Na lukuvi nae kosa lake nini? Au pia roho mbaya?Marais wakiwa Waislamu Wanakuwa na utu Sana na ubinadamu, nakumbuka magufuli alimfukuza mtu mbele ya hadhila ya wananchi,yule mtumishi akaizirai hapohapo, au Kama alivyomfukuza NAPE NNAUYE! mpaka Leo uwezi kujua kosa la Nape lilikuwa nini Zaid ya roho yake mbaya tu
Hebu toa ushahidi wa hizo tuhumaNdiyo maana January sahivi anaingia mikataba ya hovyo kupiga pesa kumbe hakuna adhabu yoyote
Kumbe hapa wewe unachotetea ni undugunaizesheni?Hila msukuma mwenzenu hayati ndio alikuwa anajua kuongea?!
Urais wa kuokota ndio unaomchanganya.Nashindwaga kuelewa mama kwa nini kila akiongea huwa anajipinga mwenyewe na kukoseakosea.
Alisema akienda sehemu akikuta bango moja, DC au RC umekwenda na maji.
Akasema yeye hataongea kwa mdomo, Bali kwa kalamu.
Leo anasema atakuuita na kukurekebisha
Nimekaa kaa zenji, asilimia kubwa ya wazanzibari hawana sensitivity ya maneno wanayoongea, anaweza akaonge kitu ukabaki unaona aibu wewe!Huyu mama kila akiongea anaharibu, anaonesha hawezi hata kuongea bila kujiuliza anachoongea kitaleta muonekano/mtazamo gani kwa jamii
Hakuna kiongozi hapo......Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu
Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania (TBC) akifafanua, "Nawaambia anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza. Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi kwenye hiyo nafasi"
Ndiyo maana January sahivi anaingia mikataba ya hovyo kupiga pesa kumbe hakuna adhabu yoyote
Masoud sio mchezo
Kama embe dodo la alfajiriUrais wa kuokota ndio unaomchanganya.
Utamrekebisha nini wakati mwenyewe unapotupeleka sipo. Umemsaliti mtangulizi wako umeungana kutetea wapigaji na wafanyabiashara fisadi. Mungu anakuona πRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu
Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania (TBC) akifafanua, "Nawaambia anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza. Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi kwenye hiyo nafasi"
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ili kupunguza mzigo wa kazi, huwa anawaambia Wasaidizi wake kufanya maamuzi kwenye masuala yaliyo ndani ya uwezo wao. Amesema huenda ni uoga, lakini wanapeleka maamuzi kufanywa ngazi ya juu
Ameeleza hayo katika mahojiano maalum na Jambo Tanzania (TBC) akifafanua, "Nawaambia anayekosea maamuzi nitamrekebisha, sitamfukuza. Nitakurekebisha mara ya kwanza, ya pili na ya tatu. Mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi kwenye hiyo nafasi"
Hila wewe unatetea udininaizesheni?!!Kumbe hapa wewe unachotetea ni undugunaizesheni?
Na wewe ingia Ili upige pesa MkuuNdiyo maana January sahivi anaingia mikataba ya hovyo kupiga pesa kumbe hakuna adhabu yoyote
Nikipata upenyo napiga hakuna namna, kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba akeNa wewe ingia Ili upige pesa Mkuu