenye medani za kiuongozi wa hii nchi.

Ambacho naamini ni kwamba wateuliwa wote lazima wata deliver zaidi ya maradufu na ukiangalia vizur ambacho anaitaji Rais kwa hawa watendaji wa juu ni unquestionable loyalty. Na hii nadhani atakuwa ame achieve pakubwa sana ukizingatia kwamba viongozi wote wakubwa wa JWTZ na huyu IGP wamepatikana kwa kupandishwa vyeo maradufu.

Inaweza isisaidie sana utendaji kazi wa hivi vyombo, ila itamsaidia sana Rais ku win loyality ya hawa makamanda wa vikosi vya ulinzi kitu ambacho obviously ilikuwa ngumu ku achieve alipokuwepo Mabeyo na Sirro.

Ndo maana siku zote huwa naamini, contrarian approach ni mfumo mzuri pia kwenye siasa. Nadhani raia kulalamika hiyo ni kawaida pale huu mfumo unapotumika kwa sababu, ni kasumba ya binadamu kutokupenda mabadaliko ambayo wao hawakuyatazamia.

All in all, i think Samia anazicheza karata zake vizuri.
Una-complicate mambo bila sababu yoyote kwa kutoa maelezo marefu. Marais wa Afrika huchagua watu wanaoweza kuwa-manipulate watakavyo kwa interest zao (siyo za nchi).
 
Una-complicate mambo bila sababu yoyote kwa kutoa maelezo marefu. Marais wa Afrika huchagua watu wanaoweza kuwa-manipulate watakavyo kwa interest zao (siyo za nchi).
Yap ndo nnacho maanisha hicho mkuu... ndo mana huwa wanafanya decision za namna hii
 
Issue hapa ni very simple, na sidhani kama inauhusiano wowote na hiyo approach yako.

The fact is, hao wateuliwa huendana na tabia na matendo ya bosi wao, bila kujali sura zao.

Kwa mfano, kwa uteuzi huu wa Kingai, sasa tutegemee kumuona "Kingai wa Samia" sio yule "Kingai wa Magufuli"

Hapa usiingize suala la ku deliver au vyovyote vingine, muhimu utambue; mwisho wa siku hata huyu "Kingai wa Samia" akitumwa kufanya "kazi chafu" kwa maslahi ya CCM atafanya.
Nakubaliana.. na wewe ndo mana nikasema Samia anatafuta unquestionable loyalty kwa hawa ambao amewateua.. Ikiwa na maana aweze kuwatumia kwenye issues ambazo zina maslah kwake
 
Mada yako ni nzuri lakini kumbuka sio rahisi kwa mkuu wa nchi kuteua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa matakwa yake .Hii ni kwa Nchi zote zenye mifumo imara ya ulinzi na usalama ikiwemo Tanzania.Hawa watu Huwa wanaandaliwa kwenye mifumo yao ya kazi ili badae wawe wakuu wa hizo taaasisi .Yeye anambiwa tu mpe huyu nafasi ya ukuu flani .Hata ukichunguza mkuu wa majeshi alivoteuliwa ni ishu planed na sio matakwa ya Rais.Wameandaliwa kabisa ni kama pia ishu ya mtu kuwa Rais huwa wanaandaliwa na taasisi nyeti za nchi husika na Kila Rais huwekwa kwa kazi maalumu.
 
Nakubaliana.. na wewe ndo mana nikasema Samia anatafuta unquestionable loyalty kwa hawa ambao amewateua.. Ikiwa na maana aweze kuwatumia kwenye issues ambazo zina maslah kwake
Issues zenye maslahi kwake na chama chake, hii ndio sababu/kigezo cha kwanza cha hao jamaa kuteuliwa.

Lazima viongozi wa CCM na idara ya usalama wajiridhishe huyo mteuliwa ni mtiifu wa chochote anachoambiwa na bosi wake, haijalishi kiwe kizuri au kibaya kwa jamii.

Wengi tunakosea pale tunapodhani kwamba, sababu ya msingi ya uteuzi wa hawa watu lazima mamlaka ya uteuzi iangalie/kuzingatia public opinion, No.

Wao wanatazama maslahi yao kwa muhusika kama ataweza kuyalinda, ndio maana hata kama wengi hawamkubali Kingai, lakini ndio ameteuliwa kwasababu alithibitisha ni mtiifu na anafaa kulinda maslahi ya watawala.
 
Mada yako ni nzuri lakini kumbuka sio rahisi kwa mkuu wa nchi kuteua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa matakwa yake .Hii ni kwa Nchi zote zenye mifumo imara ya ulinzi na usalama ikiwemo Tanzania.Hawa watu Huwa wanaandaliwa kwenye mifumo yao ya kazi ili badae wawe wakuu wa hizo taaasisi .Yeye anambiwa tu mpe huyu nafasi ya ukuu flani .Hata ukichunguza mkuu wa majeshi alivoteuliwa ni ishu planed na sio matakwa ya Rais.Wameandaliwa kabisa ni kama pia ishu ya mtu kuwa Rais huwa wanaandaliwa na taasisi nyeti za nchi husika na Kila Rais huwekwa kwa kazi maalumu.
Marehemu dikteta naye aliandaliwa kuwa mkuu wa nchi?
 
Mada nzuri ila kwenye jambo moja lazima tupeane ukweli na ikiwezekana uko mbele ije kuwa tunavyotaka wananchi.

Hawa askari wanapaswa kuwajibika na kuwajibishwa na muhimili mwingine kabisa tofauti na urais, sababu kuna wkt wanafanya madudu kisa boss wao anataka au watamridhisha na kumfurahisha.

Angalia kwa Sirro, hapo mwishoni alijua anaondoka na alianza kupwaya sana, course alijua anaondoka.
 
Kwa wasiouelewa huu mfuno. Contrarian approach ni idea kwenye mambo ya uwekezaji ambapo mtu unakuwa unafanya maamuzi ambayo kinyume kabisa na matarajio ya watu.

Kwenye uwekezaji, mfano kama bei ya nyumba inapanda kqa kasi, contrarian investor hawezi kuwekeza kwenye nyumba bali atawekeza kwenye shughuli ambazo zinahusiana na ujenzi wa nyumba kama viwanda vya cement, mabati, rangi n.k kwa maana ya kwamba watu wakizidi kuzijenga hizo nyumba lazima watanunua cement, mabati, rangi n.k na hapo ndipo contrarian investor anavotengeneza pesa.

Kwa upande wa Samia nimenotice pia kwamba labda ame adopt huu mfumo especially kwenye hizi teuzi za top officials. Mkuu wa JWTZ na IGP.

Watu walibashiri sana baadhi ya majina kuchukua hizo nafasi lakini imekuwa vice versa maradufu na ni kama ni teuzi ambazo sio maarufu kwenye medani za kiuongozi wa hii nchi.

Ambacho naamini ni kwamba wateuliwa wote lazima wata deliver zaidi ya maradufu na ukiangalia vizur ambacho anaitaji Rais kwa hawa watendaji wa juu ni unquestionable loyalty. Na hii nadhani atakuwa ame achieve pakubwa sana ukizingatia kwamba viongozi wote wakubwa wa JWTZ na huyu IGP wamepatikana kwa kupandishwa vyeo maradufu.

Inaweza isisaidie sana utendaji kazi wa hivi vyombo, ila itamsaidia sana Rais ku win loyality ya hawa makamanda wa vikosi vya ulinzi kitu ambacho obviously ilikuwa ngumu ku achieve alipokuwepo Mabeyo na Sirro.

Ndo maana siku zote huwa naamini, contrarian approach ni mfumo mzuri pia kwenye siasa. Nadhani raia kulalamika hiyo ni kawaida pale huu mfumo unapotumika kwa sababu, ni kasumba ya binadamu kutokupenda mabadaliko ambayo wao hawakuyatazamia.

All in all, i think Samia anazicheza karata zake vizuri.
Sidhani. Kama Tume huru ya Uchaguzi itapatikana hapa Tanzania, Rais atafute royalty ya wananchi na asifanye majaribio kwenye teuzi. Labda upinzani ufanye mzaha tena katika kuteua Rais mtaraijwa wao na katika ushindani kwenye kinyang'anyiro cha Wabunge. Maoni yangu hayaegemei upande wo wote wa Chama. Naangalia Tanzania ijayo tu.

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa mkubwa utaelewa vizuri
Mada yako ni nzuri lakini kumbuka sio rahisi kwa mkuu wa nchi kuteua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa matakwa yake .Hii ni kwa Nchi zote zenye mifumo imara ya ulinzi na usalama ikiwemo Tanzania.Hawa watu Huwa wanaandaliwa kwenye mifumo yao ya kazi ili badae wawe wakuu wa hizo taaasisi .Yeye anambiwa tu mpe huyu nafasi ya ukuu flani .Hata ukichunguza mkuu wa majeshi alivoteuliwa ni ishu planed na sio matakwa ya Rais.Wameandaliwa kabisa ni kama pia ishu ya mtu kuwa Rais huwa wanaandaliwa na taasisi nyeti za nchi husika na Kila Rais huwekwa kwa kazi maalumu.
 
Issues zenye maslahi kwake na chama chake, hii ndio sababu/kigezo cha kwanza cha hao jamaa kuteuliwa.

Lazima viongozi wa CCM na idara ya usalama wajiridhishe huyo mteuliwa ni mtiifu wa chochote anachoambiwa na bosi wake, haijalishi kiwe kizuri au kibaya kwa jamii.

Wengi tunakosea pale tunapodhani kwamba, sababu ya msingi ya uteuzi wa hawa watu lazima mamlaka ya uteuzi iangalie/kuzingatia public opinion, No.

Wao wanatazama maslahi yao kwa muhusika kama ataweza kuyalinda, ndio maana hata kama wengi hawamkubali Kingai, lakini ndio ameteuliwa kwasababu alithibitisha ni mtiifu na anafaa kulinda maslahi ya watawala.
Duniani kote.. kinachoanza ni kutii mamlaka.. Na kiukweli, mtumishi mzuri wa vyombo vya usalama ni yule anayeweza kutii mamlaka ya uteuzi.

Hiyo ndo sifa ambayo inapaswa kupewa kipaumbele. Issue ya kwamba anachokitenda kiwe kinafuata sheria nadhani inatakiwa iamuliwe na mamlaka ya uteuzi.

Mi naweza kukuambia hawa mnasema ni wabovu kiutendaji akina Kingai, Sirro, na wote ambao wameitwa wabovu kwenye vyombo vya ulinzi. Binafsi hawana buo ubovu, ubovu na ubaya wa hawa watu umechangiwa pakubwa na mamlaka za uteuzi na mifumo ya utendaji kazi.
 
Sidhani. Kama Tume huru ya Uchaguzi itapatikana hapa Tanzania, Rais atafute royalty ya wananchi na asifanye majaribio kwenye teuzi. Labda upinzani ufanye mzaha tena katika kuteua Rais mtaraijwa wao na katika ushindani kwenye kinyang'anyiro cha Wabunge. Maoni yangu hayaegemei upande wo wote wa Chama. Naangalia Tanzania ijayo tu.

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
Tumehuru itapatikana kwa utashi wa kisiasa wa Rais Samia.
 
Duniani kote.. kinachoanza ni kutii mamlaka.. Na kiukweli, mtumishi mzuri wa vyombo vya usalama ni yule anayeweza kutii mamlaka ya uteuzi.

Hiyo ndo sifa ambayo inapaswa kupewa kipaumbele. Issue ya kwamba anachokitenda kiwe kinafuata sheria nadhani inatakiwa iamuliwe na mamlaka ya uteuzi.

Mi naweza kukuambia hawa mnasema ni wabovu kiutendaji akina Kingai, Sirro, na wote ambao wameitwa wabovu kwenye vyombo vya ulinzi. Binafsi hawana buo ubovu, ubovu na ubaya wa hawa watu umechangiwa pakubwa na mamlaka za uteuzi na mifumo ya utendaji kazi.
Tatizo ni kwamba huko duniani kutii mamlaka maana yake nI kufuata sheria, pale ambapo wa chini akiamriwa afanye jambo na mkubwa wake ambalo halifuati sheria ana uwezo wa kugoma na asifanywe chochote. Sheria inamlinda.

Kwetu the situation is different, na hii situation yetu ni ya kipekee usiichanganye na ya sehemu nyingine za dunia. Hivyo ukisema sifa ya kwanza ni kutii mamlaka but in which perspective?

Mwisho nakubaliana nawe, mamlaka ya uteuzi na mifumo yetu mibovu ndivyo vinawatengeneza kina Kingai, japo sehemu nyingine duniani the situation is different [refer my first para].
 
Kwa wasiouelewa huu mfuno. Contrarian approach ni idea kwenye mambo ya uwekezaji ambapo mtu unakuwa unafanya maamuzi ambayo kinyume kabisa na matarajio ya watu.

Kwenye uwekezaji, mfano kama bei ya nyumba inapanda kqa kasi, contrarian investor hawezi kuwekeza kwenye nyumba bali atawekeza kwenye shughuli ambazo zinahusiana na ujenzi wa nyumba kama viwanda vya cement, mabati, rangi n.k kwa maana ya kwamba watu wakizidi kuzijenga hizo nyumba lazima watanunua cement, mabati, rangi n.k na hapo ndipo contrarian investor anavotengeneza pesa.

Kwa upande wa Samia nimenotice pia kwamba labda ame adopt huu mfumo especially kwenye hizi teuzi za top officials. Mkuu wa JWTZ na IGP.

Watu walibashiri sana baadhi ya majina kuchukua hizo nafasi lakini imekuwa vice versa maradufu na ni kama ni teuzi ambazo sio maarufu kwenye medani za kiuongozi wa hii nchi.

Ambacho naamini ni kwamba wateuliwa wote lazima wata deliver zaidi ya maradufu na ukiangalia vizur ambacho anaitaji Rais kwa hawa watendaji wa juu ni unquestionable loyalty. Na hii nadhani atakuwa ame achieve pakubwa sana ukizingatia kwamba viongozi wote wakubwa wa JWTZ na huyu IGP wamepatikana kwa kupandishwa vyeo maradufu.

Inaweza isisaidie sana utendaji kazi wa hivi vyombo, ila itamsaidia sana Rais ku win loyality ya hawa makamanda wa vikosi vya ulinzi kitu ambacho obviously ilikuwa ngumu ku achieve alipokuwepo Mabeyo na Sirro.

Ndo maana siku zote huwa naamini, contrarian approach ni mfumo mzuri pia kwenye siasa. Nadhani raia kulalamika hiyo ni kawaida pale huu mfumo unapotumika kwa sababu, ni kasumba ya binadamu kutokupenda mabadaliko ambayo wao hawakuyatazamia.

All in all, i think Samia anazicheza karata zake vizuri.

Contrarian approach' kwenye teuzi Za kuchukua waliofukuzwa Akiwa makamu wa Rais awamu ya 5.unamaanisha hivyo au?​

 
Back
Top Bottom